Watanzania uvivu wa kusoma mambo utatuponza,tusome katiba pendekezwa jamani.

Watanzania uvivu wa kusoma mambo utatuponza,tusome katiba pendekezwa jamani.

iniume nini kwani we unalisha? Labda wewe ndo unaumia maneno yangu yenye ukweli kwako, pole pia ndo ukubwa huo vumilia lakini ukiona unaumi sana kanywe sumu ufe.

Walasijaumia maana hebu angalia LUGHA yangu na LUGHA yako zilivyotofauti.Lugha yako imekaa kama tunagombana.Inshort kama avarta yangu inavyoonyesha mimi Nitaendelea kushawishi washawishiwa wa KURA ya HAPANA kama walivyotamka viongozi wetu wa dini.

Na wewe pia nakualika kwenye KIJIWE cha KURA YA HAPANA,nausemea moyo wangu,na nitaendelea kuusemea moyo wangu.

Mimi ni mimi nilizaliwa na kuumbwa kama mimi,sikuzaliwa na kuumbwa kama wewe,na wewe ni wewe.

Unamaisha yako,unamawazo yako,unauamuzi wako,hivyo ASLANI siwezi kuingilia HAKI zako za msingi kama RAIA ,MPIGA KURA,nitayaheshimu maamuzi yako sababu ni ya kwako,hata siwezi kukulazimisha kutenda nitakavyo mimi,ndivyo ningefurahi pia kama utayaheshimu maamuzi yangu sababu ni yangu na sivunji sheria wala HAKI za msingi za wengine.

Tuheshimiane katika kutofautiana kwetu,kwani tumeumbwa kila mtu na akili,na uwezo wake wa kupembua mambo,na kila mtu ana maamuzi yake.
 
walasijaumia maana hebu angalia lugha yangu na lugha yako zilivyotofauti.lugha yako imekaa kama tunagombana.inshort kama avarta yangu inavyoonyesha mimi nitaendelea kushawishi washawishiwa wa kura ya hapana kama walivyotamka viongozi wetu wa dini.

Na wewe pia nakualika kwenye kijiwe cha kura ya hapana,nausemea moyo wangu,na nitaendelea kuusemea moyo wangu.

Mimi ni mimi nilizaliwa na kuumbwa kama mimi,sikuzaliwa na kuumbwa kama wewe,na wewe ni wewe.

Unamaisha yako,unamawazo yako,unauamuzi wako,hivyo aslani siwezi kuingilia haki zako za msingi kama raia ,mpiga kura,nitayaheshimu maamuzi yako sababu ni ya kwako,hata siwezi kukulazimisha kutenda nitakavyo mimi,ndivyo ningefurahi pia kama utayaheshimu maamuzi yangu sababu ni yangu na sivunji sheria wala haki za msingi za wengine.

Tuheshimiane katika kutofautiana kwetu,kwani tumeumbwa kila mtu na akili,na uwezo wake wa kupembua mambo,na kila mtu ana maamuzi yake.

wala sikushangai kwasabu umetumwa na hao wanajukwaa so wewe ni kibaraka wao, hata ukiambiwa kula kinyesi utakula, ijali nchi yako uwe mzalendo, kitu usichokisoma huwezi kukipinga, kama ungeisoma hiyuo katiba usingediriki kusema maneno haya. Pole sana kwa kupoteza dira
 
wala sikushangai kwasabu umetumwa na hao wanajukwaa so wewe ni kibaraka wao, hata ukiambiwa kula kinyesi utakula, ijali nchi yako uwe mzalendo, kitu usichokisoma huwezi kukipinga, kama ungeisoma hiyuo katiba usingediriki kusema maneno haya. Pole sana kwa kupoteza dira

Nimeusemea moyo wangu.Sina akili za kuambiwa ninatumia akili zangu tu.Nimeamua nimefanya maamuzi na ninajua ndani ya moyo wangu ndiyo maamuzi sahihi kuliko yote.Hakuna mtu yoyote aliyenishawishi na nikashawishika.Nimejishwawishi mwenyewe.

