Watanzania tuweke attention yetu kwenye suala la kubinafsishwa kwa bandari, habari za uteuzi wa makatibu na wakurugenzi wa halmashauri sio ishu kubwa

Watanzania tuweke attention yetu kwenye suala la kubinafsishwa kwa bandari, habari za uteuzi wa makatibu na wakurugenzi wa halmashauri sio ishu kubwa

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Kuna uteuzi na kuhamishwa vituo kwa makatibu na wakurugenzi wa halmashauri mbalimbali nchini. Watanzania tusipotezwe maboya, tupeleke mbele mjadala wa kubinafsishwa kwa bandari ya Dar es Salaam. Hili ndio lango kuu la Tanzania, tukikosea hapa ndio tumeharibu kila kitu humu ndani. Uteuzi wa wakurugenzi sio dili kwa sasa tutajadili baadaye. Ni wale wale tu wamegeuzwa mbele nyuma basi.

Tunahitaji kufanya mjadala mkubwa wa wazi wa kitaalamu kuhusu suala la badari yetu, tuwe makini la sivyo tutabaki tunalalamika kwa miaka 100 ijayo!
 
Kuna uteuzi na kuhamishwa vituo kwa makatibu na wakurugenzi wa halmashauri mbalimbali nchini. Watanzania tusipotezwe maboya, tupeleke mbele mjadala wa kubinafsishwa kwa bandari ya Dar es Salaam. Hili ndio lango kuu la Tanzania, tukikosea hapa ndio tumeharibu kila kitu humu ndani. Uteuzi wa wakurugenzi sio dili kwa sasa tutajadili baadaye.

Tunahitaji kufanya mjadala mkubwa wa wazi wa kitaalamu kuhusu suala la badari yetu, tuwe makini la sivyo tutabaki tunalalamika kwa miaka 100 ijayo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uteuzi na kuhamishwa vituo kwa makatibu na wakurugenzi wa halmashauri mbalimbali nchini. Watanzania tusipotezwe maboya, tupeleke mbele mjadala wa kubinafsishwa kwa bandari ya Dar es Salaam. Hili ndio lango kuu la Tanzania, tukikosea hapa ndio tumeharibu kila kitu humu ndani. Uteuzi wa wakurugenzi sio dili kwa sasa tutajadili baadaye.

Tunahitaji kufanya mjadala mkubwa wa wazi wa kitaalamu kuhusu suala la badari yetu, tuwe makini la sivyo tutabaki tunalalamika kwa miaka 100 ijayo!
Hili ndio lango kuu la Tanzania, tukikosea hapa ndio tumeharibu kila kitu humu ndani.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bandari ya salaama iliasisiwa na Waarabu na kwa Waarabu imerejea hakuna haja ya chuki ndivyo mambo yalivyo.

Bandari hii ilikuwa chini ya Masultani wa Zanzibar
 
Hakuna chochote cha maana kitafanywa na awamu hii ya 6. Yani tuchunge sana huyu mama asije ingilia kubadilisha katiba ya nchi ndiyo atatupoteza dira kabisa.

Hakuna kitu cha muhimu chochote kutafanyika kwenye hii Nchi. Hakuna kiongozi ambaye yuko huru hata mmoja wote wachafu kimwili na kiroho.

Tunamuomba Mungu atupe kiongozi shupavu na shujaa mwenye Nafsi ambaye hajafanyiwa udhalili mbele ya kamera.
 
Bandari ya salaama iliasisiwa na Waarabu na kwa Waarabu imerejea hakuna haja ya chuki ndivyo mambo yalivyo.

Bandari hii ilikuwa chini ya Masultani wa Zanzibar
Ni sasa na kusema serikali tanganyika ilikua chini ya ujerumani basi inabidi ukoloni urudi
 
Hakuna chochote cha maana kitafanywa na awamu hii ya 6. Yani tuchunge sana huyu mama asije ingilia kubadilisha katiba ya nchi ndiyo atatupoteza dira kabisa.

Hakuna kitu cha muhimu chochote kutafanyika kwenye hii Nchi. Hakuna kiongozi ambaye yuko huru hata mmoja wote wachafu kimwili na kiroho.

