Watanzania uvivu wa kusoma mambo utatuponza,tusome katiba pendekezwa jamani.

Watanzania uvivu wa kusoma mambo utatuponza,tusome katiba pendekezwa jamani.

Epuka kejeli wewe mtanzania kuwa na busara, yeye hana katiba nchi hii, alikuwa tu kama mchangia hoja akamamwalivyo wengine so usitumie lugha za kibabe humu ndani.

Mwenye lugha za kibabe nani?Kama hupendi niite hivyo basi nimeisha iita na nitaendelea kuiita.Fisadi ametutengenezea Katiba halafu mnaippromote hata kujiuliza mnashindwa,hivi nyie ni binadamu wa aina gani.Kwangu itaendelea kuitwa Katiba ya Mafisasi aka Katiba ya Chenge nimemealiza.Siyo kwa matusi wala kwa ubabe utaweza kunilazimisha kufuta hilo jina itaitwa hivyo daima.
 
Mwenye lugha za kibabe nani?Kama hupendi niite hivyo basi nimeisha iita na nitaendelea kuiita.Fisadi ametutengenezea Katiba halafu mnaippromote hata kujiuliza mnashindwa,hivi nyie ni binadamu wa aina gani.Kwangu itaendelea kuitwa Katiba ya Mafisasi aka Katiba ya Chenge nimemealiza.Siyo kwa matusi wala kwa ubabe utaweza kunilazimisha kufuta hilo jina itaitwa hivyo daima.
Tetty kwanza una ID mbili tetty na tyta afu pili umetoka ucngzini kwahiyo naona unaota na kuendelea na uchafu wako humu ndani. Mbna mkaidi wewe?
 
Tetty kwanza una ID mbili tetty na tyta afu pili umetoka ucngzini kwahiyo naona unaota na kuendelea na uchafu wako humu ndani. Mbna mkaidi wewe?

Kama hiyo ya pili umenifungulia wewe sawa.Nilikujibu Mkaidi hafaidi mpaka siku ya Iddi.Kama hukulala shauri yako.Kama ni uchafu unaujua wewe uliyeanza kuandika.

Nimekwambia ili uweze kuishi kwa amani duniani :

1.Usichopenda kutendewa wewe aslani usimtendee mwenzio,hii inaitwa GOLDEN RULE.

2.Kubaliana katika kutokubaliana na kuweka hoja juu ya hoja siyo kuropoka na kukebehi wenzenu mkadhani mmeshinda,la hasha mnatia aibu.

3,Nenda darasani ujifunze haki za msingi za kuwa RAIA mwema.
 
Kama hiyo ya pili umenifungulia wewe sawa.Nilikujibu Mkaidi hafaidi mpaka siku ya Iddi.Kama hukulala shauri yako.Kama ni uchafu unaujua wewe uliyeanza kuandika.

Nimekwambia ili uweze kuishi kwa amani duniani :

1.Usichopenda kutendewa wewe aslani usimtendee mwenzio,hii inaitwa GOLDEN RULE.

2.Kubaliana katika kutokubaliana na kuweka hoja juu ya hoja siyo kuropoka na kukebehi wenzenu mkadhani mmeshinda,la hasha mnatia aibu.

3,Nenda darasani ujifunze haki za msingi za kuwa RAIA mwema.
Mr. Tetty ak.a Tyta ukweli umekuuma sana, hata uso hujanawa lkn umevamia jukwaa afu unaongea pumba badala ya kuja na hoja za maana, ondoa ID yako hiyo tunajua umetumwa, sisi watanzania tunakutakia mema usiwe kibaraka wewe.
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza kwa watanzania wenzangu, kwa sasa kila mtu kwa anaweza kutunufaika na maendeleo ya technolojia ya mawasiliano bila kujalisha yupo mjini ama vijijini,kwa sasa ni rahisi hata kwa watu ambao hawana elimu ya kawaida, unamkuta yumo FB,Wasap na pia kuangalia taarifa zingine kupitia simu! Katika siku za hivi karibuni watu wengi wamekuwa wakilalamikia kutopata nakala za katiba,lakini mie kengele leo imegonga kichwani nikaona watu walivyo na ueledi mkubwa wa matumizi ya mitandao ya kijamii na katiba pendekezwa jitihada kidogo tu mtu waweza ipata kupitia mitandao hiyo.

Sasa je swali la kujiuliza kwamba kama si ushabiki wa kisiasa tu,kweli mtu ukipania kuisoma huwezi kuisoma kweli? AMA tukisikia kauli za kisiasa tunapandia hapo hapo,sidhani kama tunaweza kwenda kwa mfumo huu,nijuavyo mie watanzania waliowengi hawana utamanaduni wa kusomo mrundikano wa maandishi hilo hakuna hata mmoja anagusia,ila kusema nakala hazijasambazwa zile za hard copy,hiyo ndo inakuwa habari ya mjini.

Mie nadhani kutokana na umhimu wa katiba katika mstakabali wa nchi kwa siku zijazo kila mtu angepumnzika kidogo tu kuchat na kuingia online kuisoma katika inayopendekezwa,na si kuishia malalamiko ambayo nahisi ni ya wachache kwamba hawawezi kupata nakala ya katiba pendekezwa, ila wengine ni kama hatutaki tu kuifikia katiba hiyo kwa ya kimitandao.

Nawasilisha jamvini mawazo tete haya
mpelekee CHENGE mkasome nae.
 
Mr. Tetty ak.a Tyta ukweli umekuuma sana, hata uso hujanawa lkn umevamia jukwaa afu unaongea pumba badala ya kuja na hoja za maana, ondoa ID yako hiyo tunajua umetumwa, sisi watanzania tunakutakia mema usiwe kibaraka wewe.

na wewe umetumwa na fisadi CHENGE pia.
 
na wewe umetumwa na fisadi CHENGE pia.

Kubali ukweli wewe kibaraka humu ndani kila mtu anakusema wewe tuuuu aibu hiyo bhana, tumia akili zako za kuzaliwa usiwe kibarua wa watu enzi za utumwa zilishapita sasa wewe unafanywa kuwa mtumwa wa watu fulani.
 
Back
Top Bottom