Watanzania uvivu wa kusoma mambo utatuponza,tusome katiba pendekezwa jamani.

Watanzania uvivu wa kusoma mambo utatuponza,tusome katiba pendekezwa jamani.

Sorry kwa kukugusa. Kumbe na wewe ni mmoja wa wale walioletwa JF kwa malengo maalum. Vumilia tu maana uko kazini, ila watch out: never waste your life obeying some fool's orders!

du umenishangaza sanaaa......kwa kuwa naona unafanya kazi ya kupiga ramli,nilichosema ni kuwa umeishiwa hoja,sasa swala la watu wanaotumia id fake mie linanihusu nn coz naona umegeuza hilo kuwa ni mjadala hapa badala ya kujadili hoja zenye mashiko,nadhani ww ni mamluki ndio maana unahisi kila mtu ni kama ww
 
hizo ni point za mtu ambaye ni mfa maji, sa hapo umeweka points gani za maana? Kwani warioba mungu wako? Na hao maaskofu ni miungu yako? Wakikwambia ule kinyesi utakula si ndiyo? Khaaa akili za wengi changanya na zako wewe epuka kuwa kama bendera fuata upepo!! Unakuwa kama mtoto wa chekechea bhana mpaka kusomewa usomewe? Tumia akili wewe!! Kuwa mzalendo.
Mungu si Chenge fisadi mkubwa pamoja na Sita. Kila katiba inapaswa iwe na misingi inayotoa mamlaka kwa umma. Katiba inayopendekezwa haina sifa hiyo ndio maana kila anayezungumzia uzuri wake ataimba CD iliyochakaa ya 'katiba inayojali makundi madogomadogo' bila kueleza inadai nini. Ibara nyang'anyi - clobber clauses ziko nyingi na hakuna anayeonekana kuzitupia macho.
 
basi kojoa ukalale hii inakubalika na itapita kwa uweza wa mungu, pole yako wewe unaeumia moyoni kwa kushindwa kujibu hoja.

na wewe umetumwa wewe wala sio bure kabisa, kwanini unamsema mwenzio hivyo wewe una ushaidi gani juu ya hilo? kojoa ulale huko

Watu wanapenda mkojo kweli kweli! Na hapa ndio utajua ni watu wa namna gani! Yawezekana ni watoto.
 
du umenishangaza sanaaa......kwa kuwa naona unafanya kazi ya kupiga ramli,nilichosema ni kuwa umeishiwa hoja,sasa swala la watu wanaotumia id fake mie linanihusu nn coz naona umegeuza hilo kuwa ni mjadala hapa badala ya kujadili hoja zenye mashiko,nadhani ww ni mamluki ndio maana unahisi kila mtu ni kama ww

Well, mada ya ID feki uliidandia mwenyewe na ilikuwa haikuhusu.
 
ili kupunguza gharama ya kuwa online, unatakiwa kui-download kwenye mobile device yako au pc kama kuna space ya kutosha.

Watanzania kusoma ni issue, na hili linatokana na mfumo tulionao ambao unahitaji overhauling!!

Kama walivyosema wengine, mambo mazuri kwa manufaa ya wote wakiwemo wengi wenye njaa yameondolewa, na kuwekwa mambo mazuri kwa manufaa ya wachache walioshiba!!


kafanyiwe over hauling mwenyewe acha dharau na uzembe wako,mie nakushangaa tabia inayokukimbiza mwenyewe unataka kutuletea hapa kaa nayo mwenyewe uvivu wa kusoma na kuelewa ni wako mwenyewe usiwe kaa tikitimaji bhana.
 
kafanyiwe over hauling mwenyewe acha dharau na uzembe wako,mie nakushangaa tabia inayokukimbiza mwenyewe unataka kutuletea hapa kaa nayo mwenyewe uvivu wa kusoma na kuelewa ni wako mwenyewe usiwe kaa tikitimaji bhana.

Dawa ya watu kama wewe ni kuwajibu 'asante na Mungu akubariki'.
 
Well, mada ya ID feki uliidandia mwenyewe na ilikuwa haikuhusu.

