Watanzania tuwe makini na vyombo vya habari vya Kibeberu. CNN wazusha kukamatwa kwa Freeman Mbowe ni amri ya Rais Samia!

Sasa kati ya hao CNN na wewe ni yupi yupo professional katika mambo ya uandishi wa habari? Wewe kweli waweza wafundisha CNN jinsi ya kufanya kazi.Umekosea Sana na hapa unachoongea ni unafiki tu.Wenye akili wameshakupuuza maana haupo realistic kisa usikose yenda za PPR pole Sana bwana lakini kumbuka unafiki ni dhambi.
 

We jamaa siamini unaendelea kujivunjia heshima kiasi hiki. Inaonyesha haujajifunza tu. Mnataja Watanzania waendelee kuwa wajinga, mbumbumbu na wanyonge mpaka lini?

Halafu wewe si mkeo na watoto wako huko huko kwa mabeberu?
 
Ni amri ya nani?
 
Hivi nafasi yako ni ipi mpaka unatuasa hivo?
 
Huo ndo ukweli wenyewe: Ni mkono wa SSH!
 
Mkuu wangu nakumbuka uliandika UZI wa kutahadharisha hayo.....

Usemacho ni sahihi.....nchi zote zinazotuzunguka ni majanga matupu....amani na UTULIVU wa Tanzania unawatoa ROHO....

Tanzania ndio "shock absorber" ya ukanda huu.....ukiitekenya na kutekenyeka basi malengo yao 100% YATATIMIA....

#UkichekaNaNyaniUtavunaMabua
#NchiKwanza
#PundaAfeMzigoUfike
#MzigoNiUtulivuWaNchi
 
 
Ni kweli CNN wana uwezo mkubwa usemao.....

Ila.......

CNN wanatumikia "deep state" ya maslahi ya kibeberu.....

Trump tu alisema hayo kuhusu siasa zao za kuwapinga REPUBLICANS ...je naye pia muongo na hakuwa na PROFESSIONALS wake?!!!

Pasco yuko sahihi mno ....

#KaziIendelee
 
Kwani amiri jeshi mkuu wa Tz ni nani vile😜?
 
Kwank hana haki hiyo Kama MTANZANIA?!!

Kwani Hana Hali hiyo kama MSOMI?!!

Kwani hana haki hiyo kama MWANDISHI WA HABARI?!!!

Maslahi ya nchi ni makubwa zaidi ya maslahi vikundi vya "MAKUWADI WA KISIASA"!

#KaziIendelee
 
Nasema kilichoongelewa kuna propaganda yoyote kwani au ndio ukweli tusio upenda.
Madai ya profesa Cheeseman kupitia CNN kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!, hayana ukweli wowote ule.

Propaganda ni kuendeleza mbagazo wa taswira dhidi ya serikali ya Tanzania na nchi kwa ujumla.
 
Kumbe Brown:Ni mawazo yako hayo siwezi kiyapinga lakini tatizo lako unabebwa na uchama Yani una mahaba na CCM kiasi kwamba huoni ubaya wa serikali kuwaonea watu.Jifunze mshahara wa dhambi ni mauti,katika maisha yako penda kuona watu wote bila kujali Vyama vyao wanatendewa haki huo ndo utu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…