The Red Pen
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 517
- 206
Hatuwezi kushiriki usaliti huu...Katiba inayopendekezwa haikubaliki hata kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unajitahidi kuipigia debe umepewa ngapi?Tumekwambia hatuitaki hivyo hatuba haja ya kuisoma!
hatuwezi kushiriki usaliti huu...katiba inayopendekezwa haikubaliki hata kidogo.
we we weeee punguza kunywa viroba ndio maana hauelewi!!!!
hatuwezi kushiriki usaliti huu...katiba inayopendekezwa haikubaliki hata kidogo.
mimi yangu ni ndiyo!!!!!!
We we weeee punguza kunywa viroba ndio maana hauelewi!!!!
wala usimshangae huyo naona anaweweseka tu mchana kweupeee.
Kwenye kila KURA kuna HAPANA na NDIYO.Pili ukiwa umeelimika basi utakubali katika kutokukubaliana.TOFAUTI zetu zipo hivyo hamna HAKI ya kumtukana MTANZANIA mwingine eti sababu ameamua kupiga KURA YA HAPANA.Ujue hizi ni HAKI za msingi za kila binadamu KUHESHIMIANA.
Sitakushangaa wala kukudharau eti sababu umepiga KURA YA NDIYO kwani kisheria ni HAKI yako ya msingi.Vivyo hivyo usinishangae au kunidhalilisha eti sababu nimeamua kupiga KURA YA HAPANA.
SASA KAMA UNALIJUA HILO KWANINI UWASHAWISHI WATANZANIA WENGINE WAPIGE KURA YA HAPANA WEWE NA WENZAKO? Basi utulie tuu kuliko kubwabwaja humu ndani kuhusu mchakato huu wa katiba.
sijamshawishi mtu na wala sitomshawishi mtu.atakaye shawishika bila kujua ameshawishika nini basi ni juu yake.kwa taarifa yako hakuna post yangu hata moja niliyomshawishi mtu,na ni haki yangu kupiga kura ya aina yoyote.wanaoshawishi watu wapige kura ya ndiyo ndiyo wanapaswa kuulizwa kwanini?
Sina muda ila mimi nimesema nitaipigia kura ya hapana,hiyo ndiyo post yangu.hivi ukisema sitaki kuisoma katiba pendekezwa sababu haina yale watanzania tuliyoyataka maneno haya yanakushawishi?
Usiwe basi unakurupuka tu na kutukana bila kujua hoja yangu ya msingi imeanzia wapi.
Wewe ndiyo unabwabwaja,mpumbavu kweli kweli,kama umesoma basi elimu yako imekusaidia kujua kusoma na kuandika tu.
Usipende kutafuta watu kwa matusi.unajua you are so and very stupid.
peleka upuuzi wako huko kwenu, sasa ukichifanya mwanzoni ni nini? Kama umekosa hoja osha vyombo kwenu hapo, nahc ubongo wako umetobolewa na mdudu chonga anaekula mahindi wewe, nanai anakurupuka humu kama sio wewe, mpumbavu mwenyewe. Kama huna hoja pia lala.
Nimekwambia rudi nyuma usome nilichoandika.Tatizo hamsomi post mkaelewa ila sababu mtu ana mawazo tofauti nawe basi unaanza kutukana.Hata nikiamua kushawishi mtu,bado huna haki ya kunitukana,mbona hatuwatukani wanaohamasisha watanzania wapige kura ya ndiyo?Kuwa mpole kaka umeonyesha ni kiwango gani cha UPUMBAVU ulionao.
Na samahani ninamawazo ya tofauti nawe,na ninaamini katika kukubaliana na kutokukubaliana kwenye hoja mbali mbali.
Ila kwa leo sina muda wa ku-argue na MPUMBAVU kama wewe.TOPIC:closed_2::wave:
WEWE NI BOGAZ NA NTAENDELEA KUKUPINGA WEWE MBOGO, HATA UKICLOSE LABDA UBADILI ID YAKO. ACHA USHUZI WAKO HUMU UNAJIFANYA UNAJUA KUMBE ANDAZIMLA JUZI, NANI KAKUTUKANA? Wewe hutukani unaposema mpumbavu? BASI KWA TAARIFA YAKO MPUMBAVU NI WEWE NA HAO WALIOKUTUMA HUKO.
:bange::bange::bange::bange::bange::bange:
sababu mdomo wako umejaa matusi,hivyo siwezi na nisingependa kubishana na mpumbavu ok.kuwa na maono tofauti juu ya kitu chochote hakimfanyi mtu mwingine kukashifu.siwezi kukukashfu sababu eti umeamua kusema 'ndiyo'sababu ni haki yako kisheri,na siwezi kukuforce usiisome sababu una haki zako kimsingi siwezi kukutukana wala kukulazimisha ukubaliane nami,basi vivyo hivyo huna haki absolutely huna haki ya kunitukana au kunidhalilisha utu wangu eti kwa sababu kura yangu ni hapana.
jifunze kukubaliana na watu usiokubaliana nao.topic:closed_2::closed_2:.
UKOMO WA AKILI YAKO KATIKA KUJIBU MAPIGO YANGU NDO UMEFIKIA HAPO KIAC SASA UNAAMUA KUWEKA KATUNI, SASA NIMEPROVE KUWA UMEEISHIWA HOJA KABISAAAA, BASI NAKUSHAURI FANYA SHUGHULI NYINGINE HII NI MASHINE NYINGINE KABISAA, UKIIONA IOGOPE KWNYENKUJIBU HOJA. MAJIBU YANGUYATAKUWA YANEKUELIMISHA VYA KUTOSHA. Pole sana kijana.
:bange::bange::bange::bange::bange::bange:
WEEE TINDO kama umeisoma na kushindwa kuielewa toa hoja humu jamvini tukusaidie usikalie kubwata lengo la jf ni kueleweshana hata kama tunapishana mwisho wa siku hoja yenye nguvuhojahoja ndio inaprevail
UKOMO WA AKILI YAKO KATIKA KUJIBU MAPIGO YANGU NDO UMEFIKIA HAPO KIAC SASA UNAAMUA KUWEKA KATUNI, SASA NIMEPROVE KUWA UMEEISHIWA HOJA KABISAAAA, BASI NAKUSHAURI FANYA SHUGHULI NYINGINE HII NI MASHINE NYINGINE KABISAA, UKIIONA IOGOPE KWNYENKUJIBU HOJA. MAJIBU YANGUYATAKUWA YANEKUELIMISHA VYA KUTOSHA. Pole sana kijana.