Utotole una tabia kama mzimu wewe hueleweki, huna sifa za kuendelea kuwa jamvini miaka uliyokaa humu hailingani na umbilikimo wako wa mawazo,ungekua mjanja wa kupambana kuliko kuomba uonewe huruma JF THIS TIME IKO SERIOUS NA NI MOTO ULAO KWA WAZEMBE KAMA WEWE WASIOTAKA KUFIKIRI, UMEKAA MUDA MREFU NDANI YA BOKSI, YOU NEED TO THING OUT OF THE BOX BHANA USIWE KIMEO!!! Na kwa jinsi mdahalo unavyoendelea lazima utie akili!
 
dawa ya watu kama wewe ni kuwajibu 'asante na mungu akubariki'.

mungu hawezi kunibariki eti kwa kuwa umesema wewe ambaye kinywa chako kimejaa hila na udhalimu, muongo umejaa husuda na ushabiki wa kutaka kuligawanya taifa, nenda na baraka zako huko,
 
Mungu si Chenge fisadi mkubwa pamoja na Sita. Kila katiba inapaswa iwe na misingi inayotoa mamlaka kwa umma. Katiba inayopendekezwa haina sifa hiyo ndio maana kila anayezungumzia uzuri wake ataimba CD iliyochakaa ya 'katiba inayojali makundi madogomadogo' bila kueleza inadai nini. Ibara nyang'anyi - clobber clauses ziko nyingi na hakuna anayeonekana kuzitupia macho.


Wala Mungu sio KApogoliso,TAnzania itaendelea kudumu hata bila wewe maana akili zako zimejaa uzandiki na unafiki, mchumiatumbo!unaongea mambo usiyoyajua yaani unatia hasira sana wewe umezaliwa TZ, umekulia hapa hapa na bado unabwata bwata kalale bhana pisha huko!
 
Utotole una tabia kama mzimu wewe hueleweki, huna sifa za kuendelea kuwa jamvini miaka uliyokaa humu hailingani na umbilikimo wako wa mawazo,ungekua mjanja wa kupambana kuliko kuomba uonewe huruma JF THIS TIME IKO SERIOUS NA NI MOTO ULAO KWA WAZEMBE KAMA WEWE WASIOTAKA KUFIKIRI, UMEKAA MUDA MREFU NDANI YA BOKSI, YOU NEED TO THING OUT OF THE BOX BHANA USIWE KIMEO!!! Na kwa jinsi mdahalo unavyoendelea lazima utie akili!

Sihitaji huruma yako. Jihurumie mwenyewe na ndugu zako kama nao wanahitaji huruma yako. Kumbe mko wengi mliokuja maalum kwa ajili ya ushabiki. Ni huyo ndugu yako ndiye aliyeanza kudai nimemhusisha na suala ambalo hahusiki nalo wakati amelidandia mwenyewe. Points za kipuuzi unazoandika hata katika masuala ya maana hazikufanyi uonekane active kwenye JF. Nakuchukulia kama mtoto mdogo ambaye ndio kwanza umeelekezwa namna ya kutumia mitandao ya kijamii, au kama si mtoto basi itabidi ujiulize ulikuwa wapi...na kwa yote hayo, na mengine pia sina sababu ya kubishana na wewe au ndugu zako wengine wawili waliotangulia. Najua pia kuna baadhi yenu mnatumia multiple IDs ili kufanya point yenu ionekane inaungwa mkono na wengi japo mnajirudiarudia wenyewe. huko ni sawa na kujilisha upepo, kupiga ngumi ukutani, kupaka rangi upepo au kutwanga maji kwenye kinu. Mkikua mtaacha.
 
Wala Mungu sio KApogoliso,TAnzania itaendelea kudumu hata bila wewe maana akili zako zimejaa uzandiki na unafiki, mchumiatumbo!unaongea mambo usiyoyajua yaani unatia hasira sana wewe umezaliwa TZ, umekulia hapa hapa na bado unabwata bwata kalale bhana pisha huko!
Argue don't shout!
 
