Watanzania tuwe makini na vyombo vya habari vya Kibeberu. CNN wazusha kukamatwa kwa Freeman Mbowe ni amri ya Rais Samia!

Watanzania tuwe makini na vyombo vya habari vya Kibeberu. CNN wazusha kukamatwa kwa Freeman Mbowe ni amri ya Rais Samia!

nimekuwa msomaji wa makala zako kwa miaka mingi, makala zenye hoja nzito, lakini hapa ni kiri tu huu ni utumbo ulio uandika either umeamua kupotosha kwa makusudi au ndiyo uzee usio na busara unagonga hodi
 
Wacha ujinga wewe!!! Wewe ndiyo chanzo cha kumchomea Erick Kabendera hadi akakamatwa na kubambikiwa kesi mbaya ya uhujumu uchumi na kuwekwa ndani bila dhamana na hatimaye kusababisha kifo cha mama yake. Kujipendekeza kwako ili upewe teuzi kuwe na mipaka na siyo kusababisha Watanzania wengine wabambikiwe kesi.


Alimuumiza sana Kabendera huyu Pascal
 
Kabendera hakufa lkn dhambi ile inawatafuna wewe na jiwe!!
By de way kwani Mama hana Mamlaka ya kumuweka Mtu ndani km akienda kinyume na taratibu??? km ni ndiyo sasa unatetea nini?
hao unaowaita hayawani mabeberu ndo unatumia computer zao
 
Alimuumiza sana Kabendera huyu Pascal
Paskali na wenzako Kimbieni haraka London mkafanye mapatano ya suluhu na Kabendera!! kabla hajafa!!! utapata uteuzi!! ukidharau utakufa kifo kibaya sana!! na hii dhambi itawatafuna mpaka mkome hadi kizazi cha tatu na cha nne!!! mpaka muishe

nakwambia km una masikio! sikia!!

Kuna clip humu km unanifuatilia uzuri Jiwe nili mwambia, akashupaza shingo! yaliyo mkuta kila mtu humu anajua! ukifuata msimamo wa jiwe hatutakuona humu tena!! km tusivyo muona jiwe!! Jishushe tu na,,

kaelimu kako hako ka Mlimani! Kasikupe kiburi! ukatuona km nyaa! kumbe unapotea. ...sisi JF tunakupenda tunakupa bure mavitu ya bure!! tumeshaona Maono adimu mbele yako.....

nakaribisha maswali kutoka kwako Mayala nikupe maelekezo ili ujue uanzie wapi na uishie wapi......
 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Bwana Paskali njaa utahangaika sana kwene hizi Awamu za maintenance uchwara na utaambulia patupu always!!!
Homeboy wako alikuita NJAA na akakutupa kapuni huku akiwachagua Wahuni tu kama kina Ole Sabaya! Think twice bro!!
Kujikomba kwako ni UNAFIKI MKUBWA ULIOPITILIZA.
Kuwaiti CNN chombo cha habari cha Marekani @ MABEBERU ni ujinga na ukichaa.
Kama Marekani wameipatia Tanzania chanjo ya UVIKO aina ya Johnson & Johnson unawaitaje mabeberu KISA TU WAMEHOJI UHALALI WA MBOWE NA VIONGOZI WENGINE CHADEMA KUWEKWA NDANI?
Wewe ni mmoja wa Waandishi wannafikii na wapuuzi sana kuwahi kutokea Tanzania. You need to change my friend. Ndo maana hupati uteuzi wowote! Wewe ni ndumilakuwili unayeonesha rangi zako kwa uwazi kabisa!!!!
 
Juzi nilikuwa nasikiliza mjadala wenu pale TBC juu ya mtazamo wa vyombo vya kimagharibi juu ya Africa,uliokuwa ukiongozwa na Ryoba.Kile kilochozungumziwa ndio hasa kinatokea.

Pamoja na yote hakuna kitakachoharibika,acha wapige kelele.

Mnafundishwa kuwa waoga badala ya kutenda haki. Mnachotaka ni kufanya lolote mnalotaka na msihojiwe na wa ndani wala wa nje???
 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Hivi corona haikuoni?
Mbona inaendelea kuchukua wengine?
 
Wewe utakuwa darasa la saba... au graduate wa vyuo vya kata! if you cant contemplate that! Umeseoma [political conomy of capitalism na socialism? Anyway, kwa swali lako nimekuelimisha hapo juu. Sorry for this may be the unpleasant response, but sina jinsi ya kuiweka.
Umefeli mtihani. Usipende kutumia maneno mazito ambayo hujui nini maana yake. Kama unatumia neno utambue kuwa unaelewa maana yake na sio kuanza kunipa mimi references za theories ambazo umezisoma kwenye vitabu ambavyo vimeandikwa na wapuuzi wasio jua kwenda na ulimwengu. Niambie kitu gani mzungu amekigundua ambacho hakina madhara kwa binadamu na ulimwengu?

Angalia hii Documentary nafikiri utajua nani ni dikteta na kwanini anaitwa dikteta.

 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Ninakushauri usingekuwa unalitaja jina lililo kuu unapofanya UNAFIKI NA UZANDIKI wako!! Mbona unazeeka vibaya? Nicheo tuu unatafuta??
Kama mazeri hataki ukamataji holela basi angeliagiza vinginevyo,ingekuwa niyule mbabu wake ndo kakamatwa angekaa kimya?
Anajifichiamo kwenye ugaidi kwakuwa wafadhili nao wanaupinga wakati kisa ni katiba,woga wakunyimwa misaada kwa udikteta unafanya umbambike MTU kesi yakizushi?!? Watu wanaakili ywanakushtukia isipokuwa mazuzu na wanahabari wazembe "toilet paper(tp)"
Nilidhani tuna mwislam safi asiyeafiki dhulma,nkadhani ni mamabora asiyetaka uonevu alafu nkajua in kiongozi bora asiyekandamiza watu,kumbe ni msisiemu yuleyule aliyezoea kutojali watu,kushinda kidhuluma,kutumia nguvu yadola sio hoja,kuongopa,kukandamiza,kutisha Siajabu tukaona utekaji na udanjishaji watu!!
Nmestuka uskute tumeruka mtego tukakanyaga Bomu mmh
 
Back
Top Bottom