Watanzania Tuwe na Mioyo Ya Shukurani kwa utumishi Uliotukuka wa Rais Samia

Dola moja ni shilling ngapi kwa sasa??
Rate ya kukua kwa deni la taifa ni kiasi gani??
Asilimia ngapi ya makusanyo inatumika kulipia madeni ya nje na ndani??
Bageti ya taifa inategemea wahisani na mikopo ya ndani na nje kwa asilimia ngani??
Compare import na export revenues / values then nambie kwa nini nchi haina dollar.
Unapoandika jambo jaribu kuwa serious kidogo.
Siku njema Mr Chawa Mkuu
 
Kuhusu deni la Taifa ni kuwa ni himilivu na ndio maana tunaendelea kukopesheka .lakini pia katika mikopo yote ambayo imekuwa ikichukuliwa imekuwa ni ile yenye mashariti nafuu kabisa na ya riba ndogo sana. Kukopa siyo dhambi bali inategemea unakopa kwa ajili ya nini na aina ya masharti ya mkopo.
 

Endelea kujibu maswali mengine.
Siyo sifa ya maana hata kidogo kujivunia kukopa. Ukikopa maana yake huna uwezo wa kupata fedha na ni njia mojawapo ya kuelekea kuzimu.
Sina uhakika kama unajua maana halisi ya LIQUIDATION.
Uliwahi kupitia japo somo la elementary economics au kufanya biashara kubwa kidogo????
 
Biashara imefanya vizuri kabisa. Kukopa ni sehemu ya kuharakisha maendeleo.embu fikiria miradi mikubwa kama Bwawa la Mwalimu Nyerere pamoja na SGR kama tungeamua tutumie mapato yetu ya ndani tungetumia muda gani kumaliza miradi hiyo? Lakini leo miradi imekamilika kwa haraka na kuzaa matunda mazuri ambayo yatachochea maendeleo na ustawi wa wananchi na watanzania.biashara zitashamiri na kustawi. Huku tukiendelea kulipa kidogo kidogo mkopo wetu. Kumbuka pia Tunakopesheka kwa sababu tuna uwezo wa kulipa. Huwezi kukopeshwa kama huna uwezo wa kulipa.
 
Acha kuongea vitu usivyo na ushahidi navyo. Hizo millioni mia huwa una toa wewe?
Ila wewe ni underdog sana . Hujui hata mshahara wa Rais wako.

Lucas nenda shule, njiq ya uchawa wa standard 7 haitoi. Usiamin katika uchawa wa hovyo be smart

nenda shule hupaswi kuwa mtumwa kwq binadamu kama wewe
 
Wewe inafahamika kuwa una chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.ndio maana umeishia kupiga porojo za kijinga jinga tu
Hii nchi sio mali yake na wala sio mtanganyika hivyo sina chuki na yeye kama mama Abdul. Ila nachukia serikali iliyoko Madarakani .

Naiona kama serikali ya kishetani isiyojali uumbaji wa Mungu.

Shetani na hii serikali wana sifa zinazolingana.
2025 utaabika milele.
Mungu alimleta Magufuli ili kuwaunganisha waoenda haki kujua kati ya utawala wa nuru na utqwala wa giza. Mama alipoingia alianza vizuri lakini akajawa na sifa na kuona kuwa amepata urais kwa usezo waka ,mbaya zaidi chawa wake mnazidi kumpotosha na kumuinua kuliko Mungu. Hamtatoboa kwa mioyo yenu miovu isiyojali watanganyika mil.65. mnajali vyoo vyenu vijae tu kinyesi kwa ulafi wa madaraka na dhulma.
Hamkubaliki zaidi ya kutoa rushwa
 
Nimeipenda hii
 
Wee kiroboto usituamrishe sisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…