Watanzania uvivu wa kusoma mambo utatuponza,tusome katiba pendekezwa jamani.

Watanzania uvivu wa kusoma mambo utatuponza,tusome katiba pendekezwa jamani.

Hatuwezi kushiriki usaliti huu...Katiba inayopendekezwa haikubaliki hata kidogo.
 
We we weeee punguza kunywa viroba ndio maana hauelewi!!!!

Sababu mdomo wako umejaa MATUSI,hivyo siwezi na nisingependa kubishana na MPUMBAVU ok.Kuwa na maono tofauti juu ya kitu chochote hakimfanyi mtu mwingine kukashifu.Siwezi kukukashfu sababu eti umeamua kusema 'NDIYO'sababu ni HAKI yako kisheri,na siwezi kukuforce usiisome sababu una HAKI zako kimsingi siwezi kukutukana wala kukulazimisha ukubaliane nami,basi vivyo hivyo huna HAKI absolutely HUNA HAKI ya kunitukana au kunidhalilisha UTU wangu eti kwa sababu KURA YANGU ni HAPANA.

Jifunze kukubaliana na watu usiokubaliana nao.TOPIC:closed_2::closed_2:.
 
wala usimshangae huyo naona anaweweseka tu mchana kweupeee.

Kwenye kila KURA kuna HAPANA na NDIYO.Pili ukiwa umeelimika basi utakubali katika kutokukubaliana.TOFAUTI zetu zipo hivyo hamna HAKI ya kumtukana MTANZANIA mwingine eti sababu ameamua kupiga KURA YA HAPANA.Ujue hizi ni HAKI za msingi za kila binadamu KUHESHIMIANA.

Sitakushangaa wala kukudharau eti sababu umepiga KURA YA NDIYO kwani kisheria ni HAKI yako ya msingi.Vivyo hivyo usinishangae au kunidhalilisha eti sababu nimeamua kupiga KURA YA HAPANA.
 
Kwenye kila KURA kuna HAPANA na NDIYO.Pili ukiwa umeelimika basi utakubali katika kutokukubaliana.TOFAUTI zetu zipo hivyo hamna HAKI ya kumtukana MTANZANIA mwingine eti sababu ameamua kupiga KURA YA HAPANA.Ujue hizi ni HAKI za msingi za kila binadamu KUHESHIMIANA.

Sitakushangaa wala kukudharau eti sababu umepiga KURA YA NDIYO kwani kisheria ni HAKI yako ya msingi.Vivyo hivyo usinishangae au kunidhalilisha eti sababu nimeamua kupiga KURA YA HAPANA.

SASA KAMA UNALIJUA HILO KWANINI UWASHAWISHI WATANZANIA WENGINE WAPIGE KURA YA HAPANA WEWE NA WENZAKO? Basi utulie tuu kuliko kubwabwaja humu ndani kuhusu mchakato huu wa katiba.
 
SASA KAMA UNALIJUA HILO KWANINI UWASHAWISHI WATANZANIA WENGINE WAPIGE KURA YA HAPANA WEWE NA WENZAKO? Basi utulie tuu kuliko kubwabwaja humu ndani kuhusu mchakato huu wa katiba.

Sijamshawishi mtu na wala sitomshawishi mtu.Atakaye shawishika bila kujua ameshawishika nini basi ni juu yake.Kwa taarifa yako hakuna post yangu hata moja niliyomshawishi mtu,na ni HAKI yangu kupiga kura ya aina yoyote.Wanaoshawishi watu wapige kura ya ndiyo ndiyo wanapaswa kuulizwa kwanini?

Sina muda ila mimi nimesema nitaipigia KURA YA HAPANA,hiyo ndiyo post yangu.Hivi ukisema sitaki kuisoma Katiba Pendekezwa sababu haina yale Watanzania tuliyoyataka maneno haya yanakushawishi?

Usiwe basi unakurupuka tu na kutukana bila kujua hoja yangu ya msingi imeanzia wapi.

