Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Wanabodi,

Kati ya maeneo magumu sana kwenye tasnia ya habari ambayo kwa sisi Tanzania tumelikosa, tunaendelea kulikosa, na kama hawatajitokeza watu wenye uwezo wa kulifanya, tutaendelea kulikosa, ni eneo la "news analysis" uchambuzi wa habari.

Kazi kuu za traditional media ni kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, sasa katika hizo tatu, media ya Tanzania inafanya vizuri katika eneo la uhabarishaji, na kutoa burudani, lakini katika uelimishaji, bado tuna matatizo, na katika eneo la uchambuzi wa habari, news analysis ndio kabisa, media zetu nyingi hazina uwezo huo, kwasababu hazina watu wenye uwezo huo, matokeo yake, mtu akisema kitu, media zinachukua na kukirusha tuu hivyo hivyo kama kasuku, bila kukichakata na kukifanyia analysis.

Juzi kati hapa rais wetu Mhe. Mama kazuzungumzia need ya Watanzania kumchagua rais mwanamke mwaka 2025 kwa kusema tutamsimamisha Mwanamke, media zimelidaka kama lilivyo kikasuku kasuku na kuanza kulivurumisha, hivyo kuleta mjadala mkubwa kwenye media na mitandao ya jamii, mara kaanza kampeni mapema, mara kajiteua, mara ni ubaguzi wa kuwabagua wanaume, mara hivi mara vile, hivyo bandiko hili ni kuwasaidia kidogo, kuwafanyia a simple analysis ya alichokisema rais Samia.

Kwanza ni ombi kwenu Watanzania wenzangu, kwanza tuunge mkono msimamo wa rais wetu Samia kuwa uchaguzi mkuu wa rais na wabunge wa 2025, tuufanye, sio tuu ni zamu ya kuchagua mgombea mwanamke, bali tuifanye ndio zamu ya ukombozi rasmi wa mwanamke katika siasa, sio tuu tuchague rais mwanamke, bali tuchague wabunge na wadiwani wanawake kwa wingi na kuifikia ile 50/50 ya azimio la Beijing na hata kupita, ila kwenye urais, sio lazima ndio awe Mama Samia, anaweza kuwa yeye au mwanamke mwingine yoyote aliyepangiwa kwasababu mpangaji sio yeye, wala sio sisi, mpangaji na YEYE. Hivyo ikitokea, rais wa Tanzania kwa mwaka 2025 aliyepangiwa na YEYE, ni yeye Mama Samia, then who are we kusema no, kama ni yeye aliyepangiwa, na YEYE, then ni yeye!.

Hivyo mimi naunga mkono hoja ya rais mwanamke ile 2025, kwasabubu kiukweli kabisa, wanawake wana uwezo sana wa uongozi na wengine kuliko hata wanaume, ila siku zote, tumekuwa tukiwakandamiza kutokana na kutawaliwa na mfumo dume kwa miaka nenda miaka rudi, na mpaka Mungu alipoingilia kati. Kama Mungu asingeingilia kati na JPM akaendelea hadi 2025, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke, lakini baada ya Mungu kuingilia kati na Tanzania kwa mara ya kwanza tukapata rais mwanamke, na Mama Samia ameisha onyesha na kuthibitisha pasipo shaka kuwa wanawake wanaweza, then why not 2025 asiwe mwanamke sasa sio tena kwa kudra za Mwenyeenzi Mungu bali kwa chaguo la Mungu kwa Tanzania na kupata endorsement ya Watanzania kwenye sanduku la kura, kumchagua rais mwanamke na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha. Na hili likifanyika na likakamilika kikamilifu, uchaguzi wa 2025 tukapata 50/50 ya wabunge na madiwani wanawake wa kutosha. Kazi ya kwanza ya Bunge jipya ni kufuta viti maalum, vitakuwa havihitajiki tena, vikiendelea kubaki ni wastage of time, money and resources.

