Watanzania uvivu wa kusoma mambo utatuponza,tusome katiba pendekezwa jamani.

Watanzania uvivu wa kusoma mambo utatuponza,tusome katiba pendekezwa jamani.

Okay.
Nataka katiba iseme tunu ya taifa letu ni utoaji wa haki ili kuleta amani.
Ni uwajibikaji na uzalendo.

WEWE UKIWA KAMA NANI MPAKA UTOE AMRI HIYO? WE UTAKUWA NA MATATIZO YA AKILI WALA SIO BURE WEWE!! Khaaa
 
Katiba sio kitabu cha hadithi au makala fulani. ukipewa usome yenyewe UTAPATA UGUMU WA KUONA MAKOSA. Kwanza inatakiwa uilinganishe na MAPENDEKEZO ya wananchi (yaliokusanywa na tume ya Warioba) kuona kama ipo na kiwango.
 
Katiba sio kitabu cha hadithi au makala fulani. ukipewa usome yenyewe UTAPATA UGUMU WA KUONA MAKOSA. Kwanza inatakiwa uilinganishe na MAPENDEKEZO ya wananchi (yaliokusanywa na tume ya Warioba) kuona kama ipo na kiwango.
Safi sasa fanya kazi ya kuisoma ujue yaliyomo
 

WEWE UKIWA KAMA NANI MPAKA UTOE AMRI HIYO? WE UTAKUWA NA MATATIZO YA AKILI WALA SIO BURE WEWE!! Khaaa

du kazi ipo!

Mmetolewa wapi?
Mngepewa hata ka orientation kadogo jamani, hata ka kukufuatilia flow ya habari, na majibishano
Nakushauri ignore post zangu. hazina mashiko na wewe.

Tukirudi kwenye mada

Watanzania inabidi au kuisoma lkini kubwa zaidi ni kupatikana kwa mtu/watu wa kuifafanua na kuilinganisha na maoni na matamanio yaliopendekezwa.

Mfano maelezo yaanzie kwa maoni yetu:
- yapo au hayapo
- kama yapo ielezwe yanavyomaanishwa na kusimamiwa na katiba
- kama hayapo ielezwe sababu ya kuyatoa na mbadala wake
- mbadala wake unavosaidia zaidi katika kufikia lengo kuu la haki, usawa, amani na maendeleo/ustawi wa kudumu kwa wote
 
du kazi ipo!

Mmetolewa wapi?
Mngepewa hata ka orientation kadogo jamani, hata ka kukufuatilia flow ya habari, na majibishano
nakushauri ignore post zangu. Hazina mashiko na wewe.

Tukirudi kwenye mada

watanzania inabidi au kuisoma lkini kubwa zaidi ni kupatikana kwa mtu/watu wa kuifafanua na kuilinganisha na maoni na matamanio yaliopendekezwa.

Mfano maelezo yaanzie kwa maoni yetu:
- yapo au hayapo
- kama yapo ielezwe yanavyomaanishwa na kusimamiwa na katiba
- kama hayapo ielezwe sababu ya kuyatoa na mbadala wake
- mbadala wake unavosaidia zaidi katika kufikia lengo kuu la haki, usawa, amani na maendeleo/ustawi wa kudumu kwa wote

umeweka maneno mazuri yenye kuvutia lakini nakuambia kuwa maoni ya wananchi yote yapo hakika hii katiba endapo mtu anaisoma vema basi atakuja kugundua kuwa imesheheni mambo kadha wa kadha yenye kumnufaisha mtanzania
 
umeweka maneno mazuri yenye kuvutia lakini nakuambia kuwa maoni ya wananchi yote yapo hakika hii katiba endapo mtu anaisoma vema basi atakuja kugundua kuwa imesheheni mambo kadha wa kadha yenye kumnufaisha mtanzania

Safi kabisa tusaidie hapo kudadavua mwenzetu.
Manake nadhani kuna kitu hatuelewi, au hujaona?

ni kazi ngumu, ila anza tu taratibu waelewa wenzio watakusaidia, usichoke ndio maana ya kuwa mbele utuvute
 
Hatuitaki sababu imeondoa MATAKWA ya WATANZANIA.Hiyo ya Chenge na Sitta wawape familia yao.
Narrow minded people alwayz comes with easy answers huwa watu wa hivi nawadharau sana....natamani nikupe hata kitusi kidogo ila kwasababu hujielewi nakushauri tumia akili yako fanya ulichoambiwa
 
Narrow minded people alwayz comes with easy answers huwa watu wa hivi nawadharau sana....natamani nikupe hata kitusi kidogo ila kwasababu hujielewi nakushauri tumia akili yako fanya ulichoambiwa

Mliozea kutukana sababu tu ninamawazo tofauti nawe huwa siwadharau bali nawaonea HURUMA sana.Pole
 
Wewe mkaidi na umezidi afu unatumia ID nyingi sana

Na MKAIDI HAFAIDI MPAKA SIKU YA IDDI.Pole ID yangu ni hii hii moja sina ID nyingine.Pole pia kwa kufikiria ulivyofikiria.Uamuzi wangu wa HAPANA ni wa kwangu sijashurutishwa,kama wa kwako ni NDIYO hope haujashurutishwa pia.Basi kubwa moja TUKUBALIANE KATIKA KUTOKUKUBALIANA.
 
