Watanzania tusithubutu kuingilia mambo ya akina Putin kwani ni ndugu yetu kabisa

Watanzania tusithubutu kuingilia mambo ya akina Putin kwani ni ndugu yetu kabisa

In the near future Rais SSH ni vizuri akimwalika rais Putin kuitembelea Tanzania hata kwa muda mfupi. We are tired of the imperialist the mabeberus. Kazi yao kuhamasisha vita tu ili wapate masoko ya kuuza silaha zao. To hell with the imperialists ๐Ÿ‘Ž๐Ÿ‘Ž
๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐˜๐—ฒ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ฒ ๐—บ๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐˜๐—ถ
 
Kumbe put-in hapendi vita?!!!

Na Kwa taarifa yako AK-47, yaani 'Avtomat Kalashnikova 1947' au kwa Kimalkia, 'Automatic Kalashnikov 1947', ni silaha ya Warusi iliyoasisiwa mwaka huo, na ambayo iMEUZWA sana duniani kote na kusababisha mauaji ya mamilioni ya binadamu!!

Warusi ni mabeberu kama mabeberu wengine na ni wababe kwny biashara ya silaha[emoji849]
Nasikia hata kwenye matope haijam
 
PUTIN: AFRIKA HAITOKAA IWE HURU

"Afrika haitokaa iwe HURU. Waafrika wanawaamini Wazungu, Wamarekani na Wachina zaidi kuliko wanavyojiamini wao wenyewe....hawajiamini wao wenyewe hata kidogo.

Mzungu au mtu mweupe anafanya makosa Afrika tena makosa ya jinai ila hakuna hatua za kisheria zitakazochukuliwa dhidi yake kwa sababu mamlaka za Afrika zinatutazama sisi weupe kama miungu, jambo ambalo liko mbali sana na ukweli.

Mtu mweusi (Mwafrika) anaweza kuteswa, kunyanyaswa na hata kuuawa kinyama Ulaya lakini hakuna mamlaka yoyote ya Afrika inayoweza kuuliza wala kuhoji.

Waafrika wamejikubali na kuamini kuwa wao ni watu DHAIFU wasio na tumaini haswa linapokuja suala la kupambana na Wazungu, Wamarekani na Wachina. Mzungu, Mmarekani au Mchina anaweza kumdhalilisha, kumtukana, kumpiga na hata kumuua Mwafrika katika ardhi ya Afrika tena kwenye nchi yake au nje ya Afrika na Viongozi wa Afrika wataliona hilo na kila mmoja atajiweka kana kwamba hakuona wala kusikia.

Adui wa Mwafrika ni Mwafrika. Mwafrika mpe silaha, pesa au ahadi ya madaraka madogo tu kwa sharti moja tu la kumuua Mwafrika mwenzake, atamuua kinyama kuliko ulivyotarajia. Adui wa Mwafrika sio mzungu, sio Mmarekani wala sio mchina. Adui wa Mwafrika ni AKILI na fikra zake na ndio maana leo Wazungu, Wamarekani, Waarabu na Wachina wameitawala tena Afrika kwa kutumia dini, Elimu, uchumi, teknolojia, siasa na utamaduni.

Waafrika ni watu wanaochukiana na wasioaminiana na ndio maana Afrika haiwezi kuungana na haitokaa iungane kuwa na dola imara. Chuki ya wenyewe kwa wenyewe na utengano ndio inayowapa wakoloni wao nguvu ya kuendelea kunyonya rasilimali za Afrika."

Je unakubaliana na Rais Vladmir Putin?
Je ni kipi unaweza kuongeza kuhusu Afrika?

Quote
Ni ukweli mtu
Ili sidhani kama ameongea Putin mwenyewe haya
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kenya kaambiwa apambane na njaa kwanza
Tatizo la Kenya nikutaka kuipiku Tanzania kidiplomasia na nguvu ya ushawishi huko UN! Russia yuko sahihi kufukuza maadui mbali na nyumbani kwake! Ile speech ina vocabulary nzuri ila haina mantiki kama speech za legendary Mugabe!
 
In the near future Rais SSH ni vizuri akimwalika rais Putin kuitembelea Tanzania hata kwa muda mfupi. We are tired of the imperialist the mabeberus. Kazi yao kuhamasisha vita tu ili wapate masoko ya kuuza silaha zao. To hell with the imperialists [emoji107][emoji107]
Amkaribishe muuaji mwingine?
 
Hii iwafikie viongozi wetu,

Tusije kubali kujiingiza kwenye issue za akina Putin kwani Putin huyu ni ndugu yetu kabisa.

Tumeishi naye Bagamoyo, alitufundishia ma freedom fighters.

Hivyo sisi tuwe silence tu wakati mtu ananyodolewa huko.

Kapicha haka hapa.
View attachment 2130250


Ushabiki tu amewahi kusema lolote kuhusu Tanzania au mko busy kuweka picha za watu wengine na kuwaita Putin
 
๐—ž๐—”๐— ๐—” ๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ž๐—จ๐—” ๐—›๐—จ๐—œ๐—๐—จ๐—œ ๐—ก๐—–๐—›๐—œ ๐—ž๐—จ๐—•๐—ช๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐—˜๐—ก๐—˜๐—ข ๐—ž๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ž๐—ข ๐—ก๐—–๐—›๐—œ ๐—ญ๐—ข๐—ง๐—˜ ๐——๐—จ๐—ก๐—œ๐—”๐—ก๐—œ ๐—ก๐—š๐—ข๐—๐—” ๐—ก๐—œ๐—ž๐—จ๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜;-

