Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sijakata tamaa bali nimepuuza huo uhuni uitwao uchaguzi. Usichanganye kukataa tamaa na kupuuza boss. Ndio maana nasema machafuko ni njia sahihi ya kurejesha heshima ya box la kura.Maneno yako ni mazito.
Lakini yana dalili za kukata tamaa.
Wagombea ni Vyama.
Wapiga Kura ni sisi sote.
Tatizo letu Nchini, walioko Madarakani hawataki Tume Huru, hawataki Katiba Mpya, na hawaoni aibu kujinasibu na hali hiyo.
Sauti ya Wapiga Kura inao uwezo wa kufikisha madai haya mpaka Nje ya Nchi, na kwenye ulingo wa Kimataifa, shinikizo linaweza kuwarudia hawa Watawala wetu.
Kupaza kwetu sauti, kutaenda sambamba na jitihada za Vyama vinavyodai Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi.
Sauti za Wapiga Kura zitakuwa CHACHU kwenye jitihada zilizopo za kudai mabadiliko.
Kumbuka Mtawala aliyepo Madarakani haoni aibu kuwaengua Wagombea wa Vyama vingine na kubakiza wale wa Chama chake tu.
Kundi pekee ambalo haliwezi kuenguliwa ni sisi Wapiga Kura.
Tupaze sauti.
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
Kuandamana huwezi ndio utaamua kulinda kura!? PUMBAVU!Njia pekee ya Watanzania kuheshimiwa na Wawakilishi wetu ni kuhakikisha kwamba Kura zetu zinahesabiwa katika mazingira ya uwazi kwenye kila Kituo cha Kupigia Kura, na matokeo hayo yawe rasmi.
Tabia ya kufukuza Wapiga Kura kwenye Vituo vya Kupiga Kura ikomeshwe ili Mshindi halali ajulikane.
Hili halihitaji Azimio la Bunge wala Mswada wowote wa Sheria.
Wananchi tukiamua na kushinikiza, hili linawezekana kufanyika kwenye Uchaguzi Mkuu Novemba mwaka huu 2025
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
Na machafuko yakianza tunaanza na wewe na familia yako mnakuwa wiped out! Kenge wewe!!Mimi sijakata tamaa bali nimepuuza huo uhuni uitwao uchaguzi. Usichanganye kukataa tamaa na kupuuza boss. Ndio maana nasema machafuko ni njia sahihi ya kurejesha heshima ya box la kura.
Ndiyo sababu Wapiga Kura tunatakiwa kuamka na kudai heshima ya Kura zetu.Kule Congo aliyekuwa Mkuu wa time ya uchaguzi iliyomuweka Tishekedi madarakani 2023 ndiyo huyo huyo Leo anaongoza M23
Ni vigumu kutenganisha kukata tamaa na kupuuza.Mimi sijakata tamaa bali nimepuuza huo uhuni uitwao uchaguzi. Usichanganye kukataa tamaa na kupuuza boss. Ndio maana nasema machafuko ni njia sahihi ya kurejesha heshima ya box la kura.
Usikate tamaa.Kuandamana huwezi ndio utaamua kulinda kura!? PUMBAVU!
Njia sahihi ya Kuzuia machafuko ni Haki kuonekana imetekelezwa.Na machafuko yakianza tunaanza na wewe na familia yako mnakuwa wiped out! Kenge wewe!!
Tatizo ni kwamba wanaanza kuengua wagombea hilo nalo utalizuiaje na sababu ya kuengua wagombea nikuwakatisha tamaa wapiga kura kuwa hata mkienda kupiga kura sisi tayari tunawabunge au madiwani waliopita bila kupingwa zaidi ya nusu kisha wanakuja kuchakachua wagombea kiduchu waliopita sasa si ujinga huo afadhali tu uwaachie wote. Kisha wanakuja kukupa wabunge wa viti maalumu na fedha ili kukupoza kwasababu wanajua una njaa. Kwa mfumo huu wa uchaguzi wala sijisumbui. Wanaokwenda na waende tu.haya nimaamuzi yangu mwenyewe na viongozi watakao pita mimi nitawaheshimu tu kwani ndiyo mifumo yetu.Ukiwaachia ni sawa na kuacha Mlango wazi ili Mwizi aje KUIBA kiulaini.
Tufunge Milango kisawasawa, ili Mwizi akija, apambane kuuvunja.
Anaweza kukamatwa kabla hajatimiza azma yake ya kishetani.
Tupige Kura.
Na Kura zetu ZIHESHIMIKE.
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
Tena nitahakikisha mnaanza na mimi, maana hakutakuwa na mabadiliko bila hayo kutokea. Nina uhakika baada ya mimi kutoweka hiyo itakuwa damu iliyomwagwa kwa ajili ya mabadaliko.Na machafuko yakianza tunaanza na wewe na familia yako mnakuwa wiped out! Kenge wewe!!
