Watanzania uvivu wa kusoma mambo utatuponza,tusome katiba pendekezwa jamani.

Watanzania uvivu wa kusoma mambo utatuponza,tusome katiba pendekezwa jamani.

mwakweya70

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2015
Posts
414
Reaction score
106
Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza kwa watanzania wenzangu, kwa sasa kila mtu kwa anaweza kutunufaika na maendeleo ya technolojia ya mawasiliano bila kujalisha yupo mjini ama vijijini,kwa sasa ni rahisi hata kwa watu ambao hawana elimu ya kawaida, unamkuta yumo FB,Wasap na pia kuangalia taarifa zingine kupitia simu! Katika siku za hivi karibuni watu wengi wamekuwa wakilalamikia kutopata nakala za katiba,lakini mie kengele leo imegonga kichwani nikaona watu walivyo na ueledi mkubwa wa matumizi ya mitandao ya kijamii na katiba pendekezwa jitihada kidogo tu mtu waweza ipata kupitia mitandao hiyo.

Sasa je swali la kujiuliza kwamba kama si ushabiki wa kisiasa tu,kweli mtu ukipania kuisoma huwezi kuisoma kweli? AMA tukisikia kauli za kisiasa tunapandia hapo hapo,sidhani kama tunaweza kwenda kwa mfumo huu,nijuavyo mie watanzania waliowengi hawana utamanaduni wa kusomo mrundikano wa maandishi hilo hakuna hata mmoja anagusia,ila kusema nakala hazijasambazwa zile za hard copy,hiyo ndo inakuwa habari ya mjini.

Mie nadhani kutokana na umhimu wa katiba katika mstakabali wa nchi kwa siku zijazo kila mtu angepumnzika kidogo tu kuchat na kuingia online kuisoma katika inayopendekezwa,na si kuishia malalamiko ambayo nahisi ni ya wachache kwamba hawawezi kupata nakala ya katiba pendekezwa, ila wengine ni kama hatutaki tu kuifikia katiba hiyo kwa ya kimitandao.

Nawasilisha jamvini mawazo tete haya
 
Hatuitaki sababu imeondoa MATAKWA ya WATANZANIA.Hiyo ya Chenge na Sitta wawape familia yao.
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza kwa watanzania wenzangu, kwa sasa kila mtu kwa anaweza kutunufaika na maendeleo ya technolojia ya mawasiliano bila kujalisha yupo mjini ama vijijini,kwa sasa ni rahisi hata kwa watu ambao hawana elimu ya kawaida, unamkuta yumo FB,Wasap na pia kuangalia taarifa zingine kupitia simu! Katika siku za hivi karibuni watu wengi wamekuwa wakilalamikia kutopata nakala za katiba,lakini mie kengele leo imegonga kichwani nikaona watu walivyo na ueledi mkubwa wa matumizi ya mitandao ya kijamii na katiba pendekezwa jitihada kidogo tu mtu waweza ipata kupitia mitandao hiyo.

Sasa je swali la kujiuliza kwamba kama si ushabiki wa kisiasa tu,kweli mtu ukipania kuisoma huwezi kuisoma kweli? AMA tukisikia kauli za kisiasa tunapandia hapo hapo,sidhani kama tunaweza kwenda kwa mfumo huu,nijuavyo mie watanzania waliowengi hawana utamanaduni wa kusomo mrundikano wa maandishi hilo hakuna hata mmoja anagusia,ila kusema nakala hazijasambazwa zile za hard copy,hiyo ndo inakuwa habari ya mjini.

Mie nadhani kutokana na umhimu wa katiba katika mstakabali wa nchi kwa siku zijazo kila mtu angepumnzika kidogo tu kuchat na kuingia online kuisoma katika inayopendekezwa,na si kuishia malalamiko ambayo nahisi ni ya wachache kwamba hawawezi kupata nakala ya katiba pendekezwa, ila wengine ni kama hatutaki tu kuifikia katiba hiyo kwa ya kimitandao.

Nawasilisha jamvini mawazo tete haya

Kwa bahati mbaya walio wengi hawana haja ya kuisoma kwani hawaikubali. Toka mambo ya msingi toka rasimu ya Warioba kuondolewa walio wengi hawaikubali. Kwa hiyo nyinyi mnaoikubali endeleeni nayo huko mbeleni tutaandika upya katiba ya watu wote na sio hiyo iliyotungwa na kundi la watawala.
 
