Watanzania tusithubutu kuingilia mambo ya akina Putin kwani ni ndugu yetu kabisa

Watanzania tusithubutu kuingilia mambo ya akina Putin kwani ni ndugu yetu kabisa

Hii iwafikie viongozi wetu,
Tusije kubali kujiingiza kwenye issue za akina Putin kwani Putin huyu ni ndugu yetu kabisa.

Tumeishi naye Bagamoyo, alitufundishia ma freedom fighters.

Hivyo sisi tuwe silence tu wakati mtu ananyodolewa huko.

Kapicha haka hapa.
View attachment 2130250
Na aina ya Siasa zetu ni mchanganyiko wa western values, china na Russia + africa
 
Nchi nyingi za Ulaya mashariki ni masikini tu compare to magharibi.
Halafu wana ubaguzi hatari sana hasa kwa watu weusi
Mkuu, level ya umaskini ya hao wazungu wa mashariki na watu weusi zina uwiano?
 
PUTIN: AFRIKA HAITOKAA IWE HURU

"Afrika haitokaa iwe HURU. Waafrika wanawaamini Wazungu, Wamarekani na Wachina zaidi kuliko wanavyojiamini wao wenyewe....hawajiamini wao wenyewe hata kidogo.

Mzungu au mtu mweupe anafanya makosa Afrika tena makosa ya jinai ila hakuna hatua za kisheria zitakazochukuliwa dhidi yake kwa sababu mamlaka za Afrika zinatutazama sisi weupe kama miungu, jambo ambalo liko mbali sana na ukweli.

Mtu mweusi (Mwafrika) anaweza kuteswa, kunyanyaswa na hata kuuawa kinyama Ulaya lakini hakuna mamlaka yoyote ya Afrika inayoweza kuuliza wala kuhoji.

Waafrika wamejikubali na kuamini kuwa wao ni watu DHAIFU wasio na tumaini haswa linapokuja suala la kupambana na Wazungu, Wamarekani na Wachina. Mzungu, Mmarekani au Mchina anaweza kumdhalilisha, kumtukana, kumpiga na hata kumuua Mwafrika katika ardhi ya Afrika tena kwenye nchi yake au nje ya Afrika na Viongozi wa Afrika wataliona hilo na kila mmoja atajiweka kana kwamba hakuona wala kusikia.

Adui wa Mwafrika ni Mwafrika. Mwafrika mpe silaha, pesa au ahadi ya madaraka madogo tu kwa sharti moja tu la kumuua Mwafrika mwenzake, atamuua kinyama kuliko ulivyotarajia. Adui wa Mwafrika sio mzungu, sio Mmarekani wala sio mchina. Adui wa Mwafrika ni AKILI na fikra zake na ndio maana leo Wazungu, Wamarekani, Waarabu na Wachina wameitawala tena Afrika kwa kutumia dini, Elimu, uchumi, teknolojia, siasa na utamaduni.

Waafrika ni watu wanaochukiana na wasioaminiana na ndio maana Afrika haiwezi kuungana na haitokaa iungane kuwa na dola imara. Chuki ya wenyewe kwa wenyewe na utengano ndio inayowapa wakoloni wao nguvu ya kuendelea kunyonya rasilimali za Afrika."

Je unakubaliana na Rais Vladmir Putin?
Je ni kipi unaweza kuongeza kuhusu Afrika?

Quote
 
Hii iwafikie viongozi wetu,
Tusije kubali kujiingiza kwenye issue za akina Putin kwani Putin huyu ni ndugu yetu kabisa.

Tumeishi naye Bagamoyo, alitufundishia ma freedom fighters.

Hivyo sisi tuwe silence tu wakati mtu ananyodolewa huko.

Kapicha haka hapa.
View attachment 2130250
Zaidi ya upumbavu wa mavita na kuua watu,Putin amesaidia nini kwenye uchumi wetu?

Undugu ni kufaana,marekani na washirika wake ndio wenye mchango mkubwa kwenye uchumi wetu kuliko wengineo
 
Hii iwafikie viongozi wetu,
Tusije kubali kujiingiza kwenye issue za akina Putin kwani Putin huyu ni ndugu yetu kabisa.

Tumeishi naye Bagamoyo, alitufundishia ma freedom fighters.

Hivyo sisi tuwe silence tu wakati mtu ananyodolewa huko.

Kapicha haka hapa.
View attachment 2130250
Pumbavu,ila kwa sababu hizi Nchi za kijamaa huwa hazijali humanity na welfare ya watu ni sawa,wafe sawa wasife sawa kikubwa sifa za kijinga.

Endeleeni kushangilia vita

Screenshot_20220225-082547.png
 
Nchi za Africa hakuna wa kujaribu kunyenya mdomo, hivyo ni vita vya matajiri wa ulimwengu, sisi wacha tuhangaike kuchonga madawati ya vijana wetu mashuleni.
 
[emoji632][emoji298]️No one in Europe and the US wants to go to war with Russia - French Defense Minister
 
RUSSIAN ENVOY TO JAPAN: THERE WILL BE SERIOUS RUSSIAN RESPONSE TO JAPANESE SANCTIONS AGAINST RUSSIA
 
Putin who don’t care about sanctions just got pissed and reacted to sanctions
 
Back
Top Bottom