Watanzania tusithubutu kuingilia mambo ya akina Putin kwani ni ndugu yetu kabisa

Watanzania tusithubutu kuingilia mambo ya akina Putin kwani ni ndugu yetu kabisa

π—žπ—”π— π—” π—¨π—Ÿπ—œπ—žπ—¨π—” π—›π—¨π—œπ—π—¨π—œ π—‘π—–π—›π—œ π—žπ—¨π—•π—ͺ𝗔 π—žπ—ͺ𝗔 π—˜π—‘π—˜π—’ π—žπ—¨π—Ÿπ—œπ—žπ—’ π—‘π—–π—›π—œ π—­π—’π—§π—˜ π——π—¨π—‘π—œπ—”π—‘π—œ π—‘π—šπ—’π—π—” π—‘π—œπ—žπ—¨π—™π—”π—›π—”π— π—œπ—¦π—›π—˜;-

-URUSI ndio nchi kubwa kuliko zote duniani,
-URUSI ipo Barani Asia na Ulaya,
  • Ni nchi moja iligawanyika katika mabara mawili,
  • Mji mkuu wa URUSI huitwa MOSCOW mji ambao Kombe la Dunia lilifanyika 2018,
  • Lugha ya taifa hilo ni Kirusi,
  • Kirusi ni moja ya Lugha ngumu sana kujifunza duniani,
  • Ugumu wa Lugha hio pia husabishwa na herufi zake,
Kwani hawatumii herufi hizi za kawaida wao hutumia herufi zao tofauti kabisa,
Kama vile;- Wachina,Waarabu na Wajeruma na wao hawatumii kabisa herufi kama tunazotumia sisi,
  • Nchi ya URUSI ina ukubwa wa kilometa za mraba 17075400,
  • Fedha ya URUSI huitwa RUB,
  • Nchi ya URUSI ndio nchi inayoongoza kwa kupakana na nchi nyingi duniani,
  • Kwa jumla inapakana na nchi zipatazo14,
  • Miongoni mwa nchi zinazopakana na Urusi ni Korea Kaskazini,China na Norway,
-URUSI ni Nchi ya KWANZA Kwa kuzalisha gesi Duniani,
  • URUSI ni Nchi ya PILI kwa kuzalisha mafuta Duniani,
  • Huku nchi ya kwanza Duniani kuzalisha mafuta ikiwa ni Saudi Arabia,
  • Nchi ya Urusi ndio nchi yenye kodi ndogo kuliko nchi zote Barani Asia na kodi yake ni 7% wakati Tanzania kodi yake ni asilimia 18%,
  • URUSI ina idadi ya watu 144,000,000,
  • URUSI ni nchi ya 9 kwa idadi ya watu duniani,
  • Sehemu kubwa ya URUSI ni Tambarare na milima baadhi ya Maeneo,
  • Nchi ya URUSI ina pakana na Bahari 11 zikiwemo kubwa na ndogo,
Yaani Iko hivi;- Duniani kuna Bahari Kubwa zinaitwa OCEAN ambazo ni Bahari ya HINDI, PASIFIC NA ATLANTIC na kuna Ndogo ambazo ndio nyingi zinaitwa Sea kwa mfano;- Red sea, Dead sea na kadhalika.
  • Nchi ya URUSI ndio nchi yenye Ufukwe mrefu kuliko nchi zote Duniani urefu wake ni kilometer 37000,
  • Nchi ya URUSI ina miliki Visiwa 7,
  • Nchi ya URUSI ina Mito 8,
  • Nchi ya URUSI ndio Nchi inayoongoza kwa Kutoa Huduma Bora za Udaktari,
  • Nchi ya URUSI ndio nchi inayoongoza kwa uchoyo wa elimu duniani,
yaani ukienda URUSI kusoma wakikiuona unaakili sana,
Lazima watakupa dawa kwa njia yeyote ile ili wakupumbaze akili na ndio maana madaktari wengi waliokwenda Kusoma URUSI,
Wakirudi nchini kwao kama vile Tanzania akili zao huwa zimeruka kidogo mfano Mzuri Dokta shika na wengine wengi.
Mbona Dr. Gwajima akili hazijamruka mkuu acha uongo.
 
Ukiachana na ile meli ya uturuki iliopigwa jana kwa kuzuia eti majeshi ya Urusi, leo meli ya Japan imepigwa kombora karibu na Black sea

2 more merchant ships hit by Russian attacks in Black Sea.

Japanese bulk carrier MV Namura Queen hit by a rocket at anchor off Yuzhne.

Moldovan chemical tanker MV Millennial Spirit hit and set on fire 12 miles to the south


Video: suvaribeyinnotdefteri https://t.co/p5BHZmUPIk
 
Kuna jirani yetu hapa mkenya kakosa raha aliposikia chuma Vradmir Putin kawaambia ukweli wamalize njaa kwanza.
 
Mkuu Putin kazaliwa 1952. Kwa hiyo 1973 alikuwa na Miaka 21 Tu, na kwenye Historia ya Maisha yake inaonyesha 1970 hadi 1975 alikuwa akisoma Chuo Kikuu (St. Petersburg State University). Hii Imekaaje?
Kachukua story ya uongo ya whatsapp kaileta humu. Samora alizaliwa 1933, ukimtazama huyo mrusi kiumri anaonekana analingana na Putin.