Wewe ndiyo unabwabwaja,MPUMBAVU kweli kweli,kama umesoma basi elimu yako imekusaidia kujua KUSOMA na KUANDIKA tu.

Usipende kutafuta watu kwa matusi.Unajua you are so and very STUPID.
 
sijamshawishi mtu na wala sitomshawishi mtu.atakaye shawishika bila kujua ameshawishika nini basi ni juu yake.kwa taarifa yako hakuna post yangu hata moja niliyomshawishi mtu,na ni haki yangu kupiga kura ya aina yoyote.wanaoshawishi watu wapige kura ya ndiyo ndiyo wanapaswa kuulizwa kwanini?

Sina muda ila mimi nimesema nitaipigia kura ya hapana,hiyo ndiyo post yangu.hivi ukisema sitaki kuisoma katiba pendekezwa sababu haina yale watanzania tuliyoyataka maneno haya yanakushawishi?

Usiwe basi unakurupuka tu na kutukana bila kujua hoja yangu ya msingi imeanzia wapi.

Wewe ndiyo unabwabwaja,mpumbavu kweli kweli,kama umesoma basi elimu yako imekusaidia kujua kusoma na kuandika tu.

Usipende kutafuta watu kwa matusi.unajua you are so and very stupid.

peleka upuuzi wako huko kwenu, sasa ukichifanya mwanzoni ni nini? Kama umekosa hoja osha vyombo kwenu hapo, nahc ubongo wako umetobolewa na mdudu chonga anaekula mahindi wewe, nanai anakurupuka humu kama sio wewe, mpumbavu mwenyewe. Kama huna hoja pia lala.
 
peleka upuuzi wako huko kwenu, sasa ukichifanya mwanzoni ni nini? Kama umekosa hoja osha vyombo kwenu hapo, nahc ubongo wako umetobolewa na mdudu chonga anaekula mahindi wewe, nanai anakurupuka humu kama sio wewe, mpumbavu mwenyewe. Kama huna hoja pia lala.

Nimekwambia rudi nyuma usome nilichoandika.Tatizo hamsomi post mkaelewa ila sababu mtu ana mawazo tofauti nawe basi unaanza kutukana.Hata nikiamua kushawishi mtu,bado huna haki ya kunitukana,mbona hatuwatukani wanaohamasisha watanzania wapige kura ya ndiyo?Kuwa mpole kaka umeonyesha ni kiwango gani cha UPUMBAVU ulionao.SIyo kwa sababu wewe ni UVCCM basi unadhani wote tunaakili kama za UVCCM.Ninamuonea hruma mwalimu wako aliyekufundisha na mzazi wako sababu wakiona maandiko yako wanalaani kwanini walikujua au kukuleta duniani,kwa maana thinking capacity yako is almost NEGATIVE.

Na samahani ninamawazo ya tofauti nawe,na ninaamini katika kukubaliana na kutokukubaliana kwenye hoja mbali mbali.

Ila kwa leo sina muda wa ku-argue na MPUMBAVU kama wewe.TOPIC:closed_2::wave:
 
Nimekwambia rudi nyuma usome nilichoandika.Tatizo hamsomi post mkaelewa ila sababu mtu ana mawazo tofauti nawe basi unaanza kutukana.Hata nikiamua kushawishi mtu,bado huna haki ya kunitukana,mbona hatuwatukani wanaohamasisha watanzania wapige kura ya ndiyo?Kuwa mpole kaka umeonyesha ni kiwango gani cha UPUMBAVU ulionao.

Na samahani ninamawazo ya tofauti nawe,na ninaamini katika kukubaliana na kutokukubaliana kwenye hoja mbali mbali.

