Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hata ngedere wana kidume wao.Hana lolote wakati jamaa washapeleka mashambulizi yao Ukraine nyie mnabweka tu π puttin ni kidume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ngedere wana kidume wao.Hana lolote wakati jamaa washapeleka mashambulizi yao Ukraine nyie mnabweka tu π puttin ni kidume
Mbona Dr. Gwajima akili hazijamruka mkuu acha uongo.πππ π π¨ππππ¨π ππ¨πππ¨π π‘πππ ππ¨ππͺπ ππͺπ ππ‘ππ’ ππ¨ππππ’ π‘πππ ππ’π§π ππ¨π‘πππ‘π π‘ππ’ππ π‘πππ¨πππππ ππ¦ππ;-
-URUSI ndio nchi kubwa kuliko zote duniani,
-URUSI ipo Barani Asia na Ulaya,
Kwani hawatumii herufi hizi za kawaida wao hutumia herufi zao tofauti kabisa,
- Ni nchi moja iligawanyika katika mabara mawili,
- Mji mkuu wa URUSI huitwa MOSCOW mji ambao Kombe la Dunia lilifanyika 2018,
- Lugha ya taifa hilo ni Kirusi,
- Kirusi ni moja ya Lugha ngumu sana kujifunza duniani,
- Ugumu wa Lugha hio pia husabishwa na herufi zake,
Kama vile;- Wachina,Waarabu na Wajeruma na wao hawatumii kabisa herufi kama tunazotumia sisi,
-URUSI ni Nchi ya KWANZA Kwa kuzalisha gesi Duniani,
- Nchi ya URUSI ina ukubwa wa kilometa za mraba 17075400,
- Fedha ya URUSI huitwa RUB,
- Nchi ya URUSI ndio nchi inayoongoza kwa kupakana na nchi nyingi duniani,
- Kwa jumla inapakana na nchi zipatazo14,
- Miongoni mwa nchi zinazopakana na Urusi ni Korea Kaskazini,China na Norway,
Yaani Iko hivi;- Duniani kuna Bahari Kubwa zinaitwa OCEAN ambazo ni Bahari ya HINDI, PASIFIC NA ATLANTIC na kuna Ndogo ambazo ndio nyingi zinaitwa Sea kwa mfano;- Red sea, Dead sea na kadhalika.
- URUSI ni Nchi ya PILI kwa kuzalisha mafuta Duniani,
- Huku nchi ya kwanza Duniani kuzalisha mafuta ikiwa ni Saudi Arabia,
- Nchi ya Urusi ndio nchi yenye kodi ndogo kuliko nchi zote Barani Asia na kodi yake ni 7% wakati Tanzania kodi yake ni asilimia 18%,
- URUSI ina idadi ya watu 144,000,000,
- URUSI ni nchi ya 9 kwa idadi ya watu duniani,
- Sehemu kubwa ya URUSI ni Tambarare na milima baadhi ya Maeneo,
- Nchi ya URUSI ina pakana na Bahari 11 zikiwemo kubwa na ndogo,
yaani ukienda URUSI kusoma wakikiuona unaakili sana,
- Nchi ya URUSI ndio nchi yenye Ufukwe mrefu kuliko nchi zote Duniani urefu wake ni kilometer 37000,
- Nchi ya URUSI ina miliki Visiwa 7,
- Nchi ya URUSI ina Mito 8,
- Nchi ya URUSI ndio Nchi inayoongoza kwa Kutoa Huduma Bora za Udaktari,
- Nchi ya URUSI ndio nchi inayoongoza kwa uchoyo wa elimu duniani,
Lazima watakupa dawa kwa njia yeyote ile ili wakupumbaze akili na ndio maana madaktari wengi waliokwenda Kusoma URUSI,
Wakirudi nchini kwao kama vile Tanzania akili zao huwa zimeruka kidogo mfano Mzuri Dokta shika na wengine wengi.
Una uhakika?Fuatilia upya.Mbona Dr. Gwajima akili hazijamruka mkuu acha uongo.
Uhalifu wa kudhulumu uhai wa watu ni uhalifu mkubwa sana hata kama angekaa Tanzania for 44 or more years!
Hili ni kweli kabisaNchi nyingi za Ulaya mashariki ni masikini tu compare to magharibi.
Halafu wana ubaguzi hatari sana hasa kwa watu weusi
Hata ngedere wana kidume wao.
Tusubiri tuone.Sawa, kubalini tu jamaa hana mpinzani. Marekani na Nato wataleta sababu nyingi ila washaogopa mziki wa urusi
Tusubiri tuone.
Kachukua story ya uongo ya whatsapp kaileta humu. Samora alizaliwa 1933, ukimtazama huyo mrusi kiumri anaonekana analingana na Putin.Mkuu Putin kazaliwa 1952. Kwa hiyo 1973 alikuwa na Miaka 21 Tu, na kwenye Historia ya Maisha yake inaonyesha 1970 hadi 1975 alikuwa akisoma Chuo Kikuu (St. Petersburg State University). Hii Imekaaje?