Kuna tofauti ya miaka 19 kati ya Samora na Putin mwenyewe, umesema kweli kuwa 1973 alikuwa anasoma chuo kwao.
 
Mtu anaitwa PUTIN alafu bado unataka kupigana nae yaani ukisikia jina lake tu unajua ni mtu mbad
 
π—žπ—”π— π—” π—¨π—Ÿπ—œπ—žπ—¨π—” π—›π—¨π—œπ—π—¨π—œ π—‘π—–π—›π—œ π—žπ—¨π—•π—ͺ𝗔 π—žπ—ͺ𝗔 π—˜π—‘π—˜π—’ π—žπ—¨π—Ÿπ—œπ—žπ—’ π—‘π—–π—›π—œ π—­π—’π—§π—˜ π——π—¨π—‘π—œπ—”π—‘π—œ π—‘π—šπ—’π—π—” π—‘π—œπ—žπ—¨π—™π—”π—›π—”π— π—œπ—¦π—›π—˜;-

-URUSI ndio nchi kubwa kuliko zote duniani,
-URUSI ipo Barani Asia na Ulaya,
  • Ni nchi moja iligawanyika katika mabara mawili,
  • Mji mkuu wa URUSI huitwa MOSCOW mji ambao Kombe la Dunia lilifanyika 2018,
  • Lugha ya taifa hilo ni Kirusi,
  • Kirusi ni moja ya Lugha ngumu sana kujifunza duniani,
  • Ugumu wa Lugha hio pia husabishwa na herufi zake,
Kwani hawatumii herufi hizi za kawaida wao hutumia herufi zao tofauti kabisa,
Kama vile;- Wachina,Waarabu na Wajeruma na wao hawatumii kabisa herufi kama tunazotumia sisi,
  • Nchi ya URUSI ina ukubwa wa kilometa za mraba 17075400,
  • Fedha ya URUSI huitwa RUB,
  • Nchi ya URUSI ndio nchi inayoongoza kwa kupakana na nchi nyingi duniani,
  • Kwa jumla inapakana na nchi zipatazo14,
  • Miongoni mwa nchi zinazopakana na Urusi ni Korea Kaskazini,China na Norway,
-URUSI ni Nchi ya KWANZA Kwa kuzalisha gesi Duniani,
  • URUSI ni Nchi ya PILI kwa kuzalisha mafuta Duniani,
  • Huku nchi ya kwanza Duniani kuzalisha mafuta ikiwa ni Saudi Arabia,
  • Nchi ya Urusi ndio nchi yenye kodi ndogo kuliko nchi zote Barani Asia na kodi yake ni 7% wakati Tanzania kodi yake ni asilimia 18%,
  • URUSI ina idadi ya watu 144,000,000,
  • URUSI ni nchi ya 9 kwa idadi ya watu duniani,
  • Sehemu kubwa ya URUSI ni Tambarare na milima baadhi ya Maeneo,
  • Nchi ya URUSI ina pakana na Bahari 11 zikiwemo kubwa na ndogo,
Yaani Iko hivi;- Duniani kuna Bahari Kubwa zinaitwa OCEAN ambazo ni Bahari ya HINDI, PASIFIC NA ATLANTIC na kuna Ndogo ambazo ndio nyingi zinaitwa Sea kwa mfano;- Red sea, Dead sea na kadhalika.
  • Nchi ya URUSI ndio nchi yenye Ufukwe mrefu kuliko nchi zote Duniani urefu wake ni kilometer 37000,
  • Nchi ya URUSI ina miliki Visiwa 7,
  • Nchi ya URUSI ina Mito 8,
  • Nchi ya URUSI ndio Nchi inayoongoza kwa Kutoa Huduma Bora za Udaktari,
  • Nchi ya URUSI ndio nchi inayoongoza kwa uchoyo wa elimu duniani,
yaani ukienda URUSI kusoma wakikiuona unaakili sana,
Lazima watakupa dawa kwa njia yeyote ile ili wakupumbaze akili na ndio maana madaktari wengi waliokwenda Kusoma URUSI,
Wakirudi nchini kwao kama vile Tanzania akili zao huwa zimeruka kidogo mfano Mzuri Dokta shika na wengine wengi.

Russians wana eneo kubwa sana lisilokaliwa na watu. While the country is roughly two times bigger than the USA, its population is less than one-half of that of USA. Ndiyo maana hawakuona shida hata kuiuza Alaska kwa Wamarekani.
 
Mwaka 1984 Samora alifanya ziara ya Tanzania na akapata nafasi ya kutembelea mafunzo ya warusi yaliyofanyika Bagamoyo.

Hao ni makomandoo wa kirusi waliokuwa wakiendesha mafunzo. Ofisi zao zilikuwa pale Gymkhana karibu na uwanja wa golf. Tulikuwa tukipishana na lada zao mitaa ile wakati wa utotoni.
Aisee
 
Kumbe put-in hapendi vita?!!!

Na Kwa taarifa yako AK-47, yaani 'Avtomat Kalashnikova 1947' au kwa Kimalkia, 'Automatic Kalashnikov 1947', ni silaha ya Warusi iliyoasisiwa mwaka huo, na ambayo iMEUZWA sana duniani kote na kusababisha mauaji ya mamilioni ya binadamu!!

Warusi ni mabeberu kama mabeberu wengine na ni wababe kwny biashara ya silahaπŸ™„
Kwa taarifa tu, kiwanda cha AK-47 kiko Kiev
 
Back
Top Bottom