Too personalHata kusumbua waomba kazi kuja mpaka Geita pale Wajja Hospital kwa Interview feki wakati tayari mna mtu wenu mdada ambaye mlimwambia aje saa 6 mchana wakati wengine mliwaambia waje saa 2 asubuhi nao ni UFISADI na UTAPELI kama huo mwingine tu,shame on you all Wajja Hospital
2007kwahivyo waliotajwa kwenye list of shame hawako madarakani na wala hayati EGLowasa hakuwako madarakani right?
Gentleman,
hiyo list of shame ilitajwa mwaka gani, ili kuweka kumbukumbi sawa kwa faida ya wadau?π
Fikra mbadala ni wewe na wenzio mkatae kuwa chawa wa mafisadi.ilisaidia nini hiyo list of shame, na hiyo chuki kwa mafisadi itasaidia nini wananchi, bila kuja na mawazo mapya na fikra mbdala kuukomesha huo ufisadi π
How come akemee UFISADI wakati yeye mwenyewe na kitaasisi chao wanafanyia watu UFISADI na UTAPELI,kama mtahiniwa alisafiri kutoka Dar mpaka Geita na kuishia kulala stendi ya mabasi nia ahudhurie Usaili kesho yake ambao ni Usaili hewa huoni kama ni UFISADI huo??kabla hajakemea na kutaka kutoa kibanzi cha UFISADI kwenye jicho la mwingine ni vema aanze kukemea na kuondoa Boriti la UFISADI kwenye Taasisi yao ya kitapeli ya Wajja HospitalToo personal
Kwani ilikuwaje mkuu mbona uko kama mtoto ? Usaili kuna kupata na kukosa umekosa tulia njaa zako ndio zilikusafirisha , pili hicho kituo kama ni cha binafsi na wana mtu hawezi ita interview ni wataajiri tu uwe una tumia akili nilipita kwenye tangazo lao umeandika mambo mengi sana .Ugumu wa maisha usifanye usumbue watu ,kama hujaajiriwa jiajiri , ungekuwa unatukana taasisi yangu ningekushitaki kabisa .How come akemee UFISADI wakati yeye mwenyewe na kitaasisi chao wanafanyia watu UFISADI na UTAPELI,kama mtahiniwa alisafiri kutoka Dar mpaka Geita na kuishia kulala stendi ya mabasi nia ahudhurie Usaili kesho yake ambao ni Usaili hewa huoni kama ni UFISADI huo??kabla hajakemea na kutaka kutoa kibanzi cha UFISADI kwenye jicho la mwingine ni vema aanze kukemea na kuondoa Boriti la UFISADI kwenye Taasisi yao ya kitapeli ya Wajja Hospital
Uko sahihiFikra mbadala ni wewe na wenzio mkatae kuwa chawa wa mafisadi.
Gentleman,Fikra mbadala ni wewe na wenzio mkatae kuwa chawa wa mafisadi.
Hayo ndio chanzo kikuu cha matatizo yetu kama taifa na kama waafrika,iwapo kwako unaoni sii tatizo huna sababu ya kutumia nguvu zote hizo kuhalalisha hayo.Gentleman,
ni vema kurilax ama kukaa kimya kabisa, ikiwa umefikia ukomo wako wa mwisho wa tafakuri juu ya mambo muhimu na mazito sana ya kitaifa hususani yaliyokulemea ufahamu, kuliko kuendeshwa na dhana za potofu sana unyumbu au uchawa ambazo completely ni useless, na zisizokua na impact yeyote kwenye mageuzi au maendeleo ya mtu au watu katika eneo mahalia π
Kuna faida gani sasa wakati fedha na mali za ufisadi wanaendelea kuwa navyo!?Fisadi inatakiwa aimbwe kila sehemu, meme kila sehemu na achukiwe popote atakapo onekana.
