mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,400
- 3,853
Tukitaka kuendelea tuitazame dunia na wanadamu kuliko wazungu, waafrika,
Wachina, waarabu nk.
Namna gani binadamu alivyoweza kuimudu dunia hii na kusonga mbele au alivyoshindwa na kurudi nyuma.
Hata sasa huhumu Afrika kuna tofauti kubwa sana kati walionacho na wasio nacho. Hawa wasio nacho watawazama walionacho kama wazungu na kama fhulmati kwao au wanapaswa zaidi kufikiria ufhaifu wao?
Wachina, waarabu nk.
Namna gani binadamu alivyoweza kuimudu dunia hii na kusonga mbele au alivyoshindwa na kurudi nyuma.
Hata sasa huhumu Afrika kuna tofauti kubwa sana kati walionacho na wasio nacho. Hawa wasio nacho watawazama walionacho kama wazungu na kama fhulmati kwao au wanapaswa zaidi kufikiria ufhaifu wao?