Watanzania tuwe serious misibani

Watanzania tuwe serious misibani

Wanyakyusa hao ovyo sana kila kitu fursa kwao
Ecoa5hdWkAIn_8a.jpg
 
Nimekuja hapa msibani mbeya isanga msibani asee nikamkuta jamaa amekuja na parachichi la kulia wali msibani

Hivi ndio nn sasa hii
Mkuu naomba unieleze kosa lake hasa ni nini hapo?
 
Ko jamaa asile kisa mtu kafa we jamaa mbona Una ujomba mwingi , kuna watu hapo msiban watanunua pepsi za bardi za kutosha na maji ya kushushia , vip hao, mwamba yeye kaja na parachichi imekuwa nongwa
 
Back
Top Bottom