Eti ungenishtaki,kwa akili zipi ulizonazo??wakati naingia Utumishi wa Umma mwaka 1998 nadhani ulikuwa kiunoni kwa Baba yako,kwa kifupi sina shida ya Ajira,isipokuwa kwenye ukweli lazima usemwe vitaasisi vya kitapeli kama hiki cha Wajja Hospital viache kusumbua watuKwani ilikuwaje mkuu mbona uko kama mtoto ? Usaili kuna kupata na kukosa umekosa tulia njaa zako ndio zilikusafirisha , pili hicho kituo kama ni cha binafsi na wana mtu hawezi ita interview ni wataajiri tu uwe una tumia akili nilipita kwenye tangazo lao umeandika mambo mengi sana .Ugumu wa maisha usifanye usumbue watu ,kama hujaajiriwa jiajiri , ungekuwa unatukana taasisi yangu ningekushitaki kabisa .
kwanza kabisa nakusihii ujitenge na kuacha upotoshaji wa wazi zazi.Hayo ndio chanzo kikuu cha matatizo yetu kama taifa na kama waafrika,iwapo kwako unaoni sii tatizo huna sababu ya kutumia nguvu zote hizo kuhalalisha hayo.
Sawa hata mbuni waonapo hatari wanachimbia kichwa mchangani huku kiwiliwili kikiwa hakina pakwenda.kwanza kabisa nakusihii ujitenge na kuacha upotoshaji wa wazi zazi.
hakuna matatizo yote yote nchini, iwe ni kisiasa, kiuchumi wala kijamii. Nchi ni tulivu, ya amani na kwakweli usalama ni wa kiwango cha juu sana.
kama una makasiriko binafsi, hilo linabaki kua tatizo binafsi. ni vema kutafuta ufumbuzi binafsi.
Infact,
hakuna haja kubabaika kuhalalisha chochote wala kutumia nguvu kutetea chochote. Mambo ni bayana hadharani mchana kweupe.
wala rushwa wanachukuliwa hatua na kuwajibishwa bila mbambamba yoyote gentleman π
Bahati iliyombaya kwetu wengine wanaupenda,uliufuatilia uzi utathibitisha pasipo kuacha shaka.Hisia ,chuki na mihemko vikitawala mambo mengi sana huwa hayaendi sawa.
Ripoti za CAG zinatolewa, madudu mengi yanaonekana, pesa nyingi zinaliwa na kupotea.
Kwa sasa hali ilivyo utapiga mtoto wako au ukifanya tukio ambalo ndilo linavuta hisia za wajinga wengi na welevu wachache hapo haki itatendeka huku fisadi akiachwa anadunda mitaani.
Ufisadi hauna tofauti na uuaji, unyanyasaji na ulawiti.
Watu wanakufa sababu ya mpumbavu mmoja asiyejali maisha ya watu na kuwa na utu kakwapua ma bilioni.
Fisadi inatakiwa aimbwe kila sehemu, meme kila sehemu na achukiwe popote atakapo onekana.
CHADEMA ya Slaa walikuja na list of SHAME pale Mwembeyanga ndivyo inavyotakiwa .
hakuna haja kujadili au kujifananisha na mbuni au nyumbu gentleman,Sawa hata mbuni waonapo hatari wanachimbia kichwa mchangani huku kiwiliwili kikiwa hakina pakwenda.
Basi jua kujifananisha au kuwa mwizi pia ni hivyo hivyo.hakuna haja kujadili au kujifananisha na mbuni au nyumbu gentleman,
kutamani au kujifananisha na mbuni ni kufuru π
Mafisadi huwa hawapati peace of mind maisha yao yote !Fikra mbadala ni wewe na wenzio mkatae kuwa chawa wa mafisadi.
kutamani au kujifananisha na mnyama au mwizi mnyang'anyi ni laana gentleman. Jiepushe na hali hiyo mbaya sana na isiyo ya baraka tafadhali gentleman πBasi jua kujifananisha au kuwa mwizi pia ni hivyo hivyo.
Kina wengine wananufaikaBahati iliyombaya kwetu wengine wanaupenda,uliufuatilia uzi utathibitisha pasipo kuacha shaka.