Tunamuomba Mungu atupe kiongozi shupavu na shujaa mwenye Nafsi ambaye hajafanyiwa udhalili mbele ya kamera.
Utapewa lini huyo kiongozi?.wakubadilisha mambo ni wananchi wenyewe.Na tutabadilisha mambo tukianza na katiba bora.sasa wewe endelea kusubiri Mungu akuletee huyo kiongozi.
 
Hakuna chochote cha maana kitafanywa na awamu hii ya 6. Yani tuchunge sana huyu mama asije ingilia kubadilisha katiba ya nchi ndiyo atatupoteza dira kabisa.

Hakuna kitu cha muhimu chochote kutafanyika kwenye hii Nchi. Hakuna kiongozi ambaye yuko huru hata mmoja wote wachafu kimwili na kiroho.

Tunamuomba Mungu atupe kiongozi shupavu na shujaa mwenye Nafsi ambaye hajafanyiwa udhalili mbele ya kamera.
Malizia huu uzi mkuu. Adui anatawala watu wanadamu bila wao kufahamu
 
Bandali kwa miaka mingi inaendeshwa na private sector, kuna kwmpuni moja lilimaliza muda wake mwakw jana sijui tis nadhani sasa nafikiri zabuni mpyw imefika hivyo si ajabu sana
 
Kuna uteuzi na kuhamishwa vituo kwa makatibu na wakurugenzi wa halmashauri mbalimbali nchini. Watanzania tusipotezwe maboya, tupeleke mbele mjadala wa kubinafsishwa kwa bandari ya Dar es Salaam. Hili ndio lango kuu la Tanzania, tukikosea hapa ndio tumeharibu kila kitu humu ndani. Uteuzi wa wakurugenzi sio dili kwa sasa tutajadili baadaye. Ni wale wale tu wamegeuzwa mbele nyuma basi.

Tunahitaji kufanya mjadala mkubwa wa wazi wa kitaalamu kuhusu suala la badari yetu, tuwe makini la sivyo tutabaki tunalalamika kwa miaka 100 ijayo!
Mkuu umesahau kwamba tz ni kichwa cha mwenda wa zimu
 
Kama tumeshindwa kujitawala tunaendeleza wizi uchawi na mambo ya kijinga basi Wajerumani warudi tu.
Unasema hivi kwa sababu ili uweze kujustify bandari kubinafsishwa? Hapa unaposema tunataka katiba mpya kila mara Ina maana unakua unatania?
 
Bandali kwa miaka mingi inaendeshwa na private sector, kuna kwmpuni moja lilimaliza muda wake mwakw jana sijui tis nadhani sasa nafikiri zabuni mpyw imefika hivyo si ajabu sana
Unachanganya mambo. Walichofanya ticts ilikua sehemu ndogo hasa container, dp world anaendesha bandari kwa full operation tena sio bandari ya dar tu ni bandari zote nchi nzima hadi zile za lake taganyika, nyasa na Victoria. Issue ndio ipo hapo
 
Unachanganya mambo. Walichofanya ticts ilikua sehemu ndogo hasa container, dp world anaendesha bandari kwa full operation tena sio bandari ya dar tu ni bandari zote nchi nzima hadi zile za lake taganyika, nyasa na Victoria. Issue ndio ipo hapo
Tatizo nn sasa kama tunafahamu haya
 
Kama wamakonde ilibidi kichapo kitembezwe gas yetu ichukuliwe Sasa hiyo bandari tutazuia Nini. Ingekuwa wanaibeba wanaondoka nayo tungetia kambi baharini Kule tuwasubirie na mapana na bunduki. Lakini ubaya inachukuliwa kwa karatasi. Kuweni serious na kuchagua viongozi Bora, na huwezi kuchagua kiongozi kama huna time nzuri ya uchaguzi. Je tunaweza kuwa na tume huru ya uchaguzi wakati hatuna Katiba nzuri. Lakini hv hata tukirudisha mchakato wa Katiba upya nani ataisimamia au ni haohao CCM chin ya Raisi wa nchi. Ni huruma tu ya viongozi itatuponya
 
Back
Top Bottom