Rasimu ya Warioba ndiyo ilikuwa Katiba Bora zaidi ambayo kama ingefuatwa na kufanyiwa kazi basi leo tusingekuwa tunatukanana na kudharauliana kama ulivyofanya kwenye post yako.

Usije ukadhani sababu ya serikali mbili au tatu,wala si hilo,ukiondoa serikali mbili au tatu,Rasimu ya Warioba ndiyo iliyokuwa bora zaidi.

Hiyo iliyochakachuliwa,imelazimishwa kupitishwa,ilitawaliwa na Majungu,Matusi,kudhalilishana,kutuakanana,haifai hata kuitwa Katiba.Wabunge walilazimishwa mpaka kukutishiwa maisha yao na kulazimisha hata wafu kupiga KURA leo mnaiita Katiba,kwa kweli haifai hata kidogo.

Hata kwa pesa SITOIPIGIA kura ya Ndiyo.Hayo ndiyo maamuzi yangu.Sijalazimishwa kama ulivyo wewe hukulazimishwa kuipigia kura ya NDIYO.

Naomba niishie hapa sababu hata ukinijibu kwa matusi ya nguoni sitokujibu kamwe.Nidyo maamuzi yangu.Topic :closed_2:
 
Nimeusemea moyo wangu.Sina akili za kuambiwa ninatumia akili zangu tu.Nimeamua nimefanya maamuzi na ninajua ndani ya moyo wangu ndiyo maamuzi sahihi kuliko yote.Hakuna mtu yoyote aliyenishawishi na nikashawishika.Nimejishwawishi mwenyewe.

Rasimu ya Warioba ndiyo ilikuwa Katiba Bora zaidi ambayo kama ingefuatwa na kufanyiwa kazi basi leo tusingekuwa tunatukanana na kudharauliana kama ulivyofanya kwenye post yako.

Usije ukadhani sababu ya serikali mbili au tatu,wala si hilo,ukiondoa serikali mbili au tatu,Rasimu ya Warioba ndiyo iliyokuwa bora zaidi.

Hiyo iliyochakachuliwa,imelazimishwa kupitishwa,ilitawaliwa na Majungu,Matusi,kudhalilishana,kutuakanana,haifai hata kuitwa Katiba.Wabunge walilazimishwa mpaka kukutishiwa maisha yao na kulazimisha hata wafu kupiga KURA leo mnaiita Katiba,kwa kweli haifai hata kidogo.

Hata kwa pesa SITOIPIGIA kura ya Ndiyo.Hayo ndiyo maamuzi yangu.Sijalazimishwa kama ulivyo wewe hukulazimishwa kuipigia kura ya NDIYO.

Naomba niishie hapa sababu hata ukinijibu kwa matusi ya nguoni sitokujibu kamwe.Nidyo maamuzi yangu.Topic :closed_2:

Nashukuru sana kwa kukubali maneno yangu naamini sasa umenielewa nlichokuambia mwanzo kuwa wewe umatumwa na ndo maana sasa umeamua kukimbia humu ndani, haya maneno tu wala hushikwi shati usikimbie bhana, ila mi sitoacha kukwambia ukweli wa haya mambo kuwa acha kupotoka wala kupotosha watu humu ndani.
 
umeongea ukweli kama mtu haujakisoma kitu na kujihakikishia kwanini unakurupuka na kusema hakijakujali
 
Sidhani kama hyo mitandao inaweza kuwa inamilikiwa na watu takribani mil 28 ambao wanakadiliwa kupiga kura ya maoni kupendekeza katiba mpya.

Pia kwanini tuishi katika mazingira ambayo tunashindwa kuwajua watu wetu....tumeshajua kuwa watanzania hatujafikia kwenye ya E-government ambayo kila mmoja anaweza kutumia mtandao kutambua shughuli mbalimbali zinazotekelezwa na serikali hvyo ingekuwa vyema kama hard copy (machapisho) yangekuwa mengi kama serikali ingekuwa na nia njema kwa watanzania.

Ila nnachokiona hapa nikwadhoofisha watanzania kimawazo kwa kutopata muda wakutosha wa kusoma na kujadili hatima ya katiba yao.
 