Mwaka 1984 Samora alifanya ziara ya Tanzania na akapata nafasi ya kutembelea mafunzo ya warusi yaliyofanyika Bagamoyo.
πππ π π¨ππππ¨π ππ¨πππ¨π π‘πππ ππ¨ππͺπ ππͺπ ππ‘ππ’ ππ¨ππππ’ π‘πππ ππ’π§π ππ¨π‘πππ‘π π‘ππ’ππ π‘πππ¨πππππ ππ¦ππ;-
-URUSI ndio nchi kubwa kuliko zote duniani,
-URUSI ipo Barani Asia na Ulaya,
Kwani hawatumii herufi hizi za kawaida wao hutumia herufi zao tofauti kabisa,
- Ni nchi moja iligawanyika katika mabara mawili,
- Mji mkuu wa URUSI huitwa MOSCOW mji ambao Kombe la Dunia lilifanyika 2018,
- Lugha ya taifa hilo ni Kirusi,
- Kirusi ni moja ya Lugha ngumu sana kujifunza duniani,
- Ugumu wa Lugha hio pia husabishwa na herufi zake,
Kama vile;- Wachina,Waarabu na Wajeruma na wao hawatumii kabisa herufi kama tunazotumia sisi,
-URUSI ni Nchi ya KWANZA Kwa kuzalisha gesi Duniani,
- Nchi ya URUSI ina ukubwa wa kilometa za mraba 17075400,
- Fedha ya URUSI huitwa RUB,
- Nchi ya URUSI ndio nchi inayoongoza kwa kupakana na nchi nyingi duniani,
- Kwa jumla inapakana na nchi zipatazo14,
- Miongoni mwa nchi zinazopakana na Urusi ni Korea Kaskazini,China na Norway,
Yaani Iko hivi;- Duniani kuna Bahari Kubwa zinaitwa OCEAN ambazo ni Bahari ya HINDI, PASIFIC NA ATLANTIC na kuna Ndogo ambazo ndio nyingi zinaitwa Sea kwa mfano;- Red sea, Dead sea na kadhalika.
- URUSI ni Nchi ya PILI kwa kuzalisha mafuta Duniani,
- Huku nchi ya kwanza Duniani kuzalisha mafuta ikiwa ni Saudi Arabia,
- Nchi ya Urusi ndio nchi yenye kodi ndogo kuliko nchi zote Barani Asia na kodi yake ni 7% wakati Tanzania kodi yake ni asilimia 18%,
- URUSI ina idadi ya watu 144,000,000,
- URUSI ni nchi ya 9 kwa idadi ya watu duniani,
- Sehemu kubwa ya URUSI ni Tambarare na milima baadhi ya Maeneo,
- Nchi ya URUSI ina pakana na Bahari 11 zikiwemo kubwa na ndogo,
yaani ukienda URUSI kusoma wakikiuona unaakili sana,
- Nchi ya URUSI ndio nchi yenye Ufukwe mrefu kuliko nchi zote Duniani urefu wake ni kilometer 37000,
- Nchi ya URUSI ina miliki Visiwa 7,
- Nchi ya URUSI ina Mito 8,
- Nchi ya URUSI ndio Nchi inayoongoza kwa Kutoa Huduma Bora za Udaktari,
- Nchi ya URUSI ndio nchi inayoongoza kwa uchoyo wa elimu duniani,
Lazima watakupa dawa kwa njia yeyote ile ili wakupumbaze akili na ndio maana madaktari wengi waliokwenda Kusoma URUSI,
Wakirudi nchini kwao kama vile Tanzania akili zao huwa zimeruka kidogo mfano Mzuri Dokta shika na wengine wengi.
Zakuambiwa changanya na.... KalagabahoMIMI siyo ccm, soma historia ya nchi yako vizuri ujue ulikotoka, ulipo na anapotakiwa kwenda.
AiseeMwaka 1984 Samora alifanya ziara ya Tanzania na akapata nafasi ya kutembelea mafunzo ya warusi yaliyofanyika Bagamoyo.
Hao ni makomandoo wa kirusi waliokuwa wakiendesha mafunzo. Ofisi zao zilikuwa pale Gymkhana karibu na uwanja wa golf. Tulikuwa tukipishana na lada zao mitaa ile wakati wa utotoni.
SawaUhalifu wa kudhulumu uhai wa watu ni uhalifu mkubwa sana hata kama angekaa Tanzania for 44 or more years!
Kwa taarifa tu, kiwanda cha AK-47 kiko KievKumbe put-in hapendi vita?!!!
Na Kwa taarifa yako AK-47, yaani 'Avtomat Kalashnikova 1947' au kwa Kimalkia, 'Automatic Kalashnikov 1947', ni silaha ya Warusi iliyoasisiwa mwaka huo, na ambayo iMEUZWA sana duniani kote na kusababisha mauaji ya mamilioni ya binadamu!!
Warusi ni mabeberu kama mabeberu wengine na ni wababe kwny biashara ya silahaπ