Tulia dawa ikuingie vizuri. Brainswashing ikutoke... Kama unatakuzikwa na dikteta uchwara, kula sumu tukakuzike. Unajichekesha kama muuza nanihilu... kwenye vilabu vya pombe za kienyeji.
Ni swala la muda tu magu ataoata na kupewa heshima anayo stahili hadi na upinzaniWaambie wanaccm wenzako, usiwachanganye na watanzania. Tunajua dialo ni mchafu lakini juzi kuhusu dhalimu kasema kweli.
Ni swala la muda tu magu ataoata na kupewa heshima anayo stahili hadi na upinzani
Uko vyema kuhusu moral authority na chuki binafsi ya Diallo. LAKINI, kasema ukweli wenyewe ambao si rahisi kuukanusha. Unaweza kusema kajisahau karopoka, bado unabakia kuwa ukweli mtupu.Inawezekana kwa kuwa tuna ugomvi na chuki na Magufuli kila ambaye atakuja msema vibaya tutamwona ni shujaa. Lakini tujiulize "Dr. Diallo alikwii?"
Je Dr. Diallo kweli ana moral authority ya kumsema vibaya Magufuli? Huyu Diallo ukiangalia anacholalamika si kwamba watanzania wamefanyiwa hivi au vile. analalamika kwa kuwa kampuni zake zilitakiwa kulipa kodi ambayo zilikuwa hazilipi.
Hiyo ndiyo chuki yake. Analalamika kwa kuwa alimpigia Kampeni Magufuli lakini hakuja pewa Upendeleo. Utaona ni mbinafsi mwanzo mwisho.
Lakini alikuwa wapi? "Alikwii?" Hawa wanafiki wasiwaaimbishe mapambio mapya kipindi hiki wakitengeneza mazingira ya kukumbukwa na rais aliyepo. Ni wanafiki tu hawa.
View attachment 1850089
Sawa kasema ukweli ila nayeye ana makosa. Period!!!Uko vyema kuhusu moral authority na chuki binafsi ya Diallo. LAKINI, kasema ukweli wenyewe ambao si rahisi kuukanusha. Unaweza kusema kajisahau karopoka, bado unabakia kuwa ukweli mtupu.
Wakubwa wengi huko CCM wanajua hivyo; wako kimya kwa sababu za kimaslahi au “ustaarabu” tu wakijua leo hii hawana moral integrity ya kumsema mwendazake.
Point ya msingi jamaa ni kweli alikuwa mwehu au hakuwa mwehu?Inawezekana kwa kuwa tuna ugomvi na chuki na Magufuli kila ambaye atakuja msema vibaya tutamwona ni shujaa. Lakini tujiulize "Dr. Diallo alikwii?"
Je Dr. Diallo kweli ana moral authority ya kumsema vibaya Magufuli? Huyu Diallo ukiangalia anacholalamika si kwamba watanzania wamefanyiwa hivi au vile. analalamika kwa kuwa kampuni zake zilitakiwa kulipa kodi ambayo zilikuwa hazilipi.
Hiyo ndiyo chuki yake. Analalamika kwa kuwa alimpigia Kampeni Magufuli lakini hakuja pewa Upendeleo. Utaona ni mbinafsi mwanzo mwisho.
Lakini alikuwa wapi? "Alikwii?" Hawa wanafiki wasiwaaimbishe mapambio mapya kipindi hiki wakitengeneza mazingira ya kukumbukwa na rais aliyepo. Ni wanafiki tu hawa.
View attachment 1850089
Alikuwa mwehu ila Diallo pia alishirikiana na mwehu kwahio na yeye ni mwehu na mnafiki pia! Hapo imekaaje!?Point ya msingi jamaa ni kweli alikuwa mwehu au hakuwa mwehu?
musiba wana mpandisha Leo kwa pilatoWatu wa kuwa makini nao Ni Kama
Mbunge wa Ilala
Kalamaganda Kabugi
Mwanri
Shehe Ubwabwa
Dada Doro
Dada Joy
Amos Makala.
Cyprian Musiba kwisha habari yake
Makonda kwisha
Bashiru kwisha
Polepole kwisha
wehu wakiwa wa2 wanaitwaje mkuuAlikuwa mwehu ila Diallo pia alishirikiana na mwehu kwahio na yeye ni mwehu na mnafiki pia! Hapo imekaaje!?
2 Musketeerswehu wakiwa wa2 wanaitwaje mkuu
Mtu mchafu aache uchafu wake na kuenda kueleza uchafu wa mwenzie!! Ndio maana mimi nasema kinachowasumbua wengi ni chuki si kingine, yani mtu ambaye kama asingeguswa na Magufuli katika mambo yake binafsi basi asingeona au kuzungumzia ubaya wa Magufuli.Waambie wanaccm wenzako, usiwachanganye na watanzania. Tunajua dialo ni mchafu lakini juzi kuhusu dhalimu kasema kweli.
Ukweli huwa na ushahidi, kinyume na hivyo kila kitakachosemwa kitakuwa ukweli hata kama kuna contradiction.Ukweli kama ukweli haijalishi nani kausema, utabaki kuwa ukweli tu, mgonjwa wa akili kumpa nchi lilikuwa ni kosa la karne
Tatizo la wengi ni kwamba wana hasira zao binafsi kwa Meko kwa sababu zao binafsi.Wala huna haja ya kuwaambia watu kuwa Dialo ni nani, wengi wanamfahamu, alijitoa sana kupitia vyombo vyake vya habari kumnadi Meko 2015!!na ndio wale wale tu , kwa sasa tujadili hoja hiyo aliyoitoa je ina mashiko?
Bila shaka ndio ukweli wenyewe huo, hata mkitumia nguvu kubwa kumshambulia lakini ujumbe umefika, na msifikirie labda ni yeye tu, huko nyuma kuna wengi sana wenye mawazo kama hayo, wewe unadhania mtizamo wa KINANA, NAPE, MAKAMBA, licha ya kuomba msamaha kipindi kile, misimamo yao ilibadirika?!!
JAMANI LEGACY ya MEKO, imeshafutika na kila siku inazidi kupotea kabisa kutokana na watu kama kina Dialo.Sasa ikitokea mtu akamsema vibaya mwendazake basi huyo alikuwa mwizi!!
Huyu meko alikuwa hafai hata kdg, alikuwa mtu wa visasi, uonevu, udhulumati, mkabila, mkanda, dikteta na mengi machafu!Tatizo la wengi ni kwamba wana hasira zao binafsi kwa Meko kwa sababu zao binafsi.