UFO_ALIEN
wesioisoma katiba wako wenye kuikubali bila kujua wanakubali nini na pia wapo wenye kukataa bila kujua wanakataa nini.
Kuwa tu mkweli.
Na hawa ni tegemeo kubwa sana kwa watu wenye kutamani katiba iwe na vitu wanavyotaka.

Mimi kwa mfano katiba pendekezwa kutoweka kama utoaji wa haki ni msingi na tunu ya kuenzi nadhani ni makusudi na lengo lake ni kubakikisha hawa fuata upepo wanaendelea kuzaliwa na kupigia kura mambo wanyotaka wachache bila kuhoji.
Kutokuweka uwajibikaji au accountability kama tunu pia si bahati mbaya.
 
ufo_alien
wesioisoma katiba wako wenye kuikubali bila kujua wanakubali nini na pia wapo wenye kukataa bila kujua wanakataa nini.
Kuwa tu mkweli.
Na hawa ni tegemeo kubwa sana kwa watu wenye kutamani katiba iwe na vitu wanavyotaka.

Mimi kwa mfano katiba pendekezwa kutoweka kama utoaji wa haki ni msingi na tunu ya kuenzi nadhani ni makusudi na lengo lake ni kubakikisha hawa fuata upepo wanaendelea kuzaliwa na kupigia kura mambo wanyotaka wachache bila kuhoji.
Kutokuweka uwajibikaji au accountability kama tunu pia si bahati mbaya.

aiseee wewe umesoma chekechea au? Mbona unachokiongea hapo hakieleweki? Panga vizuri maneno yako usiwe kama yule aliyekimbia madarasa bhana, tumia ujuzi wako kupanga sentensi vizuri ili zilete maana nzuri sasa sentensi zako umeandika kama kijamaica bhana!!
 
Mjibu mbona umeduwaa kama mshumaa wa kanisani afu unasema argue don't shout? Au kakushinda kwa hoja?
"Wala Mungu sio KApogoliso,TAnzania itaendelea kudumu hata bila wewe maana akili zako zimejaa uzandiki na unafiki, mchumiatumbo!unaongea mambo usiyoyajua yaani unatia hasira sana wewe umezaliwa TZ, umekulia hapa hapa na bado unabwata bwata kalale bhana pisha huko!" Wewe hapo ulipo unaweza kumjibu nini mchangiaji ambaye kimsingi nimweupe pee. Ametumwa JF kutetea vitu hasivyovijua na wewe ndo mweupe zaidi maana hata unachoshabikia wala hukijui. Baada ya kujiondoa ufahamu umeamua kutumika kikamilifu. Endelea kujianika na weupe wako. Great thinkers do argue small minds shout, smallest minds like wanatumika kama toilet paper.
 
"Wala Mungu sio KApogoliso,TAnzania itaendelea kudumu hata bila wewe maana akili zako zimejaa uzandiki na unafiki, mchumiatumbo!unaongea mambo usiyoyajua yaani unatia hasira sana wewe umezaliwa TZ, umekulia hapa hapa na bado unabwata bwata kalale bhana pisha huko!" Wewe hapo ulipo unaweza kumjibu nini mchangiaji ambaye kimsingi nimweupe pee. Ametumwa JF kutetea vitu hasivyovijua na wewe ndo mweupe zaidi maana hata unachoshabikia wala hukijui. Baada ya kujiondoa ufahamu umeamua kutumika kikamilifu. Endelea kujianika na weupe wako. Great thinkers do argue small minds shout, smallest minds like wanatumika kama toilet paper.

KUMBE UMEJIJUA KUWA WE NI KANYABOYA KOPO LA CHOONI, jibu hoja acha kupanick.
 
aiseee wewe umesoma chekechea au? Mbona unachokiongea hapo hakieleweki? Panga vizuri maneno yako usiwe kama yule aliyekimbia madarasa bhana, tumia ujuzi wako kupanga sentensi vizuri ili zilete maana nzuri sasa sentensi zako umeandika kama kijamaica bhana!!
Okay.
Nataka katiba iseme tunu ya taifa letu ni utoaji wa haki ili kuleta amani.
Ni uwajibikaji na uzalendo.
 
Back
Top Bottom