Hatuitaki sababu imeondoa MATAKWA ya WATANZANIA.Hiyo ya Chenge na Sitta wawape familia yao.
Watu wengine muache ndoto za mchana. Kwenye JF tunajadili katiba Inayopendekezwa. Wewe katiba ya Chenge umeipata wapi. Amka kumeshakucha. Soma Katiba Inayopendekezwa ili upate kujadili kiufasaha. Kwa sasa unachechemeaaa.
 
Sidhani kama hyo mitandao inaweza kuwa inamilikiwa na watu takribani mil 28 ambao wanakadiliwa kupiga kura ya maoni kupendekeza katiba mpya.

Pia kwanini tuishi katika mazingira ambayo tunashindwa kuwajua watu wetu....tumeshajua kuwa watanzania hatujafikia kwenye ya E-government ambayo kila mmoja anaweza kutumia mtandao kutambua shughuli mbalimbali zinazotekelezwa na serikali hvyo ingekuwa vyema kama hard copy (machapisho) yangekuwa mengi kama serikali ingekuwa na nia njema kwa watanzania.

Ila nnachokiona hapa nikwadhoofisha watanzania kimawazo kwa kutopata muda wakutosha wa kusoma na kujadili hatima ya katiba yao.
Mtanzania mwenzangu, kama hawa watu wanashindwa kusoma brosha ya kurasa mbili za A4 wataweza kusoma kitabu chenye sura 19! Tabia au utamaduni wa kusoma Watz wengi hawana si ajabu na wewe ni miongoni mwao hata ungepewa Katiba Inayopendekezwa ungeishia kusoma utangulizi ambao ungeshindwa kuumaliza kwa sababu huna reading culture. Hivyo vitabu vilivyosambazwa ni vingi mno. Tungekupa kazi ya kufuatilia ni wangapi wanavisoma naona usingeleta matokeo, kwa aibu ambayo ungeipata. Kama wewe si mvivu wa kusoma nipe ushahidi.
 
Mtanzania mwenzangu, kama hawa watu wanashindwa kusoma brosha ya kurasa mbili za A4 wataweza kusoma kitabu chenye sura 19! Tabia au utamaduni wa kusoma Watz wengi hawana si ajabu na wewe ni miongoni mwao hata ungepewa Katiba Inayopendekezwa ungeishia kusoma utangulizi ambao ungeshindwa kuumaliza kwa sababu huna reading culture. Hivyo vitabu vilivyosambazwa ni vingi mno. Tungekupa kazi ya kufuatilia ni wangapi wanavisoma naona usingeleta matokeo, kwa aibu ambayo ungeipata. Kama wewe si mvivu wa kusoma nipe ushahidi.

Nadhani umeongea kitu ambacho hata wewe mwenyewe ukiulizwa ulete ushahidi utabaki kukuna kichwa....ntakupa ushahidi gani wa kwamba niko nje ya hao unaowasema....hapa hatuko kwenye mashindano ya insha...sifhani hata kama anaependa kusoma ataweza kusoma katiba pendekezwa kwa siku 5 ama 10 akaimaliza akawa ameelewa nini kilichomo ndani labda awe anasoma kama gazeti la RAIA
 
Nadhani umeongea kitu ambacho hata wewe mwenyewe ukiulizwa ulete ushahidi utabaki kukuna kichwa....ntakupa ushahidi gani wa kwamba niko nje ya hao unaowasema....hapa hatuko kwenye mashindano ya insha...sifhani hata kama anaependa kusoma ataweza kusoma katiba pendekezwa kwa siku 5 ama 10 akaimaliza akawa ameelewa nini kilichomo ndani labda awe anasoma kama gazeti la RAIA
Isome ndugu wala msibishane ovyo
 
Isome ndugu wala msibishane ovyo

Tatizo la watu waliowengi wanashindwa kusimamia ukweli kwa kumjadili mtu badala ya kutoa points ambazo zitamshawishi ili aendane na attitude yake.

Ordinaly mind attack personal...
 
Nashukuru sana kwa kukubali maneno yangu naamini sasa umenielewa nlichokuambia mwanzo kuwa wewe umatumwa na ndo maana sasa umeamua kukimbia humu ndani, haya maneno tu wala hushikwi shati usikimbie bhana, ila mi sitoacha kukwambia ukweli wa haya mambo kuwa acha kupotoka wala kupotosha watu humu ndani.

