Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan sijaelewa kwanini kafanya vileWanyakyusa hao ovyo sana kila kitu fursa kwaoView attachment 2631231
Alikuwa na uhakika gani km kuna chakula mpaka are na parachichiNdo userious wenyewe huo labda hawezi kula bila parachichi
Mkuu naomba unieleze kosa lake hasa ni nini hapo?Nimekuja hapa msibani mbeya isanga msibani asee nikamkuta jamaa amekuja na parachichi la kulia wali msibani
Hivi ndio nn sasa hii
Kwa sababu alijua angekula!Yaan sijaelewa kwanini kafanya vile
Mi naona haijakaa poa tu ila sina sababu ya msingiMkuu naomba unieleze kosa lake hasa ni nini hapo?
Inajulikana msibani lazima palikeAlikuwa na uhakika gani km kuna chakula mpaka are na parachichi
Mwanafyale unyamaaa mwingi 😂😂😂😂Apetaiza mwaisa yani itapela ni unyamaa
Kuna mmoja mpenda miwasho nilimshuhudia akitoa pilipili kwenye mfuko wa koti wakati wa kupata chochote kitu..Nimekuja hapa msibani mbeya isanga msibani asee nikamkuta jamaa amekuja na parachichi la kulia wali msibani
Hivi ndio nn sasa hii