Sijajisumbua hata kusoma zaidi ya kichwa cha habari.
Ushauri wa bure kada Mwashambwa kuwa licha ya kuandika jina lako sahihi, tena ma namba yako ya simu, halafu hadi leo hujapata teuzi licha ya kujitoa ufahamu.
Basi utakuwa hamnazo maana hata wale chawa maarufu Mwijaku na Baba Levo wameacha uchawa
Ushauri wa bure kada Mwashambwa kuwa licha ya kuandika jina lako sahihi, tena ma namba yako ya simu, halafu hadi leo hujapata teuzi licha ya kujitoa ufahamu.
Basi utakuwa hamnazo maana hata wale chawa maarufu Mwijaku na Baba Levo wameacha uchawa