Nadhani unayepotosha jamii ni wewe.Kwasababu jamii kubwa inauelewa mzuri wa haki za msingi za Mtanzania.Ninaamua kwa maamuzi yangu sijalazimishwa wala kushawishiwa na mtu yeyote.Ni maono yangu,niemiona kabisa Katiba ya Chenge imeacha mambo mengi mazuri ya Rasimu ya Warioba ambayo kwa namna moja ama nyingine yangetusaidia watanzania kuwawajibisha viongozi wetu wabadhirifu wa aki za umma.

Nimeipima Rasimu ya Warioba na Katiba ya Chenge nimepata jibu ya Chenge haistahili kupigiwa Kura ya ndiyo.

Kwa hiari yangu bila kulazimishwa na mtu nitaipigia KURA YA HAPANA.

Cha msingi kaka yangu hakuna sababu ya kulazimishana kwa sababu ni haki yangu ya msingi kupiga kura ya diyo au hapana.Kwa hii ya Chenge nimeamua bila kushurutishwa na mtu kupiga kura ya hapana.Huna haja wala haki ya kunidhalilisha sababu ukiendelea sitasita kujibu kama utakavyo andika.

Heshimu uamuzi wangu sababu ninaheshimu uamuzi wako.
 
Watu wengine muache ndoto za mchana. Kwenye JF tunajadili katiba Inayopendekezwa. Wewe katiba ya Chenge umeipata wapi. Amka kumeshakucha. Soma Katiba Inayopendekezwa ili upate kujadili kiufasaha. Kwa sasa unachechemeaaa.

Anayeota nani sasa mimi au wewe?Kaka hiari yashinda utumwa.Maamuzi yangu yameamua hivyo.Huna haki ya kuniamualia.Mimi ni mimi na wewe ni wewe.Mimi siwezi kuwa wewe na wewe huwezi kuwa mimi.Tuheshimu mawazo tofauti na wenzetu.Ninayaheshimu maamuzi yako na ninahitaji wewe kuheshimu mawazo yangu.
 
Anayeota nani sasa mimi au wewe?Kaka hiari yashinda utumwa.Maamuzi yangu yameamua hivyo.Huna haki ya kuniamualia.Mimi ni mimi na wewe ni wewe.Mimi siwezi kuwa wewe na wewe huwezi kuwa mimi.Tuheshimu mawazo tofauti na wenzetu.Ninayaheshimu maamuzi yako na ninahitaji wewe kuheshimu mawazo yangu.

Sasa kama msimamo wako ndivyo ulivyo? Unafanya nini sasa kwenye JF, toka! usiwalishe wengine uanchotaka wewe kusikia tu, na sii kusikia wenzako wanasemaje ili kujenga hoja.
 
Sasa kama msimamo wako ndivyo ulivyo? Unafanya nini sasa kwenye JF, toka! usiwalishe wengine uanchotaka wewe kusikia tu, na sii kusikia wenzako wanasemaje ili kujenga hoja.

Kwanini usitoke wewe na wenzako msioelewa HAKI za msingi za Mtanzania?Msiyejua kila Mtanzania ana haki sawa ya kuikataa katiba au kuikubali?Kama umeshindwa kuheshimu wengine wanaosema hapana basi wewe utoke utuache tunaoshawishi watanzania wenye mapenzi mema na nchi yao wapige kura ya HAPANA KWA KATIBA YA CHENGE.
Vinginevyo hunahaki ya kuniambia nitoke.Mwaweza lia mkatoka na kuanzisha mtanando wenu utakaokubali tu Katiba ya Chenge.Na siye Wa HAPANA TUTABAKI JF.Watanzania tuko huru kusema na kutoa maoni au hoja yoyote ili mradi havunji sheria.
 
