Watanzania tuwe makini sana na watu kama Dkt. Diallo. Ni watu wa maslahi zaidi

Watanzania tuwe makini sana na watu kama Dkt. Diallo. Ni watu wa maslahi zaidi

Tulia dawa ikuingie vizuri. Brainswashing ikutoke... Kama unatakuzikwa na dikteta uchwara, kula sumu tukakuzike. Unajichekesha kama muuza nanihilu... kwenye vilabu vya pombe za kienyeji.

stress zitakuua umbwa wee.
 
Waambie wanaccm wenzako, usiwachanganye na watanzania. Tunajua dialo ni mchafu lakini juzi kuhusu dhalimu kasema kweli.
Ni swala la muda tu magu ataoata na kupewa heshima anayo stahili hadi na upinzani
 
Maybe you missed the point..

Kuwa kichaa ulidhani ni hadi mtu akae barabarani na nguo kuukuu?

Psychotic cases ziko za aina nyingi tu

Kuna Schizophrenia, bipolar n.k

Si mtu anaweza kuwa kavaa suti na yuko smart bado akawa kichaa maana wanapata episodes za utimamu wakati fulani na ukichaa wakati fulani
 
Inawezekana kwa kuwa tuna ugomvi na chuki na Magufuli kila ambaye atakuja msema vibaya tutamwona ni shujaa. Lakini tujiulize "Dr. Diallo alikwii?"

Je Dr. Diallo kweli ana moral authority ya kumsema vibaya Magufuli? Huyu Diallo ukiangalia anacholalamika si kwamba watanzania wamefanyiwa hivi au vile. analalamika kwa kuwa kampuni zake zilitakiwa kulipa kodi ambayo zilikuwa hazilipi.

Hiyo ndiyo chuki yake. Analalamika kwa kuwa alimpigia Kampeni Magufuli lakini hakuja pewa Upendeleo. Utaona ni mbinafsi mwanzo mwisho.

Lakini alikuwa wapi? "Alikwii?" Hawa wanafiki wasiwaaimbishe mapambio mapya kipindi hiki wakitengeneza mazingira ya kukumbukwa na rais aliyepo. Ni wanafiki tu hawa.

View attachment 1850089
Uko vyema kuhusu moral authority na chuki binafsi ya Diallo. LAKINI, kasema ukweli wenyewe ambao si rahisi kuukanusha. Unaweza kusema kajisahau karopoka, bado unabakia kuwa ukweli mtupu.

Wakubwa wengi huko CCM wanajua hivyo; wako kimya kwa sababu za kimaslahi au “ustaarabu” tu wakijua leo hii hawana moral integrity ya kumsema mwendazake.
 
Huyu Fankuru Diallo Madona ni mnafiki tu kama kenge wengine wa mbogamboga FC walioanza kui diss maiti baada ya mazishi!

Tunaelewa wazi tatizo ni yeye kutopata recognition kama alivyotaka ila haoni kuwa kwa ku broadcast upuuzi wake alikiumiza chama kinamna flani na ndio chanzo cha spana alizopigwa! 😅 Hawa ni wale watu ambao walifanya udhalimu kwa ku TAG ubavu CCM afanye biashara kienyeji asilipe kodi kisa yeye ni kada 😅😅😅 awamu ya Magufuli hakukuwa na ushikaji!!! Diallo lia lia
 
Uko vyema kuhusu moral authority na chuki binafsi ya Diallo. LAKINI, kasema ukweli wenyewe ambao si rahisi kuukanusha. Unaweza kusema kajisahau karopoka, bado unabakia kuwa ukweli mtupu.

Wakubwa wengi huko CCM wanajua hivyo; wako kimya kwa sababu za kimaslahi au “ustaarabu” tu wakijua leo hii hawana moral integrity ya kumsema mwendazake.
Sawa kasema ukweli ila nayeye ana makosa. Period!!!
 
Inawezekana kwa kuwa tuna ugomvi na chuki na Magufuli kila ambaye atakuja msema vibaya tutamwona ni shujaa. Lakini tujiulize "Dr. Diallo alikwii?"