-URUSI ndio nchi kubwa kuliko zote duniani,
-URUSI ipo Barani Asia na Ulaya,
  • Ni nchi moja iligawanyika katika mabara mawili,
  • Mji mkuu wa URUSI huitwa MOSCOW mji ambao Kombe la Dunia lilifanyika 2018,
  • Lugha ya taifa hilo ni Kirusi,
  • Kirusi ni moja ya Lugha ngumu sana kujifunza duniani,
  • Ugumu wa Lugha hio pia husabishwa na herufi zake,
Kwani hawatumii herufi hizi za kawaida wao hutumia herufi zao tofauti kabisa,
Kama vile;- Wachina,Waarabu na Wajeruma na wao hawatumii kabisa herufi kama tunazotumia sisi,
  • Nchi ya URUSI ina ukubwa wa kilometa za mraba 17075400,
  • Fedha ya URUSI huitwa RUB,
  • Nchi ya URUSI ndio nchi inayoongoza kwa kupakana na nchi nyingi duniani,
  • Kwa jumla inapakana na nchi zipatazo14,
  • Miongoni mwa nchi zinazopakana na Urusi ni Korea Kaskazini,China na Norway,
-URUSI ni Nchi ya KWANZA Kwa kuzalisha gesi Duniani,
  • URUSI ni Nchi ya PILI kwa kuzalisha mafuta Duniani,
  • Huku nchi ya kwanza Duniani kuzalisha mafuta ikiwa ni Saudi Arabia,
  • Nchi ya Urusi ndio nchi yenye kodi ndogo kuliko nchi zote Barani Asia na kodi yake ni 7% wakati Tanzania kodi yake ni asilimia 18%,
  • URUSI ina idadi ya watu 144,000,000,
  • URUSI ni nchi ya 9 kwa idadi ya watu duniani,
  • Sehemu kubwa ya URUSI ni Tambarare na milima baadhi ya Maeneo,
  • Nchi ya URUSI ina pakana na Bahari 11 zikiwemo kubwa na ndogo,
Yaani Iko hivi;- Duniani kuna Bahari Kubwa zinaitwa OCEAN ambazo ni Bahari ya HINDI, PASIFIC NA ATLANTIC na kuna Ndogo ambazo ndio nyingi zinaitwa Sea kwa mfano;- Red sea, Dead sea na kadhalika.
  • Nchi ya URUSI ndio nchi yenye Ufukwe mrefu kuliko nchi zote Duniani urefu wake ni kilometer 37000,
  • Nchi ya URUSI ina miliki Visiwa 7,
  • Nchi ya URUSI ina Mito 8,
  • Nchi ya URUSI ndio Nchi inayoongoza kwa Kutoa Huduma Bora za Udaktari,
  • Nchi ya URUSI ndio nchi inayoongoza kwa uchoyo wa elimu duniani,
yaani ukienda URUSI kusoma wakikiuona unaakili sana,
Lazima watakupa dawa kwa njia yeyote ile ili wakupumbaze akili na ndio maana madaktari wengi waliokwenda Kusoma URUSI,
Wakirudi nchini kwao kama vile Tanzania akili zao huwa zimeruka kidogo mfano Mzuri Dokta shika na wengine wengi.
 
Hii iwafikie viongozi wetu,

Tusije kubali kujiingiza kwenye issue za akina Putin kwani Putin huyu ni ndugu yetu kabisa.

Tumeishi naye Bagamoyo, alitufundishia ma freedom fighters.

Hivyo sisi tuwe silence tu wakati mtu ananyodolewa huko.

Kapicha haka hapa.
View attachment 2130250
Mzungu kamwe siyo ndugu yako. Mzungu siku zote ni adui yako. Pamoja na vizazi vyako vyote mtakuwa mmelaaniwa kama umezaa na Mzungu. Mzungu ni Shetani. Mjinga wewe.
 
Hii iwafikie viongozi wetu,

Tusije kubali kujiingiza kwenye issue za akina Putin kwani Putin huyu ni ndugu yetu kabisa.

Tumeishi naye Bagamoyo, alitufundishia ma freedom fighters.

Hivyo sisi tuwe silence tu wakati mtu ananyodolewa huko.

Kapicha haka hapa.
View attachment 2130250

Freedom fighters walidanganywa maana walimtoa mkoloni mweupe, wakaletewa mkoloni mweusi. Huko Zimbabwe walimtoa Ian Smith wakamuingiza Mugabe. Mugabe kaiharibu Zimbabwe, kaifilisi, kala keki yote ya taifa kawaachia hao freedom fighters sahani tupu. Nafikiri leo ungewauliza wangesema walipotea step kama wanaongea ukweli.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Jitokeze basi mzungumze chochote, watuwashie moto. tutatumiwa ndege moja, tu hapa bongo. Huyo mwamba ni balaa. Tutulie tu
Hana lolote huyo Putin wako.Ufupi wa kimo unalingana na akili yake.Anafanya mambo ya kale sana.Kuteka makoloni?๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Hii iwafikie viongozi wetu,

Tusije kubali kujiingiza kwenye issue za akina Putin kwani Putin huyu ni ndugu yetu kabisa.

Tumeishi naye Bagamoyo, alitufundishia ma freedom fighters.

Hivyo sisi tuwe silence tu wakati mtu ananyodolewa huko.

Kapicha haka hapa.
View attachment 2130250
Uingilie una ubavu? Ubavu wetu NI kuwadhibiti kina Mbowe tu siyo zaidi ya hapo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hana lolote huyo Putin wako.Ufupi wa kimo unalingana na akili yake.Anafanya mambo ya kale sana.Kuteka makoloni?๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Hana lolote wakati jamaa washapeleka mashambulizi yao Ukraine nyie mnabweka tu ๐Ÿ˜„ puttin ni kidume
 
Back
Top Bottom