Marais wa Nchi Hupangwa na Mungu, Hata JPM alikuwa ni Chaguo la Mungu kwa Tanzanzia, Hivyo Hata Samia ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania hadi 2025. Kama Samia ni mpaka wa Mungu kwa Tanzania 2025 -2030, then Mungu atasema na sisi, kwasababu hata JPM. hakuna aliyejua Mungu alipanga nini, lakini kwa utaratibu wa CCM, urais huu wa Mama Samia ulioletwa kwa kudra za Mwenyezi Mungu, hii ni awamu yake ya kwanza, hivyo kila mtu anajua uchaguzi wa 2025 ndio awamu yake ya pili ya Mama Samia but only if ndivyo Mungu alivyopanga.

Kwa vile hili ya yeye kugombea 2025, rais Samia mwenyewe aliisha liweka vizuri kabisa ile siku anahojiwa na Salim Kikeke wa BBC, baada ya kuhojiwa kama atagombea urais 2025, rais Samia alijibu vizuri kabisa kuwa "kwa sasa tufanye kwanza kazi, ya 2025 tumwachie Mungu maana no one is shure kufika 2025", hivyo hata rais Samia aliposema 2025 tutamchagua mwanamke, hajamaanisha lazima ni yeye, ni busara kwa rais wetu Samia, hili la ugombea wa 2025, akaendelea na msimamo wake ule ule wa kwenye BBC kuwa ya 2025 tumuachie Mungu. Kwa sasa, rais aendelee ku deal na haya ya Kaizari, kwa kuchapa kazi na kazi iendelee na yale ya Kimungu tumuachie Mungu mwenyewe.

Swali linabaki, Jee Samia ndio mpango wa Mungu kwa Tanzania, 2025 ....

Nenda ukanisome in between the lines, nilisema nini kumhusu mtu anayeitwa Samia Suluhu Hassan, katika mabandiko haya.


Ukiisha soma, kama una uwezo to read in between the lines, jibu utakuwa umelipata.

Sasa kama mpangaji ni YEYE, na ndie amepanga 2025 ni yeye, then who are we to say no?.

2025 Twende na Mwanamke!.

Paskali

Hoja ingependeza zaidi asiwe huyu. Bora kujaribu mwingine.

IMG_20210704_051559_619.jpg


Asiyeendekeza umbeya ni kigezo muhimu.
 
Ukiulizwa swali hili “mwaka 2025 utagombea!? Ila ukaanza blah blah na ngonjera kama “tufanye kazi kwanza, ya 2025 tumwachie Mungu” maana yake ni kwamba wewe una mpango thabiti wa kugombea.

Kama huna mpango huo basi huhitaji hata sekunde mbili kujibu swahili hilo.

Mama anautaka urais beyond 2025. Keshanogewa. Kuna mijitu imeshajipenyeza ndani na bila kujua kaanza kutumiwa kufanikisha ajenda zao. Mungu atunusuru tufike 2025 before it is too late na bila shaka wale wanaopanga mambo behind the scene watahakikisha hatoboi
 
Ni maoni yangu braza..pia una ya kwako. Wote tuko sahihi.
Sijawahi sikia duniani koote rais anasifiiiwa na eti aongezewe muda kisa baadhi ya wafanyakazi wamepanda daraja!! Huo niuzuzu.

jukwaa hili nikubwa na lakimataifa hatuwezi vumilia akili ndooogo kuhutubia ujinga humu na tusikemee.

Nisawa namm nije hapa nijisifu watoto wangu nawapaga chakula!!! Mfanyakazi wa serikali ongea point tunakulipa mshahara Sisi ati sasa usitufanye tuwaone mnakula mshahara bure... Jua Haki zako damittt!!
 
Mbona bado mapema sana kuwaza uchaguzi 2025.

Unashindwa nini kuleta mada za kuchambua uwezo wamtu!!, hatutaki huujinga wa zamuya flani tunataka mtu mwenye uwezo, zamu zibaki kwa wenye ndoa zaidi ya moja ndio watapangiana zamu.
 
Watu kama ninyi ipo cku mukuchukuliwa na kuswekwa ndani,,, alafu muanze kumlaumu mama anawaonea mara oh katili. Ushauri wangu,, Chunga maneno yako mkuu yacje kukugarimu.
Kwani amekosea? Ni kweli kuwa tunaangalia sifa stahiki, kupima sera zao ikiwa zina tija na zinatekelezeka n.k, usimtishe kwani hajatukana. Ametumia haki yake kikatiba.
 
Mwanaume kamili hasifusifu hovyo na kutaja izosehemu ulizotaja!! Utakuwa shooo wewe,nkikwambia kaziyangu utanisifu kilasaa na unaezataka nikufanye nyumbandogo!! Acha tabia mbaya mtoto. Sifu kaleta sera bora,katiba safi,haki nk. Boya ww
Sawa Manka, next nitamsifu Gaidi au Mwendazake...
 
Wanabodi,

Kati ya maeneo magumu sana kwenye tasnia ya habari ambayo kwa sisi Tanzania tumelikosa, tunaendelea kulikosa, na kama hawatajitokeza watu wenye uwezo wa kulifanya, tutaendelea kulikosa, ni eneo la "news analysis" uchambuzi wa habari.

Kazi kuu za traditional media ni kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, sasa katika hizo tatu, media ya Tanzania inafanya vizuri katika eneo la uhabarishaji, na kutoa burudani, lakini katika uelimishaji, bado tuna matatizo, na katika eneo la uchambuzi wa habari, news analysis ndio kabisa, media zetu nyingi hazina uwezo huo, kwasababu hazina watu wenye uwezo huo, matokeo yake, mtu akisema kitu, media zinachukua na kukirusha tuu hivyo hivyo kama kasuku, bila kukichakata na kukifanyia analysis.

Juzi kati hapa rais wetu Mhe. Mama kazuzungumzia need ya Watanzania kumchagua rais mwanamke mwaka 2025 kwa kusema tutamsimamisha Mwanamke, media zimelidaka kama lilivyo kikasuku kasuku na kuanza kulivurumisha, hivyo kuleta mjadala mkubwa kwenye media na mitandao ya jamii, mara kaanza kampeni mapema, mara kajiteua, mara ni ubaguzi wa kuwabagua wanaume, mara hivi mara vile, hivyo bandiko hili ni kuwasaidia kidogo, kuwafanyia a simple analysis ya alichokisema rais Samia.

Kwanza ni ombi kwenu Watanzania wenzangu, kwanza tuunge mkono msimamo wa rais wetu Samia kuwa uchaguzi mkuu wa rais na wabunge wa 2025, tuufanye, sio tuu ni zamu ya kuchagua mgombea mwanamke, bali tuifanye ndio zamu ya ukombozi rasmi wa mwanamke katika siasa, sio tuu tuchague rais mwanamke, bali tuchague wabunge na wadiwani wanawake kwa wingi na kuifikia ile 50/50 ya azimio la Beijing na hata kupita, ila kwenye urais, sio lazima ndio awe Mama Samia, anaweza kuwa yeye au mwanamke mwingine yoyote aliyepangiwa kwasababu mpangaji sio yeye, wala sio sisi, mpangaji na YEYE. Hivyo ikitokea, rais wa Tanzania kwa mwaka 2025 aliyepangiwa na YEYE, ni yeye Mama Samia, then who are we kusema no, kama ni yeye aliyepangiwa, na YEYE, then ni yeye!.

Hivyo mimi naunga mkono hoja ya rais mwanamke ile 2025, kwasabubu kiukweli kabisa, wanawake wana uwezo sana wa uongozi na wengine kuliko hata wanaume, ila siku zote, tumekuwa tukiwakandamiza kutokana na kutawaliwa na mfumo dume kwa miaka nenda miaka rudi, na mpaka Mungu alipoingilia kati. Kama Mungu asingeingilia kati na JPM akaendelea hadi 2025, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke, lakini baada ya Mungu kuingilia kati na Tanzania kwa mara ya kwanza tukapata rais mwanamke, na Mama Samia ameisha onyesha na kuthibitisha pasipo shaka kuwa wanawake wanaweza, then why not 2025 asiwe mwanamke sasa sio tena kwa kudra za Mwenyeenzi Mungu bali kwa chaguo la Mungu kwa Tanzania na kupata endorsement ya Watanzania kwenye sanduku la kura, kumchagua rais mwanamke na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha. Na hili likifanyika na likakamilika kikamilifu, uchaguzi wa 2025 tukapata 50/50 ya wabunge na madiwani wanawake wa kutosha. Kazi ya kwanza ya Bunge jipya ni kufuta viti maalum, vitakuwa havihitajiki tena, vikiendelea kubaki ni wastage of time, money and resources.

Marais wa Nchi Hupangwa na Mungu, Hata JPM alikuwa ni Chaguo la Mungu kwa Tanzanzia, Hivyo Hata Samia ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania hadi 2025. Kama Samia ni mpaka wa Mungu kwa Tanzania 2025 -2030, then Mungu atasema na sisi, kwasababu hata JPM. hakuna aliyejua Mungu alipanga nini, lakini kwa utaratibu wa CCM, urais huu wa Mama Samia ulioletwa kwa kudra za Mwenyezi Mungu, hii ni awamu yake ya kwanza, hivyo kila mtu anajua uchaguzi wa 2025 ndio awamu yake ya pili ya Mama Samia but only if ndivyo Mungu alivyopanga.

Kwa vile hili ya yeye kugombea 2025, rais Samia mwenyewe aliisha liweka vizuri kabisa ile siku anahojiwa na Salim Kikeke wa BBC, baada ya kuhojiwa kama atagombea urais 2025, rais Samia alijibu vizuri kabisa kuwa "kwa sasa tufanye kwanza kazi, ya 2025 tumwachie Mungu maana no one is shure kufika 2025", hivyo hata rais Samia aliposema 2025 tutamchagua mwanamke, hajamaanisha lazima ni yeye, ni busara kwa rais wetu Samia, hili la ugombea wa 2025, akaendelea na msimamo wake ule ule wa kwenye BBC kuwa ya 2025 tumuachie Mungu. Kwa sasa, rais aendelee ku deal na haya ya Kaizari, kwa kuchapa kazi na kazi iendelee na yale ya Kimungu tumuachie Mungu mwenyewe.

Swali linabaki, Jee Samia ndio mpango wa Mungu kwa Tanzania, 2025 ....

Nenda ukanisome in between the lines, nilisema nini kumhusu mtu anayeitwa Samia Suluhu Hassan, katika mabandiko haya.


Ukiisha soma, kama una uwezo to read in between the lines, jibu utakuwa umelipata.

Sasa kama mpangaji ni YEYE, na ndie amepanga 2025 ni yeye, then who are we to say no?.

2025 Twende na Mwanamke!.

Paskali
Paschal Mayalla my brother do not undermine yourself by propagating a myth of the moths!!!!
 
Wanabodi,

Kati ya maeneo magumu sana kwenye tasnia ya habari ambayo kwa sisi Tanzania tumelikosa, tunaendelea kulikosa, na kama hawatajitokeza watu wenye uwezo wa kulifanya, tutaendelea kulikosa, ni eneo la "news analysis" uchambuzi wa habari.

Kazi kuu za traditional media ni kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, sasa katika hizo tatu, media ya Tanzania inafanya vizuri katika eneo la uhabarishaji, na kutoa burudani, lakini katika uelimishaji, bado tuna matatizo, na katika eneo la uchambuzi wa habari, news analysis ndio kabisa, media zetu nyingi hazina uwezo huo, kwasababu hazina watu wenye uwezo huo, matokeo yake, mtu akisema kitu, media zinachukua na kukirusha tuu hivyo hivyo kama kasuku, bila kukichakata na kukifanyia analysis.

Juzi kati hapa rais wetu Mhe. Mama kazuzungumzia need ya Watanzania kumchagua rais mwanamke mwaka 2025 kwa kusema tutamsimamisha Mwanamke, media zimelidaka kama lilivyo kikasuku kasuku na kuanza kulivurumisha, hivyo kuleta mjadala mkubwa kwenye media na mitandao ya jamii, mara kaanza kampeni mapema, mara kajiteua, mara ni ubaguzi wa kuwabagua wanaume, mara hivi mara vile, hivyo bandiko hili ni kuwasaidia kidogo, kuwafanyia a simple analysis ya alichokisema rais Samia.

Kwanza ni ombi kwenu Watanzania wenzangu, kwanza tuunge mkono msimamo wa rais wetu Samia kuwa uchaguzi mkuu wa rais na wabunge wa 2025, tuufanye, sio tuu ni zamu ya kuchagua mgombea mwanamke, bali tuifanye ndio zamu ya ukombozi rasmi wa mwanamke katika siasa, sio tuu tuchague rais mwanamke, bali tuchague wabunge na wadiwani wanawake kwa wingi na kuifikia ile 50/50 ya azimio la Beijing na hata kupita, ila kwenye urais, sio lazima ndio awe Mama Samia, anaweza kuwa yeye au mwanamke mwingine yoyote aliyepangiwa kwasababu mpangaji sio yeye, wala sio sisi, mpangaji na YEYE. Hivyo ikitokea, rais wa Tanzania kwa mwaka 2025 aliyepangiwa na YEYE, ni yeye Mama Samia, then who are we kusema no, kama ni yeye aliyepangiwa, na YEYE, then ni yeye!.

Hivyo mimi naunga mkono hoja ya rais mwanamke ile 2025, kwasabubu kiukweli kabisa, wanawake wana uwezo sana wa uongozi na wengine kuliko hata wanaume, ila siku zote, tumekuwa tukiwakandamiza kutokana na kutawaliwa na mfumo dume kwa miaka nenda miaka rudi, na mpaka Mungu alipoingilia kati. Kama Mungu asingeingilia kati na JPM akaendelea hadi 2025, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke, lakini baada ya Mungu kuingilia kati na Tanzania kwa mara ya kwanza tukapata rais mwanamke, na Mama Samia ameisha onyesha na kuthibitisha pasipo shaka kuwa wanawake wanaweza, then why not 2025 asiwe mwanamke sasa sio tena kwa kudra za Mwenyeenzi Mungu bali kwa chaguo la Mungu kwa Tanzania na kupata endorsement ya Watanzania kwenye sanduku la kura, kumchagua rais mwanamke na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha. Na hili likifanyika na likakamilika kikamilifu, uchaguzi wa 2025 tukapata 50/50 ya wabunge na madiwani wanawake wa kutosha. Kazi ya kwanza ya Bunge jipya ni kufuta viti maalum, vitakuwa havihitajiki tena, vikiendelea kubaki ni wastage of time, money and resources.

Marais wa Nchi Hupangwa na Mungu, Hata JPM alikuwa ni Chaguo la Mungu kwa Tanzanzia, Hivyo Hata Samia ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania hadi 2025. Kama Samia ni mpaka wa Mungu kwa Tanzania 2025 -2030, then Mungu atasema na sisi, kwasababu hata JPM. hakuna aliyejua Mungu alipanga nini, lakini kwa utaratibu wa CCM, urais huu wa Mama Samia ulioletwa kwa kudra za Mwenyezi Mungu, hii ni awamu yake ya kwanza, hivyo kila mtu anajua uchaguzi wa 2025 ndio awamu yake ya pili ya Mama Samia but only if ndivyo Mungu alivyopanga.

Kwa vile hili ya yeye kugombea 2025, rais Samia mwenyewe aliisha liweka vizuri kabisa ile siku anahojiwa na Salim Kikeke wa BBC, baada ya kuhojiwa kama atagombea urais 2025, rais Samia alijibu vizuri kabisa kuwa "kwa sasa tufanye kwanza kazi, ya 2025 tumwachie Mungu maana no one is shure kufika 2025", hivyo hata rais Samia aliposema 2025 tutamchagua mwanamke, hajamaanisha lazima ni yeye, ni busara kwa rais wetu Samia, hili la ugombea wa 2025, akaendelea na msimamo wake ule ule wa kwenye BBC kuwa ya 2025 tumuachie Mungu. Kwa sasa, rais aendelee ku deal na haya ya Kaizari, kwa kuchapa kazi na kazi iendelee na yale ya Kimungu tumuachie Mungu mwenyewe.

Swali linabaki, Jee Samia ndio mpango wa Mungu kwa Tanzania, 2025 ....

Nenda ukanisome in between the lines, nilisema nini kumhusu mtu anayeitwa Samia Suluhu Hassan, katika mabandiko haya.


Ukiisha soma, kama una uwezo to read in between the lines, jibu utakuwa umelipata.

Sasa kama mpangaji ni YEYE, na ndie amepanga 2025 ni yeye, then who are we to say no?.

2025 Twende na Mwanamke!.

Paskali
Ndo maana ulifukuzwa kazi serikalini!
Ujue Mayala, mabosi wote wa vyombo vya habari namaaanisha wamiliki hasa sio wakurugenzi wa vyombo hivyo yaani wale Media Mogul kama wakina Rupert Mardoch hawapendi waandishi wa habari wa aina yako, yaani mchunguzi mchunguzi unayejifanya ku reason sana, kutafiti tafiti na kuhoji hoji mambo, matajiri hawa wanataka mtu wa kufuata anachoambiwa tu, kwamba habari hii unatakiwa uisapoti kama inavyotakiwa, vyombo vya habari ni mdomo wa kusemea agenda za wakubwa, kazi yake ni kutu programu kichwani tunajikuta all society tunakuwa na the same thinking!! Yaani unaweza kutengeneza habari hata kama sio real ukaituma na kuisambaza, mfano media zinaweza kuamua kueneza negative story tu kama ni kuhamasisha mziki, ngono na content. Bombardment kila kona ni mind programming tu kuanzia social media, redio, magazeti na Television na kutiana ujinga tu, mbona hamfundishi wasikilizaji wenu kuwaambia wapande miti kila siku, waache kutumia mbolea ya chumvi kwenye hii ardhi tunaiua, watu waache kutumia "roundup" kwenye kuua majani it is "hazardous" hamuongei ukweli kuwa kansa inatibika kirahisi sana, vidonda vya tumbo vinatibika kwa gharama isiyozidi elfu 2, hamsemi jinsi namna ya matibabu inayotolewa na Hospitali yanaua, CT Scan jinsi zinavyoharakisha kifo cha mtu baada ya kupigwa mionzi hatari mwili mzima, uwekaji wa Fluoride kwenye maji ya kunywa na hamsemi kuwa Fluoride ni toxic inayoharibu meno huku ninyi mnawaambia watu Fluoride huimarisha meno! Mbona tunang'oa meno na tunapiga mswaki usiku na mchana!!!
Afu pia kama wewe ni mchunguzi je umechunguza huyo Mungu unayemtaja kama unamjua! Au nawe una concrete mind kama za wana dini! Mi mnanikeraga sana kutaja eti mipango ya Mungu, ni kweli huyo Mungu wenu ndo aliweka mipango ya kumweka huyo mama kama spear part ili game kama linaenda vibaya kwao basi mnachezesha manovre baadae anapenda kileleni yaani mnajiweka wenyewe, this is soo deeper
Hakuna mwandishi wa habari mwenye mbavu za kuongea haya kwenye chombo cha habari....ni shaaaaa
 
Toka aniondolee dhulma ya loan board na kunipandisha daraja akili inaniambia Mama anafaa..

Miaka mitano iliyopita sikuwa na uhakika na nyongeza ya mshahara. Naamini Mwakani mambo yatakuwa vizuri. Cha msingi tumuombee afya,uhai,busara,hekima,utu na uzima kwa YEYE Mwenye Uwezo wa yote.
Mkuu mimi nilipanda mshahara asilimia mia kipindi cha JPM, ila dream zilikuwa zinatimizwa kwa JPM
 
Moja RAIS hachaguliwi kwa sababu ni mwana-mke au ni mwana-ume.
Pili hao wanaotaka kuchaguliwa wajitokeze mapema ili wananchi waanze kufanya vetting!
Ifike mahali tukatae viongozi wanaoibuka ghafla kama uyoga!¡
 
Wanabodi,

Kati ya maeneo magumu sana kwenye tasnia ya habari ambayo kwa sisi Tanzania tumelikosa, tunaendelea kulikosa, na kama hawatajitokeza watu wenye uwezo wa kulifanya, tutaendelea kulikosa, ni eneo la "news analysis" uchambuzi wa habari.

Kazi kuu za traditional media ni kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, sasa katika hizo tatu, media ya Tanzania inafanya vizuri katika eneo la uhabarishaji, na kutoa burudani, lakini katika uelimishaji, bado tuna matatizo, na katika eneo la uchambuzi wa habari, news analysis ndio kabisa, media zetu nyingi hazina uwezo huo, kwasababu hazina watu wenye uwezo huo, matokeo yake, mtu akisema kitu, media zinachukua na kukirusha tuu hivyo hivyo kama kasuku, bila kukichakata na kukifanyia analysis.

Juzi kati hapa rais wetu Mhe. Mama kazuzungumzia need ya Watanzania kumchagua rais mwanamke mwaka 2025 kwa kusema tutamsimamisha Mwanamke, media zimelidaka kama lilivyo kikasuku kasuku na kuanza kulivurumisha, hivyo kuleta mjadala mkubwa kwenye media na mitandao ya jamii, mara kaanza kampeni mapema, mara kajiteua, mara ni ubaguzi wa kuwabagua wanaume, mara hivi mara vile, hivyo bandiko hili ni kuwasaidia kidogo, kuwafanyia a simple analysis ya alichokisema rais Samia.

Kwanza ni ombi kwenu Watanzania wenzangu, kwanza tuunge mkono msimamo wa rais wetu Samia kuwa uchaguzi mkuu wa rais na wabunge wa 2025, tuufanye, sio tuu ni zamu ya kuchagua mgombea mwanamke, bali tuifanye ndio zamu ya ukombozi rasmi wa mwanamke katika siasa, sio tuu tuchague rais mwanamke, bali tuchague wabunge na wadiwani wanawake kwa wingi na kuifikia ile 50/50 ya azimio la Beijing na hata kupita, ila kwenye urais, sio lazima ndio awe Mama Samia, anaweza kuwa yeye au mwanamke mwingine yoyote aliyepangiwa kwasababu mpangaji sio yeye, wala sio sisi, mpangaji na YEYE. Hivyo ikitokea, rais wa Tanzania kwa mwaka 2025 aliyepangiwa na YEYE, ni yeye Mama Samia, then who are we kusema no, kama ni yeye aliyepangiwa, na YEYE, then ni yeye!.

Hivyo mimi naunga mkono hoja ya rais mwanamke ile 2025, kwasabubu kiukweli kabisa, wanawake wana uwezo sana wa uongozi na wengine kuliko hata wanaume, ila siku zote, tumekuwa tukiwakandamiza kutokana na kutawaliwa na mfumo dume kwa miaka nenda miaka rudi, na mpaka Mungu alipoingilia kati. Kama Mungu asingeingilia kati na JPM akaendelea hadi 2025, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke, lakini baada ya Mungu kuingilia kati na Tanzania kwa mara ya kwanza tukapata rais mwanamke, na Mama Samia ameisha onyesha na kuthibitisha pasipo shaka kuwa wanawake wanaweza, then why not 2025 asiwe mwanamke sasa sio tena kwa kudra za Mwenyeenzi Mungu bali kwa chaguo la Mungu kwa Tanzania na kupata endorsement ya Watanzania kwenye sanduku la kura, kumchagua rais mwanamke na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha. Na hili likifanyika na likakamilika kikamilifu, uchaguzi wa 2025 tukapata 50/50 ya wabunge na madiwani wanawake wa kutosha. Kazi ya kwanza ya Bunge jipya ni kufuta viti maalum, vitakuwa havihitajiki tena, vikiendelea kubaki ni wastage of time, money and resources.

Marais wa Nchi Hupangwa na Mungu, Hata JPM alikuwa ni Chaguo la Mungu kwa Tanzanzia, Hivyo Hata Samia ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania hadi 2025. Kama Samia ni mpaka wa Mungu kwa Tanzania 2025 -2030, then Mungu atasema na sisi, kwasababu hata JPM. hakuna aliyejua Mungu alipanga nini, lakini kwa utaratibu wa CCM, urais huu wa Mama Samia ulioletwa kwa kudra za Mwenyezi Mungu, hii ni awamu yake ya kwanza, hivyo kila mtu anajua uchaguzi wa 2025 ndio awamu yake ya pili ya Mama Samia but only if ndivyo Mungu alivyopanga.

Kwa vile hili ya yeye kugombea 2025, rais Samia mwenyewe aliisha liweka vizuri kabisa ile siku anahojiwa na Salim Kikeke wa BBC, baada ya kuhojiwa kama atagombea urais 2025, rais Samia alijibu vizuri kabisa kuwa "kwa sasa tufanye kwanza kazi, ya 2025 tumwachie Mungu maana no one is shure kufika 2025", hivyo hata rais Samia aliposema 2025 tutamchagua mwanamke, hajamaanisha lazima ni yeye, ni busara kwa rais wetu Samia, hili la ugombea wa 2025, akaendelea na msimamo wake ule ule wa kwenye BBC kuwa ya 2025 tumuachie Mungu. Kwa sasa, rais aendelee ku deal na haya ya Kaizari, kwa kuchapa kazi na kazi iendelee na yale ya Kimungu tumuachie Mungu mwenyewe.

Swali linabaki, Jee Samia ndio mpango wa Mungu kwa Tanzania, 2025 ....

Nenda ukanisome in between the lines, nilisema nini kumhusu mtu anayeitwa Samia Suluhu Hassan, katika mabandiko haya.


Ukiisha soma, kama una uwezo to read in between the lines, jibu utakuwa umelipata.

Sasa kama mpangaji ni YEYE, na ndie amepanga 2025 ni yeye, then who are we to say no?.

2025 Twende na Mwanamke!.

Paskali
Umeanza kampeni mapema.Ulipoteleaga wapi?
 
Kwa akili kama hz nasema "TANZANIA HAITAKUJA KUPATA MAENDELEO HATA SKU 1" Yaan mwaka 2021 watu mnawaza nani atashika madaraka mwaka 2025 like serious??

Mnashindwa kufikiria ni namna gan tutatafuta vyanzo vingne vya mapato ili kuwapunguzia wananchi mzigo mzito wa kodi waliobebeshwa,,,

mnashndwa kufikiria ni namna gan tunaweza kubadili mfumo wa elimu ambao hauendan na mazingira yetu ya tanzania ili kupunguza tatzo la ajira,,,,,

mnashindwa kufikiria ni namna gan tutawasaidia wakulima wa korosho kule mtwara ili wasinyonywe na hvo vinavyojiita vyama vya ushirika,,,,,,

mnashndwa kufikiria n namna gan mnaweza kulifufua shirika la posta pasipo kutia vikwazo kwny biashara ya mabasi,,,

mnashndwa kufikiria n namna gan msafara wa kiongozi unaweza kupita barabaran pasipo kuzuia magari ya raia ili raia wawahi kwny shughuli zao na kutafta hzo kodi mnazotaka walipe

Yaan nyie mnawaza MADARAKA MADARAKA MADARAKA. Watanzania kuna tatzo gan vichwani???
Huo ndio ukweriii 100% ndugu zangu.
 
Toka aniondolee dhulma ya loan board na kunipandisha daraja akili inaniambia Mama anafaa..

Miaka mitano iliyopita sikuwa na uhakika na nyongeza ya mshahara. Naamini Mwakani mambo yatakuwa vizuri. Cha msingi tumuombee afya,uhai,busara,hekima,utu na uzima kwa YEYE Mwenye Uwezo wa yote.
Mmeanza kampeni mapema.Ngoja tubishe hodi kwa mwenye taasisi yake, atuambie na hao watoto wa kambo nao waanze kampeni au wataambiwa wamevuja katiba ya nchi na kamatakamata na kuwafungulia uhujumu uchumi na ugaidi.Ruhusu Msomeno ukate kotekote uone jinsi mambo yatakuwa matamu.
 
Amefanya vizuri hapo, ila shida ni moja watanzania wengi wamejiajiri kwenye kilimo. Kwa data za karibuni ni takribani watanzania milioni 40. Hawa Leo karibu wote wanalia kilio kikubwa kutokana na kupanda gharama za pembejeo mra mbili ya awali.
Alipaswa kuweka ruzuku kwenye pembejeo ili hawa watanzania mamilioni waache kulia.
Gunia la mahindi 25,000, alafu mbolea sasa hivi imefikia 120,000
Narudia tena, mama Samia alipaswa kuweka ruzuku kwenye pembejeo. Mwaka huu wengi watashindwa kabisaa kulima.
Kwani yeye ndiye anayeweka? kumbe hata hujui ruzuku inatoka wapi.Kila kitu katika nchi hii ni kodi yako inafanya.Hata ruzuku inatokana na kodi yako.Na kama hukulipa leo, utalipia kupitia mikopo tuliyopewa kutoka nje ya nchi kule Tanzania inaombaga.
 
Back
Top Bottom