Imekosa sifa muhimu ndo maana wameichunia acha wafanye kazi nyingine za kujenga taifa japo hata kwenye lenta halijafika mpaka leo
 
hiiyo katiba hiyo iliyoshindwa kusikiliza wananchi nani anaitaka hapana

Unaposema kitu ambacho hukipendi toa mifano hai ili ujibiwe kwa ufasaha, ni wapi hapo ambapo unasema haijajali wananchi? wananchi gani hao? Au ukitaka matakwa yako binafsi? Kwa taarifa yako hii katiba inayopendekezwa imejali makundi mbalimbali na ukweli wa suala hili unapatikana katika katiba inayopendekezwa katika sura ya tano ibara ya 56 (haki za makundi madogo katika jamii), pia soma ibara ya 46 haki za wakulima, wafugaji, wavuvi na wachimba madini (watumiaji wa ardhi), kwa maneno hayo naamini nitakuwa nimekusaidia kukujibu na kukutoa wasiwasi kuhusu wananchi.
 
Hatuitaki sababu imeondoa MATAKWA ya WATANZANIA.Hiyo ya Chenge na Sitta wawape familia yao.



Wadau isomeni kwanza...mimi pia nilikuwa na mtazamo huu huu ila nimeipitia kipengele kimoja hadi kingine...kuna baadhi sikubaliani navyo kwa mtazamo wangu ila tuisome kwanza ndio tuamue....
 
Unaposema kitu ambacho hukipendi toa mifano hai ili ujibiwe kwa ufasaha, ni wapi hapo ambapo unasema haijajali wananchi? wananchi gani hao? Au ukitaka matakwa yako binafsi? Kwa taarifa yako hii katiba inayopendekezwa imejali makundi mbalimbali na ukweli wa suala hili unapatikana katika katiba inayopendekezwa katika sura ya tano ibara ya 56 (haki za makundi madogo katika jamii), pia soma ibara ya 46 haki za wakulima, wafugaji, wavuvi na wachimba madini (watumiaji wa ardhi), kwa maneno hayo naamini nitakuwa nimekusaidia kukujibu na kukutoa wasiwasi kuhusu wananchi.
siku ingine bana
 
kwa bahati mbaya walio wengi hawana haja ya kuisoma kwani hawaikubali. Toka mambo ya msingi toka rasimu ya warioba kuondolewa walio wengi hawaikubali. Kwa hiyo nyinyi mnaoikubali endeleeni nayo huko mbeleni tutaandika upya katiba ya watu wote na sio hiyo iliyotungwa na kundi la watawala.

WEEE TINDO kama umeisoma na kushindwa kuielewa toa hoja humu jamvini tukusaidie usikalie kubwata lengo la jf ni kueleweshana hata kama tunapishana mwisho wa siku hoja yenye nguvuhojahoja ndio inaprevail
 
siku ingine bana

siku ingine wapi wewe unakimbia ukweli wa maneno yangu eeenh? Mi nakutwanga kwa point sibahatishi kama wewe unaekurupuka kama unaenda kupokea chakula cha msaada ghalani!! Hahahah maneno yangu kuntu eeenh!! Pumzika kaka hapakufai humu.
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza kwa watanzania wenzangu, kwa sasa kila mtu kwa anaweza kutunufaika na maendeleo ya technolojia ya mawasiliano bila kujalisha yupo mjini ama vijijini,kwa sasa ni rahisi hata kwa watu ambao hawana elimu ya kawaida, unamkuta yumo FB,Wasap na pia kuangalia taarifa zingine kupitia simu! Katika siku za hivi karibuni watu wengi wamekuwa wakilalamikia kutopata nakala za katiba,lakini mie kengele leo imegonga kichwani nikaona watu walivyo na ueledi mkubwa wa matumizi ya mitandao ya kijamii na katiba pendekezwa jitihada kidogo tu mtu waweza ipata kupitia mitandao hiyo.

Sasa je swali la kujiuliza kwamba kama si ushabiki wa kisiasa tu,kweli mtu ukipania kuisoma huwezi kuisoma kweli? AMA tukisikia kauli za kisiasa tunapandia hapo hapo,sidhani kama tunaweza kwenda kwa mfumo huu,nijuavyo mie watanzania waliowengi hawana utamanaduni wa kusomo mrundikano wa maandishi hilo hakuna hata mmoja anagusia,ila kusema nakala hazijasambazwa zile za hard copy,hiyo ndo inakuwa habari ya mjini.

