Watanzania wa kwenye mitandao, ombeni msaada kwa Wakenya namna ya kupambana na mabeberu. Mnatia huruma

Watanzania wa kwenye mitandao, ombeni msaada kwa Wakenya namna ya kupambana na mabeberu. Mnatia huruma

. Sasa Beberu ameanza hapa ni mwendo wa mpera mpera mpaka wakubali katiba mpya na tume huru.
 
Hehehe yeye Kiswahili haitokuja hata siku moja akitumie, hata kwa salamu...ila nyie lazima mjitutumue kuongea lugha yake maana kwenu huko hata kiwanda cha sindano hamna, mnaagiza nje, yaani kila kitu iwe silaha ni za kwao, mifumo ya mawasiliano hata simu inayotumika ikulu vya kwao, mifumo ya usafiri hata mindege na madaladala vya kwao hamna chochote cha kwenu hivyo jeuri ya kutunisha misuli
hamuna.
Hata madini na gesi ni wao wanachuma, nyie mnapanda mihogo tu...

Na muandae sentensi zinazoeleweka wakati mtamjibu, msilipuke lipuke na kufyatuka....
Walipokuja kuwatawala mlikua mnaongea kizungu? Mbona mlielewana na mkatawaliwa....
Punguza fikra za kitumwa maana hizi hoja zako zinakuaibisha sasa
 
Walipokuja kuwatawala mlikua mnaongea kizungu? Mbona mlielewana na mkatawaliwa....
Punguza fikra za kitumwa maana hizi hoja zako zinakuaibisha sasa

Walikuja wakakuta mnaishi kama wanyama, enzi hizo hakukua na kitu kinachoitwa Tanzania, wao ndio walibuni na kuchora mipaka hadi leo hii unakenua meno na kujiita Mtanzania mzalendo huku ukijipiga kifua na kuwaambia wasiingilie nchi yako, hiyo hiyo nchi ambayo hukua nayo hata haukua na habari taifa linabuniwa vipi.
Kila kitu unachotuma kimebuniwa na wao, barabaraba, reli hata chupi unayovaa.....
 
Walikuja wakakuta mnaishi kama wanyama, enzi hizo hakukua na kitu kinachoitwa Tanzania, wao ndio walibuni na kuchora mipaka hadi leo hii unakenua meno na kujiita Mtanzania mzalendo huku ukijipiga kifua na kuwaambia wasiingilie nchi yako, hiyo hiyo nchi ambayo hukua nayo hata haukua na habari taifa linabuniwa vipi.
Kila kitu unachotuma kimebuniwa na wao, barabaraba, reli hata chupi unayovaa.....
Acha kurukaruka MK254
Nimekuuliza unavyokitukuza kizungu na kuona huwezi kupumua bila hiyo lugha hebu niambie wao walipokuja kutawala babu zako waliongea nao kizungu?
Kama sivyo jitathmini
 
I beleive democracy can exist and it is the best system.BUT this democracy that America and Europe are preaching is a load of bullshit.
Uganda wana puppet wao ndomâana wameikalia kimya,Tz puppet wao ni TAL ndomaana wanashupaza shingo...watafanya chochote ili subsaharan Africa isi Industrialize na kuendelea ili tuendelee kuwauzia raw materials at a cheap price.
ndomana Magufuli kahubiri viwanda wameharibu uchumi...kikwete aliyehubiri kilimo uchumi ulikuwa bwerere
Tatizo waafrika hata hatumjui adui yetu na mipango yake.
Adui wa kwanza ni IMF,WTO,WB,EU na CCP

Adui wa muafrica ni muafrica mwenyewe. Msisingizie watu wengine ndugu zangu maana kama Asia nao wangekuwa na mindset kama hizi bhasi hadi leo wote tungekuwa maskini
 
Mbona mikataba ya madini hatumwambii Beberu aichapishe kwa Kiswahili tunaishia kusaini 10% ya kwetu na 90% ni ya kwao?
Hatuwaambii waichape kwa kiswahili sababu tunaelewa kizungu.
Swala hapa ni huyu MK254 anayekitukuza kizungu na kudhani kizungu ndio oxygen kwamba waliokikosa wanakufa😅😅😅

Ila nina uhakika MK254 akipewa kazi ya kufanya kwa kizungu kwa usd10 000 leo na ya kufanya kwa kiswahili kwa usd 20 000 bado atachagua ya kiswahili. Hapo ndio unamjua mzandiki
 
Acha kurukaruka MK254
Nimekuuliza unavyokitukuza kizungu na kuona huwezi kupumua bila hiyo lugha hebu niambie wao walipokuja kutawala babu zako waliongea nao kizungu?
Kama sivyo jitathmini

Kwanza kizungu muhimu sana kwenye shughuli zangu maana hiki Kiswahili cha Mwarabu bado hakijajitosheleza, kina mapungufu ya maneno mengi licha ya kutohoa kutoka kote kote, hivyo bila Kizungu kazi zangu haziendi.
Lakini kwa kajamba wa Buza yeye anaweza akauza madafu siku iishe bila kutegemea Kingereza, huyo nitamuelewa akianza kujipa hizo mbinu huwa mnapenda kujiliwaza nazo eti Kingereza cha mkoloni.
Kwa wengine wote Kingereza muhimu sana, madini mnaandika mikataba kwa Kingereza na ndio maana mnapigwa.

