Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siyo yule mzee wa mikaka 80 ambaye betri lake liko full charged, (fulu mzuka)Haya ndiyo tunayotakiwa kujadili katika kupaza sauti zetu.
Kura yako na yangu, na ya Watanzania wenzetu wote, inampeleka Mtawala Ikulu, au Mbunge Mjengoni.
Ni haki na wajibu kudai heshima stahiki kwa Kura zetu.
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
Ukitaja miaka 80, naanza kujiuliza kilichojiri kwenye Chama Tawala chetu.Mimi siyo yule mzee wa mikaka 80 ambayo betri liko full charged
Tushikilie na tukaze Uzi.miss kizimkazi hawezi kulukubali hili
Ndiyo sababu ni lazima tupaze sauti.Unafikiri babu Wassira na aliyemteua wako tayari kwa kuhesabu kura kwa wazi?
Nini kifanyike CCM ikiendelea kukataa, (chama dola), je tuwachalaze mijeledi?Ukitaja miaka 80, naanza kujiuliza kilichojiri kwenye Chama Tawala chetu.
Aliyeachia, akisema amezeeka, na anahitaji kupumzika, ana umri wa miaka 73.
Aliyepokea Kijiti ana miaka 80!
Hakika, kama Wapiga Kura ndani ya CCM wangeheshimika, hili lisingetokea.
Nani hajui kwamba ndani ya CCM hiyo hiyo, wapo wengi wenye uwezo, lakini wanapuuzwa?
Huu Utamaduni wa kupuuza Kura ya Mpiga Kura umeota mizizi hata ndani ya Vyama vya Siasa.
Sasa tuseme imetosha.
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
Watatuua mkuu na mabunduki tunayoyanunua wenyewe kwa kodi zetuTushikilie na tukaze Uzi.
Mpiga Kura ni mimi na wewe.
Kura yako, yangu, na ya Watanzania wenzetu inampa Madaraka Mtawala anayeingia Ikulu kuanzisha au Kuzuia Vita.
Kura yako na yangu na ya Watanzania wenzetu inamfanya Mtanzania mwenzetu, mmoja, kuwa Amiri Jeshi Mkuu.
Kura zetu hizi ni kitu kikubwa sana.
Tuhakikishie zinaheshimiwa ipasavyo.
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
Binadamu akipata changamoto huamsha ubongo na kubuni mbinu za kukabiliana nazo, mimi nimegundua ukiwa unatafuta suluhisho,(solution) unajilaza ndani ya dk chache unapata suluhisho (solution)Watatuua mkuu na mabunduki tunayoyanunua wenyewe kwa kodi zetu
Hii ndiyo Hoja yenyewe.Nini kifanyike CCM ikiendelea kukataa, (chama dola), je tuwachalaze mijeledi?
Hivi watu wabishi kwenye jambo lenye fikra chanya la kitaifa dawa yao ni ipi yaani wanao jizima data, a.k.a kuahirisha kufikiri kizalendo
Kabla hawajatuua, kabla ya siku ya Uchaguzi Mkuu, tupaze sauti zetu.Watatuua mkuu na mabunduki tunayoyanunua wenyewe kwa kodi zetu
Benny Haraba, maneno yako yawe CHACHU ya mwanga katika Mioyo ya Watanzania wote.Binadamu akipata changamoto huamsha ubongo na kubuni mbinu za kukabiliana nazo, mimi nimegundua ukiwa unatafuta suluhisho,(solution) unajilaza ndani ya dk chache unapata suluhisho (solution)
Hebu hili jambo tulichukulie kama joka kubwa lomeingia nyumbani kwako inatakiwa upambane nalo kwa kuliua ili lisirudi tena
Sheria hizi hazina na hazirihusu uwazi uteuzi wa tume unafanywa na mwajiri ili waganye kazi ya mwajiri kwa kanuni na taratibu zake ukishindwa uwezo wa kukufuta ajira anao na kuzifuta haki na stahiki zao,itawezekanaje tume kama hiyo kuwa huru.Ni bora tume iundwe kutoka wazalendo wa taifa hili ambao wako tayari hata kujitolea kuona uwazi,uhuru na haki ya kuchagua na kuchaguliwa kwa haki ikitendeka,katika vigezo na viwango vinavyokubalika na sii uhunu wa misuli,vifua na mitutu na maji washawasha.Uko sahihi Vessel.
Ndiyo sababu ni muhimu sana kuoaza sauti, ndani na nje ya mipaka yetu kwamba TUNATAKA KURA ZETU ZIHESHIMIKE.
Ili Kura zetu ZIHESHIMIKE, tunataka zihesabiwe kwa Haki na kwa Uwazi.
Kwa Sheria hizi hizi na Kanuni za Uchaguzi hizi hizi.
Kura zetu Wapiga Kura kuhesabiwa kwa Uwazi, kwenye Kituo cha Kupiga Kura, ni utaratibu unaoweza kufanyika katika mazingira ya Sheria na Kanuni za Uchaguzi zilizopo.Sheria hizi hazina na hazirihusu uwazi uteuzi wa tume unafanywa na mwajiri ili waganye kazi ya mwajiri kwa kanuni na taratibu zake ukishindwa uwezo wa kukufuta ajira anao na kuzifuta haki na stahiki zao,itawezekanaje tume kama hiyo kuwa huru.Ni bora tume iundwe kutoka wazalendo wa taifa hili ambao wako tayari hata kujitolea kuona uwazi,uhuru na haki ya kuchagua na kuchaguliwa kwa haki ikitendeka,katika vigezo na viwango vinavyokubalika na sii uhunu wa misuli,vifua na mitutu na maji washawasha.
CCM hawezi kukubaliTushikamane, ili hawa tunaopigia Kura zetu, watuheshimu.
#KURA ZETU ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
Sahihi kabisa mkuu ndiyo maana pamoja na vitisho tunapitia lakini hatunyamazi, lazima mwaka huu tuwanyooshe vizuri hawa majangili.Mkuu Benjamin Netanyahu, tusaidiane tupaze sauti.
Wawakilishi wanaongezeana Posho huku wakitupandishia Vifurushi vya DATA ili tushindwe kuwasiliana.
Inabidi wajue kuwa Wapiga Kura tumeshika Mpini, wao wameshika Makali.
Wakiendeleza mizaha, wakatike vidole.
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
Ndio maana Trump amesema viongozi wa kiafrika wapumbavu wananunua silaha kuja kuua raia waoWatatuua mkuu na mabunduki tunayoyanunua wenyewe kwa kodi zetu
Tuongeze shinikizo.CCM hawezi kukubali
Hashtag KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU ikiweza kufanyika Nchi nzima, CCM watashindwa na nguvu ya Wapiga Kura.Sahihi kabisa mkuu ndiyo maana pamoja na vitisho tunapitia lakini hatunyamazi, lazima mwaka huu tuwanyooshe vizuri hawa majangili.
Kitu cha msingi hapa ni kwamba tusikubali kufa kibubu.Ndio maana Trump amesema viongozi wa kiafrika wapumbavu wananunua silaha kuja kuua raia wao