Ila kwa leo sina muda wa ku-argue na MPUMBAVU kama wewe.TOPIC:closed_2::wave:

WEWE NI BOGAZ NA NTAENDELEA KUKUPINGA WEWE MBOGO, HATA UKICLOSE LABDA UBADILI ID YAKO. ACHA USHUZI WAKO HUMU UNAJIFANYA UNAJUA KUMBE ANDAZIMLA JUZI, NANI KAKUTUKANA? Wewe hutukani unaposema mpumbavu? BASI KWA TAARIFA YAKO MPUMBAVU NI WEWE NA HAO WALIOKUTUMA HUKO.
 
WEWE NI BOGAZ NA NTAENDELEA KUKUPINGA WEWE MBOGO, HATA UKICLOSE LABDA UBADILI ID YAKO. ACHA USHUZI WAKO HUMU UNAJIFANYA UNAJUA KUMBE ANDAZIMLA JUZI, NANI KAKUTUKANA? Wewe hutukani unaposema mpumbavu? BASI KWA TAARIFA YAKO MPUMBAVU NI WEWE NA HAO WALIOKUTUMA HUKO.


:bange::bange::bange::bange::bange::bange:
 
:bange::bange::bange::bange::bange::bange:

UKOMO WA AKILI YAKO KATIKA KUJIBU MAPIGO YANGU NDO UMEFIKIA HAPO KIAC SASA UNAAMUA KUWEKA KATUNI, SASA NIMEPROVE KUWA UMEEISHIWA HOJA KABISAAAA, BASI NAKUSHAURI FANYA SHUGHULI NYINGINE HII NI MASHINE NYINGINE KABISAA, UKIIONA IOGOPE KWNYENKUJIBU HOJA. MAJIBU YANGUYATAKUWA YANEKUELIMISHA VYA KUTOSHA. Pole sana kijana.
 
sababu mdomo wako umejaa matusi,hivyo siwezi na nisingependa kubishana na mpumbavu ok.kuwa na maono tofauti juu ya kitu chochote hakimfanyi mtu mwingine kukashifu.siwezi kukukashfu sababu eti umeamua kusema 'ndiyo'sababu ni haki yako kisheri,na siwezi kukuforce usiisome sababu una haki zako kimsingi siwezi kukutukana wala kukulazimisha ukubaliane nami,basi vivyo hivyo huna haki absolutely huna haki ya kunitukana au kunidhalilisha utu wangu eti kwa sababu kura yangu ni hapana.

jifunze kukubaliana na watu usiokubaliana nao.topic:closed_2::closed_2:.

bora umekiri umekiri mwenyewe kuzidiwa na hoja,ulidhani jf ni shamba la bibi unaingia na uyoga wako then unaanza kuuza ukafiri utapata support -never jipange upya matusi unayo mwenyewe ila ukianza na mimi namaliza mvivu wa kufikiri.
 
UKOMO WA AKILI YAKO KATIKA KUJIBU MAPIGO YANGU NDO UMEFIKIA HAPO KIAC SASA UNAAMUA KUWEKA KATUNI, SASA NIMEPROVE KUWA UMEEISHIWA HOJA KABISAAAA, BASI NAKUSHAURI FANYA SHUGHULI NYINGINE HII NI MASHINE NYINGINE KABISAA, UKIIONA IOGOPE KWNYENKUJIBU HOJA. MAJIBU YANGUYATAKUWA YANEKUELIMISHA VYA KUTOSHA. Pole sana kijana.



Ha ha ha ha ha afadhariumempa za usoo huyo na mishuzi yake anayoitoa humu na kuchafua forum safi sana.
 
WEEE TINDO kama umeisoma na kushindwa kuielewa toa hoja humu jamvini tukusaidie usikalie kubwata lengo la jf ni kueleweshana hata kama tunapishana mwisho wa siku hoja yenye nguvuhojahoja ndio inaprevail