Kwanini usitoke wewe na wenzako msioelewa HAKI za msingi za Mtanzania?Msiyejua kila Mtanzania ana haki sawa ya kuikataa katiba au kuikubali?Kama umeshindwa kuheshimu wengine wanaosema hapana basi wewe utoke utuache tunaoshawishi watanzania wenye mapenzi mema na nchi yao wapige kura ya HAPANA KWA KATIBA YA CHENGE.
Vinginevyo hunahaki ya kuniambia nitoke.Mwaweza lia mkatoka na kuanzisha mtanando wenu utakaokubali tu Katiba ya Chenge.Na siye Wa HAPANA TUTABAKI JF.Watanzania tuko huru kusema na kutoa maoni au hoja yoyote ili mradi havunji sheria.


Kwanza tuelewane kwa mambo ya msingi hapa ni Katiba Inayopedekezwa ambayo wewe na mimi na Watanzania wengine tunawajibika kuipigia kura. Kura ni siri yako sii shauri lako kuniambia mimi unaenda kupiga gani.


Tunapotofautiana mimi na wewe ni kuhusu Katiba yenyewe. Tuna Katiba Inayopendekezwa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na sii vinginevyo. Hiyo ya kwako umeitoa wapi? Ndiyo maana hatuelewani kwa kuwa tunazungumzia vitu viwili tofauti. Katiba yako unayoiita ya Chenge weka pembeni na wala Watanzania hatushughuliki nayo. Nakusihi tumia muda wako kuisoma Katiba Inayopendekezwa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kutofautiana katika hoja ni suala la kawaida maana kupitia mjadala na kupingana kwa hoja hapo ndipo tunajifunza na kushawishiana kwenye mantiki husika. JF ni uwanja mpana ni eneo zuri sana la kujenga hoja na kuelimishana. Sasa
 
Kwanza tuelewane kwa mambo ya msingi hapa ni Katiba Inayopedekezwa ambayo wewe na mimi na Watanzania wengine tunawajibika kuipigia kura. Kura ni siri yako sii shauri lako kuniambia mimi unaenda kupiga gani.


Tunapotofautiana mimi na wewe ni kuhusu Katiba yenyewe. Tuna Katiba Inayopendekezwa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na sii vinginevyo. Hiyo ya kwako umeitoa wapi? Ndiyo maana hatuelewani kwa kuwa tunazungumzia vitu viwili tofauti. Katiba yako unayoiita ya Chenge weka pembeni na wala Watanzania hatushughuliki nayo. Nakusihi tumia muda wako kuisoma Katiba Inayopendekezwa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kutofautiana katika hoja ni suala la kawaida maana kupitia mjadala na kupingana kwa hoja hapo ndipo tunajifunza na kushawishiana kwenye mantiki husika. JF ni uwanja mpana ni eneo zuri sana la kujenga hoja na kuelimishana. Sasa

Tena wajua nimeiheshimu sana kuiita ya Chenge ilipasa tuiite ya mafisadi.Maana muandishi wa Katiba yenyewe ni Fisadi la kutisha sti ndiyo ametuandikia katiba.Pole mdogo wangu.Kama kuisoma endelea mie simo.Nisingependa kupoteza muda wangu, ni bora niangalie MY legL wife,kuliko kuizikiliza hiyo najisi ya MaCCM
 
Tena wajua nimeiheshimu sana kuiita ya Chenge ilipasa tuiite ya mafisadi.Maana muandishi wa Katiba yenyewe ni Fisadi la kutisha sti ndiyo ametuandikia katiba.Pole mdogo wangu.Kama kuisoma endelea mie simo.Nisingependa kupoteza muda wangu, ni bora niangalie MY legL wife,kuliko kuizikiliza hiyo najisi ya MaCCM
Epuka kejeli wewe mtanzania kuwa na busara, yeye hana katiba nchi hii, alikuwa tu kama mchangia hoja akamamwalivyo wengine so usitumie lugha za kibabe humu ndani.
 
Watanzania saizi awavishwi vitambaa vyeusi machoni km Wakat wa mwalimu
Kama hawavishwi basi ni vizuri wasiwewanawasikiliza viongozi wa dini wanaowashawishi wapige kura za hapana wakati wakijua kua kila mtu ana akili zake na hapaswi kushinikizwa bali kuelimishwa juu ya katiba, pia wakiju kuwa suala la kura ni siri ya mtu hapo ndo nitaamini.
 
Back
Top Bottom