Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Tukiweka ushabiki pembeni, kwa miaka ya hivi karibuni, club zetu za Simba na Yanga zimekuwa daraja moja na timu za kiarabu ambazo tunaziona kama ni daraja la juu sana kulinganisha na za kwetu.
Ukisikia wachambuzi wakidai Percy Tau analipwa millioni 250 kwa mwezi utadhani kuwa ni nchezaji wa class ya juu sana ila uhalisia wake tumeona
Ngoja nitaje mifano kadhaa inayothibitisha tunazikuza tu hizi timu kuliko
Mfano Yanga iliitoa club Africain kwa kuifunga nyumbani, pia iliongoza kundi kwenye Shirikisho iliyokuwa na US Monstir ya Tunisia, na Fainali dhidi ya USM Alger Yanga wangeweza kushinda sema tu ni ile presha ya kucheza fainali kwa mara ya kwanza na walitoka tu kwa kanuni ya goli la ugenini na sio aggregate
Simba pia tumeona ikicheza na Wydad, al Ahlly, JS Soura, na kuzifunga au kutoa sare, hata kama ikifungwa kunakuwa hakuna tofauti kubwa sana ya ubora ile useme kuwa imekuwa out classed, zinakuwa ni timu za viwango vinavyofanana.
Ni muda sasa kuanza kuona timu zetu sio za kinyonge tena kwa timu za Kaskazini, na Simba hatutakiwi kushangilia hii draw bali kusiikitika kwani uwezo wa kuwafunga Ahly tunao.
Ukisikia wachambuzi wakidai Percy Tau analipwa millioni 250 kwa mwezi utadhani kuwa ni nchezaji wa class ya juu sana ila uhalisia wake tumeona
Ngoja nitaje mifano kadhaa inayothibitisha tunazikuza tu hizi timu kuliko
Mfano Yanga iliitoa club Africain kwa kuifunga nyumbani, pia iliongoza kundi kwenye Shirikisho iliyokuwa na US Monstir ya Tunisia, na Fainali dhidi ya USM Alger Yanga wangeweza kushinda sema tu ni ile presha ya kucheza fainali kwa mara ya kwanza na walitoka tu kwa kanuni ya goli la ugenini na sio aggregate
Simba pia tumeona ikicheza na Wydad, al Ahlly, JS Soura, na kuzifunga au kutoa sare, hata kama ikifungwa kunakuwa hakuna tofauti kubwa sana ya ubora ile useme kuwa imekuwa out classed, zinakuwa ni timu za viwango vinavyofanana.
Ni muda sasa kuanza kuona timu zetu sio za kinyonge tena kwa timu za Kaskazini, na Simba hatutakiwi kushangilia hii draw bali kusiikitika kwani uwezo wa kuwafunga Ahly tunao.