Na MKAIDI HAFAIDI MPAKA SIKU YA IDDI.Pole ID yangu ni hii hii moja sina ID nyingine.Pole pia kwa kufikiria ulivyofikiria.Uamuzi wangu wa HAPANA ni wa kwangu sijashurutishwa,kama wa kwako ni NDIYO hope haujashurutishwa pia.Basi kubwa moja TUKUBALIANE KATIKA KUTOKUKUBALIANA.

Naona ukweli umekuuma sana, lakini kama kura yako ni HAPANA kwanini uje kututangazia humundani wakati unafahamu kuwa suala la kura ni siri?? huo huoni kuwa ni ushamba au we mwenzetu ndo umetimiza miaka 18 juzi?
 
Naona ukweli umekuuma sana, lakini kama kura yako ni HAPANA kwanini uje kututangazia humundani wakati unafahamu kuwa suala la kura ni siri?? huo huoni kuwa ni ushamba au we mwenzetu ndo umetimiza miaka 18 juzi?

Kaka mbona wanaopiga KURA ya ndiyo wako busy kuwashawishi wenye KURA ya HAPANA wabadilike na hakuna mtu anayewatukana?Tafadhali msiwe too biased,na daima wanasema 'USICHOPENDA KUTENDEWA WEWE,USIMTENDEE MWENZAKO".Kama ambavyo hamtaki Tuwashawishi WATANZANIA wapige kura ya HAPANA vivyo hivyo kwenu hamtakiwi kuwashawishi WATANZANIA kupiga KURA YA NDIYO!

Pili yake haijaniuma chochote nimekujibu kulingana na post au hoja yako.Nimekwambia sina ID nyingi ninayo moja tu,kama huamini waulize wahusika watakwambia,ila nadhani wewe ndiyo imekuuma sana baada ya kujua nina ID moja tu,na pili SHERIA ya nchi inaniruhusu kufanya yafuatayo:

1.Kupiga KURA YA NDIYO

2.Kupiga KURA YA HAPANA

3.KUHARIBU KURA yangu.

Hivyo basi sitopfanya point 1 & 3,hilo pia imekushinda kunielewa?

Na ya mwisho sikereki na KURA YAKO YA NDIYO hata kidogo kwa sababi kimsingi,kisheria,na kwa HAKI ni maamuzi yako.Wala sikereki ukujitahidi KUWASHAWISHI wa HAPANA kuwa ndiyo.Hilo nalo hulielewi?Sasa nimeumizwa na nini ikiwa ninajua HAKI zako za msingi na ninajua HAKI zangu za msingi,ila ninasikitika haujui HAKI ZANGU ZA MSINGI.
 
Kaka mbona wanaopiga KURA ya ndiyo wako busy kuwashawishi wenye KURA ya HAPANA wabadilike na hakuna mtu anayewatukana?Tafadhali msiwe too biased,na daima wanasema 'USICHOPENDA KUTENDEWA WEWE,USIMTENDEE MWENZAKO".Kama ambavyo hamtaki Tuwashawishi WATANZANIA wapige kura ya HAPANA vivyo hivyo kwenu hamtakiwi kuwashawishi WATANZANIA kupiga KURA YA NDIYO!

Pili yake haijaniuma chochote nimekujibu kulingana na post au hoja yako.Nimekwambia sina ID nyingi ninayo moja tu,kama huamini waulize wahusika watakwambia,ila nadhani wewe ndiyo imekuuma sana baada ya kujua nina ID moja tu,na pili SHERIA ya nchi inaniruhusu kufanya yafuatayo:

1.Kupiga KURA YA NDIYO

2.Kupiga KURA YA HAPANA

3.KUHARIBU KURA yangu.

Hivyo basi sitopfanya point 1 & 3,hilo pia imekushinda kunielewa?

Na ya mwisho sikereki na KURA YAKO YA NDIYO hata kidogo kwa sababi kimsingi,kisheria,na kwa HAKI ni maamuzi yako.Wala sikereki ukujitahidi KUWASHAWISHI wa HAPANA kuwa ndiyo.Hilo nalo hulielewi?Sasa nimeumizwa na nini ikiwa ninajua HAKI zako za msingi na ninajua HAKI zangu za msingi,ila ninasikitika haujui HAKI ZANGU ZA MSINGI.

SASA WEWE SISI HATUPENDI KUFANYA MATANGAZO HUMU YA NDIYO HATA YA HAPANA, WAPI UMENIONA NIMEMWAMBIA MTU APIGE NDIYO? NA WEWE ACHA HIYO TABIA, NA HAKUNA NILIPOTUKANA, WEWE NA MTK lenu moja mda ID nyingi tumeshazijua na mmetumwa kwa lengo la kufanya upuuzi huo wa kushawishi watu humu ndani. acheni hizo.
 
SASA WEWE SISI HATUPENDI KUFANYA MATANGAZO HUMU YA NDIYO HATA YA HAPANA, WAPI UMENIONA NIMEMWAMBIA MTU APIGE NDIYO? NA WEWE ACHA HIYO TABIA, NA HAKUNA NILIPOTUKANA, WEWE NA MTK lenu moja mda ID nyingi tumeshazijua na mmetumwa kwa lengo la kufanya upuuzi huo wa kushawishi watu humu ndani. acheni hizo.

Nimekwambia hivi na bado nitainsist nina ID moja tu,kama huamini uliza wahusika watakwambia!Pili niliowajibu walikuwa wanaadvertise kwa KURA YA NDIYO sasa kama hujaiona pole.

Tatu nina haki ya KUWASHAWISHI wengine pia sheria hainifungi,mradi simtukani mtu,na hata wewe kama unaweza kushawishi bado haufungwi shawishi tu.

Kumashiwshi mtu kura ya HAPANA siyo UPUUZI bali natumia haki yangu ya kushwishi tena kwa HOJA na si VIHOJA.Serikali inaadvertise kura ya ndiyo siyo vibaya wa kura ya HAPANA tuakwashawishi WATANZANIA kupiga kura ya HAPANA.Hainifungi,ni HAKI yangu ya msingi.

Na wewe ukiweza advertise kura ya NDIYO,washawishi watu kwa hoja na si vihoja.Hebu soma yema post yangu kuna mahali nimekutuhumu umenitukana?Kwanini uniwekee mdomoni maneno nisiyoyatamka?Pole naona tusihie hapa maana hatutaelewana.

Nakukumbusha tu kwamba nina ID moja tu,hiyo nyingine LABDA nasema LABDA uwe umeitengeneza wewe
 
nimekwambia hivi na bado nitainsist nina id moja tu,kama huamini uliza wahusika watakwambia!pili niliowajibu walikuwa wanaadvertise kwa kura ya ndiyo sasa kama hujaiona pole.

Tatu nina haki ya kuwashawishi wengine pia sheria hainifungi,mradi simtukani mtu,na hata wewe kama unaweza kushawishi bado haufungwi shawishi tu.

Kumashiwshi mtu kura ya hapana siyo upuuzi bali natumia haki yangu ya kushwishi tena kwa hoja na si vihoja.serikali inaadvertise kura ya ndiyo siyo vibaya wa kura ya hapana tuakwashawishi watanzania kupiga kura ya hapana.hainifungi,ni haki yangu ya msingi.

Na wewe ukiweza advertise kura ya ndiyo,washawishi watu kwa hoja na si vihoja.hebu soma yema post yangu kuna mahali nimekutuhumu umenitukana?kwanini uniwekee mdomoni maneno nisiyoyatamka?pole naona tusihie hapa maana hatutaelewana.

Nakukumbusha tu kwamba nina id moja tu,hiyo nyingine labda nasema labda uwe umeitengeneza wewe

acha mbwembwe wewe muda wa kura bado, kama matangazo si ungeenda kwenye tv na redio??? Hata hao wanaoshawishi ndiyo hawatakiwi kufanya hivo. Elewa pia kura ni siri
 
Kuna haja gani ya kuisoma katiba wakati GWAJIMA katuambia tuipigie kura ya HAPANA?
 
acha mbwembwe wewe muda wa kura bado, kama matangazo si ungeenda kwenye tv na redio??? Hata hao wanaoshawishi ndiyo hawatakiwi kufanya hivo. Elewa pia kura ni siri

Sasa kaka yangu hivi inakuuma nini mimi nikisema nitapiga KURA YA HAPANA?Kama inakuuma kiasi hicho pole.Bado sijavunja sheria ya nchi.Na hapa JF tupo huru mradi hutukani.Ukitaka SHAWISHI,Usipotaka ACHA wa KUSHAWISHI tuendelee kushawishiana.Ila Usisome basi maana usije ukakwazika tu.Naomba niishie hapa kwa leo tusikwazane bila sababu za msingi.:wave::wave::wave: :flypig:
 
sasa kaka yangu hivi inakuuma nini mimi nikisema nitapiga kura ya hapana?kama inakuuma kiasi hicho pole.bado sijavunja sheria ya nchi.na hapa jf tupo huru mradi hutukani.ukitaka shawishi,usipotaka acha wa kushawishi tuendelee kushawishiana.ila usisome basi maana usije ukakwazika tu.naomba niishie hapa kwa leo tusikwazane bila sababu za msingi.:wave::wave::wave: :flypig:

iniume nini kwani we unalisha? Labda wewe ndo unaumia maneno yangu yenye ukweli kwako, pole pia ndo ukubwa huo vumilia lakini ukiona unaumi sana kanywe sumu ufe.
 
Back
Top Bottom