MAWAKALA huondolewa kwa nguvu kwa msaada wa polisi ili matendo ya wizi wa kura yafanyike.Mbona kura kwenye vituo huwa zina hesabika kwa uwazi tatizo ni kukosa mawakala, CCM wakizidiwa wakati wa uchaguzi huenda maporini lejea taarifa ya mkuu wa wilaya aliye tumbuliwa
Basi poa.Tena nitahakikisha mnaanza na mimi, maana hakutakuwa na mabadiliko bila hayo kutokea. Nina uhakika baada ya mimi kutoweka hiyo itakuwa damu iliyomwagwa kwa ajili ya mabadaliko.
Kwenye maelezo yako, kuna makosa mawili ya kiufundi.Tatizo ni kwamba wanaanza kuengua wagombea hilo nalo utalizuiaje na sababu ya kuengua wagombea nikuwakatisha tamaa wapiga kura kuwa hata mkienda kupiga kura sisi tayari tunawabunge au madiwani waliopita bila kupingwa zaidi ya nusu kisha wanakuja kuchakachua wagombea kiduchu waliopita sasa si ujinga huo afadhali tu uwaachie wote. Kisha wanakuja kukupa wabunge wa viti maalumu na fedha ili kukupoza kwasababu wanajua una njaa. Kwa mfumo huu wa uchaguzi wala sijisumbui. Wanaokwenda na waende tu.haya nimaamuzi yangu mwenyewe na viongozi watakao pita mimi nitawaheshimu tu kwani ndiyo mifumo yetu.
Mabadiliko bila damu kumwagika yanawezekana.Tena nitahakikisha mnaanza na mimi, maana hakutakuwa na mabadiliko bila hayo kutokea. Nina uhakika baada ya mimi kutoweka hiyo itakuwa damu iliyomwagwa kwa ajili ya mabadaliko.
Tupaze sauti, ndani na nje ya Nchi yetu mpaka CCM wasikie.CCM iko ladhi iue wananchi ila sio kuruhusu hilo jambo
Hiki ndicho kinachotakiwa.MAWAKALA huondolewa kwa nguvu kwa msaada wa polisi ili matendo ya wizi wa kura yafanyike.
Kura zihesabiwe kwa uwazi mbele ya wapiga kura wanaopenda kushuhudia zoezi hilo.
Hakuna haja ya kujificha chumbani, kura zipigwe wazi na zihesabiwe kwa uwazi tena nje katika eneo la wazi.
Watz wanapenda amani na wangependa zoezi la kupiga kura na kuhesabu vifanyike kwa uwazi mbele yao wakishuhudia.
Tusikubali kuendelea kukaa kimya, pale Watawala wanapogeuza "UCHAGUZI" na kufanya uwe ''UCHAFUZI"Basi poa.
Polisi hutoa matangazo watu wasikae karibu na vituo vya kupigia Kura eti kabla ya kupiga Kura unahitajika, lakini ukisha piga huhitajiki Tena, unakuwa siyo mzalendo, kikikikiMAWAKALA huondolewa kwa nguvu kwa msaada wa polisi ili matendo ya wizi wa kura yafanyike.
Kura zihesabiwe kwa uwazi mbele ya wapiga kura wanaopenda kushuhudia zoezi hilo.
Hakuna haja ya kujificha chumbani, kura zipigwe wazi na zihesabiwe kwa uwazi tena nje katika eneo la wazi.
Watz wanapenda amani na wangependa zoezi la kupiga kura na kuhesabu vifanyike kwa uwazi mbele yao wakishuhudia.
Pressure Machine hakuna inayo mpanda kiongozi wa kiafrika akitafuta madaraka, wanaua adharani na kunyamaza kimya sembuse kuchakachua kura, mimi nitawaheshimu tu kama viongozi wangu kwa sababu imeshakuwa mila na tamaduni zetu nitajitaidi kujilimia viazi huku kwetu njombe niuze nisomeshe wanangu ila swala lakuwapigia kelele wala sifanyi wacha waibe tu.Kwenye maelezo yako, kuna makosa mawili ya kiufundi.
Kosa la kwanza ni kuwaachia wafanye wanachopenda.
Tusiwaachie.
Tupaze sauti zetu na tuwaseme sana.
Kosa la pili kwenye andiko lako ni pale unaposema "utaheshimu atakayeletwa".
Mwizi akikuubia Baiskeli yako, hutakiwi kukubali.
Silaha yetu sisi Wapiga Kura ni moja tu: SAUTI ZETU kwenye SOCIAL MEDIA.
Hii Mitandao inao uwezo wa kufanya miujiza.
Mfano, wapo madhalimu ambao PRESHA huwa inawapanda wakimuona Maxence Mello wetu wa JF. Hii ndiyo nguvu ya Social Media.
Tutumie.
Tupaze sauti zetu.
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU