Watanzania tuwe makini na vyombo vya habari vya Kibeberu. CNN wazusha kukamatwa kwa Freeman Mbowe ni amri ya Rais Samia!

Watanzania tuwe makini na vyombo vya habari vya Kibeberu. CNN wazusha kukamatwa kwa Freeman Mbowe ni amri ya Rais Samia!

Paschal Mayalla;

Hoja yako iko ktk sentensi hizi mbili;

1. CNN hawakutafuta taarifa sahihi toka "authoritative sources" juu ya sababu za kukamatwa kwa M/kiti wa CHADEMA Mh. Freeman A. Mbowe na polisi

2. CNN hawakupata taarifa sahihi kuhusu kukamatwa kwa Freeman Mbowe kutoka kile ambacho umekiita tena kama "reliable sources"

MASWALI KWAKO:

å Kwanza hebu tupe tofauti ya "authoritative sources" na "reliable sources"

å Pili, una habari kuwa kabla ya CNN na ALJAZEERA kutangaza kimataifa taarifa za kukamatwa kwa Mbowe, Tanpol kupitia msemaji wake Msiime walitoa official press release kueleza sababu ya kumakamata Mbowe kuwa ana tuhuma za ugaidi wa kuua viongozi wa serikali..?

å Tatu, ina maana wewe Paschal Mayalla huna taarifa kabisa kuwa M/,kiti CHADEMA taifa ndugu Freeman Mbowe alikamatwa usiku wa saa 8 hotelini akiwa amelala akiwa tayari kuhudhuria kikao halali cha ndani cha chama chake ili kujadili umuhimu wa Tanzania kuwa na katiba mpya ya wananchi kuanzia sasa?

å Hivi, Paschal Mayalla kwa akili ya kawaida tu isiyohitaji usomi wako huwezi kuelewa kabisa kuwa sababu ya kumkamata saa 8 za usiku ilikuwa ni "amri toka juu kwa RPC Mwanza" na ilikuwa ili kuzuia na kuhakikisha CHADEMA wasikutane kujadili mambo ya katiba?

å Hivi Mr Paschal Mayalla kwa akili ya kawaida tu, ni mtu gani mwenye akili timamu atashindwa kutambua kuwa huu ni mpango mahususi wa watawala?

å Na hivi Paschal Mayalla huoni kabisa kuwa hawa watawala ni wajinga na wapumbavu?

å Kwa sababu kama kweli Freeman Mbowe ni gaidi na wanajua hili muda mrefu kama walivyosema wenyewe, hebu jiulize ni kwanini sasa wakakosa akili na busara ya namna ya kumkamata ili kuzuia maswali kama haya kiasi cha kumkamata ktk mazingira yale...?

å Hivi Bwana Mayalla, Don't you really see that, all who planned that are desparate for something, stupid and ignorant...???

Sasa kwa taarifa hawa waliofanya hivi kwa kutumia akili hizo mbovu kabisa ndiyo viongozi wanaoongoza Tanzania hii na ndiyo hao wakabuni tozo za miamala ya simu, umeme na mafuta maana nchi yetu siyo tajiri tena...!!

å Changamoto kwako ni hii, kuwa, Kama Press Release ya polisi siyo Authoritative wala reliable sources toka serikalini, basi unaonaje sasa wewe utueleze mamlaka halali ambazo zingeweza kutupatia taarifa rasmi ni zipi iwapo polisi ambao ndiyo waliokamata siyo reliable wala authoritative sources...?

MWISHO:

##Wakati mwingine ndugu Paschal Mayalla, kama huna cha kuandika ktk jukwaa hili, basi ni vyema sana kuacha kuandika chochote cha kijinga na badala yake soma tu maandiko ya wengine wanayoandika...

## I know una haki ya kusema na kuandika lolote ukiitumia haki yako ya kikatiba ya kutoa maoni yako...

Lakini usisahau kuwa wewe ni verified member hapa na ni mwandishi wa habari unayejulikana na kila mtu. Kujaribu kuleta mambo yanayo lack authenticity hapa, ni kushusha reputation yako kwa viwango vya chini sana...

##Mathalani kwenye ishu ya kukamatwa Freeman Mbowe na polisi na sababu walizozitoa, hivi ni mtu gani mwenye akili timamu, mwerevu na anayefikiri vizuri anaweza kuamini maelezo ya polisi...?

##kwa ushahidi wa kimazingira, ni wazi kuwa the whole police arrest incident of Mr Freeman Mbowe is completely a framework from the government authorities kwa sababu wanazozijua wao...!!

## Tatizo lenu nyie wengi wa waandishi wa habari wa Tanzania ni upumbavu na ujinga mliobeba ktk bongo zenu ambazo huwasukuma kufanya shughuli zenu za uandishi wa habari kwa misukumo ya kisiasa na wanasiasa...

##Kwani nani asiyejua kuwa, wakati mwingine huwa mnaandaliwa habari na wanasiasa wenye nguvu na wanaopenda kusifiwa na kutukuzwa kisha wanawapa fedha kidogo na kuwamuuru mkarushe kwenye TV zenu au mkaandike kwenye magazeti yenu vivyo hivyo kama zilivyo na nyie foolishly na kwa kuuza utu wenu mnafanya vile...?

Nyie waandishi wa habari wa aina yako au Musiba, hamwezi kuelewa na lazima mshangae tu aina ya utoaji wa habari kwa waandishi na vyombo vya habari huru na makini kama CNN, Aljazeera, SkyNews, BBC, DW nk nk

##Serikali ya Tanzania chini ya CCM ya Samia Suluhu Hasssan inajibagaza na kujidhalilisha yenyewe kwa matendo yake maovu toka kwa watendaji wake wajinga na wapumbavu wakiwemo wengi wa maofisa wa vyombo vya dola hususani Polisi na TISS...

Hampaswi kumlaumu mtu wala CNN au Aljazera TV bali jilaumuni nyie wenyewe...

Kuna methali moja inasema;

"..Mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe..."

Nyumba ya mwanamke huyu katika methali hiyo ni nchi yetu TANZANIA. Na mwanamke mpumbavu anayesemwa hapa ni Samia Suluhu Hassan na serikali yake yote chini ya Chama Cha Mapinduzi - CCM....
Hahaha,leo mayala kakanyaga miwaya

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Katika vyombo vya habari vya nje ambavyo ni vya hovyo Basi huwezi kuwaacha CNN.hawa CNN ni wanahabari wa udaku,uzushi na umbea.bola aljazella sio hawa wapuuzi sieni eni.
 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali


Hivi mpaka leo bado hujalamba uteuzi ?.
 
Katika vyombo vya habari vya nje ambavyo ni vya hovyo Basi huwezi kuwaacha CNN.hawa CNN ni wanahabari wa udaku,uzushi na umbea.bola aljazella sio hawa wapuuzi sieni eni.
Sio kweli ni ujinga wako tu wa kukosa exposure.

CNN ndio walichangia sana kuanguka kwa Trump na ni media kubwa sana kidunia
 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Hapo ulipomalizia na Mungu ibariki tanzania naongezea na iepushe na watu wenye fikira potofu kama wewe. Umenisikitisha sana kwa kutoelewa kuwa shirika la habari kama CNN huwa haliandiki hovyo kama magazeti ya musiba. Hali ya kisiasa Tz na msimamo wa chama tawala haufichiki kabisa kuwa hakitaki kutoa mwanya wowote utakaopelekea kitoke madarakani. Nikitumia mfano huo huo wa kumkamata Mbowe kwanza nikutaarifu makosa ya ugaidi huwa hayafumbiwi macho hata kidogo nikimaanisha kuwa kama angekuwa ametenda au kujaribu kutenda au kama inavyodaiwa angekuwa ameshatiwa nguvuni siku nyingi mno. Ccm kupitia polisi wametumia mashtaka hayo ili kuifanya Tz isionekane na jumuiya ya kimataifa kuwa inaminya demokrasia kwa kuzuia harakati ya kudai katiba mpya ambayo ikipatikana chama hicho hakibaki madarakani kabisa. Na kwa taarifa yako CNN inasikilizwa dunia nzima tena kwa haraka kwa hiyo una kazi nzito wewe na wenzako kwenda kuwajulisha wote waliosikiliza CNN kuwa haijasikiliza upande wa Tz ili kupata ukweli na usisahau aljazeera pia wameshatangaza hivyo hivyo
 
Profesa Cheeseman ambae kiumri bado kijana sana (ana miaka 42) amewahi kuandikia Daily Nation la Kenya.

Alijiuzulu kuandikia gazeti hilo kwa kudai kuna censorship.

Kila nchi ina maamuzi katika kuangalia ufanisi wa waandishi wa habari kwamba hawaandai sumu ya kuwalisha wasomaji.

Sumu hizo ni uchochezi, fake news na habari zisizo na vyanzo vya kuaminika.

Hivyo tokea sakata la Daily Nation profesa Cheeseman hawezi kuwa na mtazamo chanya juu ya Afrika.

Moja ya nyenzo muhimu kabisa kwa mwandishi wa habari ni kuwa na "reliable sources", wengi hawana akiwemo profesa Cheeseman.

Huu ni wakati wa waandishi nguli kama wewe bwana Mayalla kuanza kupika waandishi wapya kabisa na walo na maono ya kitaifa na pia kujifunza kutoka propaganda za nje.

Waandishi wa habari wenye "critical thinking" hawapo Tanzania kwa sasa.
Reliable sources zenu za kubambika watu kesi?

Tutaelewana tu ngoja kwanza tuonyeshane makali😂😂

Niguse ninuke!
 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Ukitaka uteuliwe kaa kimya acha kuwatetea. Ukiwatetea wao watakuona hapo ndio mahali unapotakiwa kubakia ndio maana mpaka leo bado uko pale pale
 
Walidhani wanaweza kumfanyia mama manipulation , ila amewashitukia, alipoendeleza panatosha, walitaka Rais aweke Lockdown kwa vile hata hizo chanjo zitadoda!!
Tunawaambia ingie kama mlivoingia zama za wajerumani miaka ya 1800 huko mkawaua sana baba zetu na walimu wetu wa kweli mkatuletea makanisa misikiti na shule zenu.
Mtawaua wote lakini atakayenyanyuka atasaidia kuwaongoza wa Tanzania kwenye mwanga wa kweli
 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Bado unawinda zile nafasi za uteuzi?

Sent from my TECNO KD7h using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to sasalaunch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Dunia ya sasa utamdanganya nani. huwezi kutoa analysis nzuri kama huyo Profesa anajua hata malalamiko ya tozo? kadanganye wengine wacha waseme ukweli? wewe mtu kutekwa usiku akiwa amelala unaona sawa tuu, wamemshikilia siku mbili hawasemi yupo wapi kwako ni sawa, kuna sheria ya search warrant ilitumika? acha kufanya watanzania viaz?
 
Back
Top Bottom