Je Dr. Diallo kweli ana moral authority ya kumsema vibaya Magufuli? Huyu Diallo ukiangalia anacholalamika si kwamba watanzania wamefanyiwa hivi au vile. analalamika kwa kuwa kampuni zake zilitakiwa kulipa kodi ambayo zilikuwa hazilipi.

Hiyo ndiyo chuki yake. Analalamika kwa kuwa alimpigia Kampeni Magufuli lakini hakuja pewa Upendeleo. Utaona ni mbinafsi mwanzo mwisho.

Lakini alikuwa wapi? "Alikwii?" Hawa wanafiki wasiwaaimbishe mapambio mapya kipindi hiki wakitengeneza mazingira ya kukumbukwa na rais aliyepo. Ni wanafiki tu hawa.

View attachment 1850089
Point ya msingi jamaa ni kweli alikuwa mwehu au hakuwa mwehu?

20210711_162943.jpg
 
Watu wa kuwa makini nao Ni Kama
Mbunge wa Ilala
Kalamaganda Kabugi
Mwanri
Shehe Ubwabwa
Dada Doro
Dada Joy
Amos Makala.
Cyprian Musiba kwisha habari yake
Makonda kwisha
Bashiru kwisha
Polepole kwisha
musiba wana mpandisha Leo kwa pilato
 
Waambie wanaccm wenzako, usiwachanganye na watanzania. Tunajua dialo ni mchafu lakini juzi kuhusu dhalimu kasema kweli.
Mtu mchafu aache uchafu wake na kuenda kueleza uchafu wa mwenzie!! Ndio maana mimi nasema kinachowasumbua wengi ni chuki si kingine, yani mtu ambaye kama asingeguswa na Magufuli katika mambo yake binafsi basi asingeona au kuzungumzia ubaya wa Magufuli.
 
Hata Nyerere tulisha sikia tetesi zamani kuwa vikipanda lazima arudishwe kwa mama yake mwitongo. Hakuna jipya hapa. Bado JKN na JPM ni mashujaa wazalendo wa Taifa hili. Diallo kuna mtangazaji wa TV yake alikufa akiwa na stress ya kukosa stahiki zake, ndio atalipa kodi huyu?. Jina sikumbuki vizuri Samidu Hassani kitu kama hiko.
 
Ukweli kama ukweli haijalishi nani kausema, utabaki kuwa ukweli tu, mgonjwa wa akili kumpa nchi lilikuwa ni kosa la karne
Ukweli huwa na ushahidi, kinyume na hivyo kila kitakachosemwa kitakuwa ukweli hata kama kuna contradiction.
 
Wala huna haja ya kuwaambia watu kuwa Dialo ni nani, wengi wanamfahamu, alijitoa sana kupitia vyombo vyake vya habari kumnadi Meko 2015!!na ndio wale wale tu , kwa sasa tujadili hoja hiyo aliyoitoa je ina mashiko?

Bila shaka ndio ukweli wenyewe huo, hata mkitumia nguvu kubwa kumshambulia lakini ujumbe umefika, na msifikirie labda ni yeye tu, huko nyuma kuna wengi sana wenye mawazo kama hayo, wewe unadhania mtizamo wa KINANA, NAPE, MAKAMBA, licha ya kuomba msamaha kipindi kile, misimamo yao ilibadirika?!!

JAMANI LEGACY ya MEKO, imeshafutika na kila siku inazidi kupotea kabisa kutokana na watu kama kina Dialo.Sasa ikitokea mtu akamsema vibaya mwendazake basi huyo alikuwa mwizi!!
Tatizo la wengi ni kwamba wana hasira zao binafsi kwa Meko kwa sababu zao binafsi.
 
tatizo la 'makapuku' (watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri) hawataki kukosolewa kwani sio wajuzi wakujibu hoja!
Ni vyema muangalia aliyosema Dialo je huyu makufuli wenu hakuwa na hizo tabia? kama alikuwa nazo msitete badala yake penye ukweli kubalini.
 
Back
Top Bottom