Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #21
Mkuu JakiDubai, kuna watu wanaandika jf ili waungwe mkono?, utaniunga mkono ili iweje?.Ukiacha kutetea DP world tutakuunga mkono
AsanteMzee unatupeleka mbele, unaturudisha nyuma! Kuna wakati unakuja na hoja za Ki great thinker kama hizi!
Watu wengine ni kama YULE aliyekuja kwa ajili ya waliopotea, hivyo kwenye hivyo visivyoeleweka ndio naviunga mkono ili vieleweke!. Hivyo ndivyo ma realist tulivyo tunasimama na ukweli daima!.Kuna wakati unaunga mkono hata vile vitu visivyoeleweka!!
Kuna wengi wana wish kama wewe, tatizo ni wengine hao ni wapi?.All in all, nadhani ifikie wakati CCM ikubali kuwaachia wengine madaraka, ili tuone pia sura zao halisi.
Naunga mkono hojaNa hii ni baada ya kukubali kuwepo na Tume huru ya uchaguzi, na pia Katiba yenye maslahi kwa Taifa!
Naunga mkono hoja.Na siyo maslahi kwa chama fulani cha siasa, au watu fulani wenye ushawishi.
Duh!.Kinyonga
Bunge lilipitisha IGA ya DPW na Bandari Jumamosi ya Tarehe 10 June, angalia tarehe ya bandiko hili uone mimi nilianza lini. Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!Ajabu leo umeuiona ubovu wa ile IGA na kuusema wazi wazi,
Hapa ni niliwashambulia au ni niliuliza? Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?Ajabu leo umeuiona ubovu wa ile IGA na kuusema wazi wazi, sasa kwanini TEC siku ile walipotoa maoni yao na kuupinga ule mkataba unaokiri leo una mapungufu uliwashambulia?
Hao ni watu wasiomjua Mungu, wakidhani kanisa ndilo litawapeleka mbinguni!, na ni kweli kuna makanisa ni hodari kwa kuwatenga waumini wakati Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe hakuwatenga wenye dhambi, ndio kwanza aliwaita kwake wale wote walioelemewa na mizigo, aliwapumzisha!.Kuna watu wanaogopa kutengwa na kanisa.
Hao ni watu wasiomjua Mungu, wakidhani kanisa ndilo litawapeleka mbinguni!, na ni kweli kuna makanisa ni hodari kwa kuwatenga waumini wakati Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe hakuwatenga wenye dhambi, ndio kwanza aliwaita kwake wale wote walioelemewa na mizigo, aliwapumzisha!.Kuna watu wanaogopa kutengwa na kanisa.
Kuna wajina wako alishawahi kuandika hapa JF kuwa kanisa katoliki huwa limetenga kumzika mtu, kwa maandiko yako na hilo limo"? "...ni kweli kuna makanisa ni hodari kwa kuwatenga waumini..."Hao ni watu wasiomjua Mungu, wakidhani kanisa ndilo litawapeleka mbinguni!, na ni kweli kuna makanisa ni hodari kwa kuwatenga waumini wakati Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe hakuwatenga wenye dhambi, ndio kwanza aliwaita kwake wale wote walioelemewa na mizigo, aliwapumzisha!.
Niliwahi kutoa angalizo Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.
P