Mie nadhani kutokana na umhimu wa katiba katika mstakabali wa nchi kwa siku zijazo kila mtu angepumnzika kidogo tu kuchat na kuingia online kuisoma katika inayopendekezwa,na si kuishia malalamiko ambayo nahisi ni ya wachache kwamba hawawezi kupata nakala ya katiba pendekezwa, ila wengine ni kama hatutaki tu kuifikia katiba hiyo kwa ya kimitandao.

Nawasilisha jamvini mawazo tete haya

Warioba na tume yake na hata maaskofu washasema hiyo katiba haifai kwa matumizi yetu, kuna haja gani ya kuisoma? watanzania wangapi wanauelewa wa kuwazidi maaskofu na hata tume ya Warioba hadi wapingane nao? hakuna haja ya kuisoma ni kujisumbua bure tu.
 
wadau isomeni kwanza...mimi pia nilikuwa na mtazamo huu huu ila nimeipitia kipengele kimoja hadi kingine...kuna baadhi sikubaliani navyo kwa mtazamo wangu ila tuisome kwanza ndio tuamue....

mwambie huyo aache kuweka porojo wakati hata rangi ya cover ya nje ya katiba haijui kabisa, mpe walau copy au adownload mtandaoni!!
 
warioba na tume yake na hata maaskofu washasema hiyo katiba haifai kwa matumizi yetu, kuna haja gani ya kuisoma? Watanzania wangapi wanauelewa wa kuwazidi maaskofu na hata tume ya warioba hadi wapingane nao? Hakuna haja ya kuisoma ni kujisumbua bure tu.
hizo ni point za mtu ambaye ni mfa maji, sa hapo umeweka points gani za maana? Kwani warioba mungu wako? Na hao maaskofu ni miungu yako? Wakikwambia ule kinyesi utakula si ndiyo? Khaaa akili za wengi changanya na zako wewe epuka kuwa kama bendera fuata upepo!! Unakuwa kama mtoto wa chekechea bhana mpaka kusomewa usomewe? Tumia akili wewe!! Kuwa mzalendo.
 

siku ingine wapi wewe unakimbia ukweli wa maneno yangu eeenh? Mi nakutwanga kwa point sibahatishi kama wewe unaekurupuka kama unaenda kupokea chakula cha msaada ghalani!! Hahahah maneno yangu kuntu eeenh!! Pumzika kaka hapakufai humu.

wewe kupoteza mda huku siwezi bwana umejiandaa kubishana na si kuelewa .. wewe endeleza ligi na wapenda ligi ,..
 
wewe kupoteza mda huku siwezi bwana umejiandaa kubishana na si kuelewa .. Wewe endeleza ligi na wapenda ligi ,..

suala sio kupenda ligi, nakuelimisha uelewe na uache ubishi wa kijinga, unakimbilia siku nyingine, soma uelewe na wewe uwaelimishe wengine huko.
 
Ili kupunguza gharama ya kuwa online, unatakiwa kui-download kwenye mobile device yako au PC kama kuna space ya kutosha.

Watanzania kusoma ni issue, na hili linatokana na mfumo tulionao ambao unahitaji overhauling!!

Kama walivyosema wengine, mambo mazuri kwa manufaa ya wote wakiwemo wengi wenye njaa yameondolewa, na kuwekwa mambo mazuri kwa manufaa ya wachache walioshiba!!
 
ili kupunguza gharama ya kuwa online, unatakiwa kui-download kwenye mobile device yako au pc kama kuna space ya kutosha.

Watanzania kusoma ni issue, na hili linatokana na mfumo tulionao ambao unahitaji overhauling!!

Kama walivyosema wengine, mambo mazuri kwa manufaa ya wote wakiwemo wengi wenye njaa yameondolewa, na kuwekwa mambo mazuri kwa manufaa ya wachache walioshiba!!

naona umeamua kuweka mambo vice versa hapo juu, na hii inaonyesha jinsi gani unavyotaka kupotosha umma kwa maneno ya uwongo, toa uthibitisho kupitia vifungu ambavyo unahic vimetolewa ili ujibiwe sio kubashiri bashiri tu
 
Back
Top Bottom