Nimeisoma sana, na nimekuta tatizo la msingi la nchi yetu ni madaraka ya rais, na ukijaribu kuangalia sisi tuliokuwa tukitaka madaraka ya rais yapunguzwe, sasa ndio yamerudishwa tena sana. Nikuhakikishie huu udhaifu wa mfumo ambao unalalamikiwa na watu wote na wengi wanatumia kama sehemu ya kujifichia ni madaraka ya rais ikiwemo na kutokushitakiwa anapokuwa madarakani na hata atakapotoka. Kwa ujumla kitendo cha rais kuwa juu ya sheria ndio hapo huu ubovu wote wa mikataba ya siri, wizi usio na mipaka na kujifanyia watawala wapendavyo simply inatokana na madaraka ya rais aliyonayo. Laiti kama katiba hii ingetaka rais ashitakiwe aidha akiwa madarakani au akiwa ameondoka ni lazima hiki kinachoitwa udhaifu wa mfumo kingefikia mwisho ama kupungua na kuleta mabadiliko ya kweli ya kiutawala hapa nchini. Kingine muda wa wabunge kukaa madarakani umeondolewa na hili lilikuwa ni twakwa la msingi toka kwetu wananchi. Kingine viongozi kuweka pesa katika mabenki ya nje napo ni baadhi ya sehemu ambazo hata mtupige mabomu hatuwezi kukubali kwani tumeshaumwa na nyoka tukiona unyasi.... Hayo mazuri mliyoyaainisha nimesoma nimekuta yapo kinadharia zaidi ila hakuna uhalisia wa kiutekelezaji jambo mnasema zitatungwa sheria ili kukidhi hilo. Lakini nikuambie iwapo hayo madaraka ya rais yameongezwa zaidi hakuna uwezekano wa sheria zitakazotungwa chini kufanya kazi wakati moyo wa kutiii sheria ambayo ni taasisi ya urais iko juu ya sheria.

Unaposema nguvu ya hoja ndio inayoprevail inakuwa kama unanifanya mimi ni mjinga, hivi unataka kuniambia wakati wa BMK linaendelea ilikuwa ni nguvu ya hoja au wingi wa wabunge ndio ilikuwa hoja? Nilichokiona mimi wakati wa BMK kilichokuwa kinapita ni kile kinachoungwa mkono na wengi na sio ubora wa kile kinachoongelewa. Ukiangalia lile bunge lilikuwa na udhaifu wa kimuundo kwa kujaza wanasiasa tena wa chama kimoja na ukweli mchungu zaidi ya nusu ya wabunge walio wengi hawajui wajibu wao achilia mbali umuhimu wa katiba tena ya kitaifa. Sitaki kukutajia kwa majina kwani nitajaza nafasi hapa lakini kwenye bunge lilikuwa na wabunge 600+ waliokuwa wanajua nini maana ya katiba hawazidi 200 na karibu nusu ya hao ni waupinzani ambao walitoka kadiri muda ulivyokuwa unakwenda kutokana na kuona hatari ya ushabiki kwenye mambo ya msingi.

Kwa hiyo hicho kilichopendekezwa ndani ya katiba pendekezwa ni kama kupiga rangi nyumba kwa nje wakati ndani ni uozo mtupu. Yaani kwa maneno marahisi ilikuwa ni bora liende na sisi tulio wengi tushinde bila kujali hoja bali wingi hata kama wingi ulipatikana kwa njia ya hila. So hyo katiba pendekezwa ni substandard ya ile rasimu ya Warioba wakati tulitarajia kitu bora kuliko rasimu ya Warioba.
 
UKOMO WA AKILI YAKO KATIKA KUJIBU MAPIGO YANGU NDO UMEFIKIA HAPO KIAC SASA UNAAMUA KUWEKA KATUNI, SASA NIMEPROVE KUWA UMEEISHIWA HOJA KABISAAAA, BASI NAKUSHAURI FANYA SHUGHULI NYINGINE HII NI MASHINE NYINGINE KABISAA, UKIIONA IOGOPE KWNYENKUJIBU HOJA. MAJIBU YANGUYATAKUWA YANEKUELIMISHA VYA KUTOSHA. Pole sana kijana.

I am too senior to argue with a fool and a liitle boy like you.Sorry
 
Back
Top Bottom