Wazungu walikuja wakakuta mababu zako wanaongea Kisukuma, wakapambana na kuwajengea reli, barabara na kila aina ya miundo mbinu kisha wakawaambia wajiite Watanzania.
 
Kwanza kizungu muhimu sana kwenye shughuli zangu maana hiki Kiswahili cha Mwarabu bado hakijajitosheleza, kina mapungufu ya maneno mengi licha ya kutohoa kutoka kote kote, hivyo bila Kizungu kazi zangu haziendi.
Lakini kwa kajamba wa Buza yeye anaweza akauza madafu siku iishe bila kutegemea Kingereza, huyo nitamuelewa akianza kujipa hizo mbinu huwa mnapenda kujiliwaza nazo eti Kingereza cha mkoloni.
Kwa wengine wote Kingereza muhimu sana, madini mnaandika mikataba kwa Kingereza na ndio maana mnapigwa.

Wazungu walikuja wakakuta mababu zako wanaongea Kisukuma, wakapambana na kuwajengea reli, barabara na kila aina ya miundo mbinu kisha wakawaambia wajiite Watanzania.
Huna hoja kumbe🤔😥
 
Kawaida mabeberu na vyombo vyao kama CNN wakijikanganya na kuingia kwenye kumi na nane za Wakenya, huwa wanakiona cha moto na kutengua kauli zao. Naona Marekani wameanza shughuli dhidi ya Watz kwa kusindika kura kwenye uchaguzi uliopita, ila sasa mataga wanajibu bila mikakati.

Ombeni msaada kutoka kwa Wakenya wa kwenye mitandao muone itakavyowaka moto na ndani ya masaa machache Marekani watawaomba msamaha, ila mkiendelea wenyewe hivi mnajiabisha maana mtapuuzwa tu.

Poleni bandugu ila hiyo issue ya uchaguzi naona kama haitawatoka hivi hivi tu, japo nakosa kuwaelewa Marekani mbona hawajasema vya Uganda ambapo demokrasia imebakwa mchana kweupe.

2670892_59548241-158E-4D33-92EC-C088798C7252.jpeg



2671008_Screenshot_20210119-194346.jpg
Tanzania iombe msaada wakupambana na mabeberu kenya? kenya ipi? soma historia, Tanzania haijawahi kuchezewa na taifa lolote hapa duniani. sisi siyo wakenya wanaolamba miguu ya wazungu, si mna military base za marekani nairobi? tueleze ni za nini? we handle kenyans with care. kenya ni mali ya mzungu, wakenya wamebaki misukule tu, mpaka BBI ni mipango ya mabeberu kuvuna rasilimali za kenya kwa urahisi zaidi, poor kenyans
 
Kawaida mabeberu na vyombo vyao kama CNN wakijikanganya na kuingia kwenye kumi na nane za Wakenya, huwa wanakiona cha moto na kutengua kauli zao. Naona Marekani wameanza shughuli dhidi ya Watz kwa kusindika kura kwenye uchaguzi uliopita, ila sasa mataga wanajibu bila mikakati.

Ombeni msaada kutoka kwa Wakenya wa kwenye mitandao muone itakavyowaka moto na ndani ya masaa machache Marekani watawaomba msamaha, ila mkiendelea wenyewe hivi mnajiabisha maana mtapuuzwa tu.

Poleni bandugu ila hiyo issue ya uchaguzi naona kama haitawatoka hivi hivi tu, japo nakosa kuwaelewa Marekani mbona hawajasema vya Uganda ambapo demokrasia imebakwa mchana kweupe.

2670892_59548241-158E-4D33-92EC-C088798C7252.jpeg



2671008_Screenshot_20210119-194346.jpg
uzi wa kipuuz
 
Tanzania iombe msaada wakupambana na mabeberu kenya? kenya ipi? soma historia, Tanzania haijawahi kuchezewa na taifa lolote hapa duniani. sisi siyo wakenya wanaolamba miguu ya wazungu, si mna military base za marekani nairobi? tueleze ni za nini? we handle kenyans with care. kenya ni mali ya mzungu, wakenya wamebaki misukule tu, mpaka BBI ni mipango ya mabeberu kuvuna rasilimali za kenya kwa urahisi zaidi, poor kenyans

Kwa namna huwa mnatia aibu itabidi msaidiwe, hamjui kingereza, mnaishia kupuuzwa tu.....ooh mara vita vya Kagera, mara Comoros
 
Adui wa muafrica ni muafrica mwenyewe. Msisingizie watu wengine ndugu zangu maana kama Asia nao wangekuwa na mindset kama hizi bhasi hadi leo wote tungekuwa maskini
Umesema kweli.. lakini hawa viongozi wanaoikandamiza africa wengi wao ni puppets wa wazungu..wengi wao wanawekwa madarakan na wanapewa grants,Aids na Loans kuhakikisha wanatawaliwa...waziri wa malawi alishawahi kukiri baada ya kubanwa kuwa mojawapo ya masharti waliyopewa ili wapate loans ni kuua maghala ya vyakula na kumaliza surplus matokeo yake njaa ikatokea.
jiulize kwanini US na EU hawamcondemn Museven?
Hizi misaada usidhani tunapewa bure kwasababu wanatupenda...viongozi ndo wanajua prices zake
China walilijua hili ndomaana wakaondokana na hiyo circle wakaindustrialize wakaachana na western propaganda.
miongozo yakiuchumi kutoka IMF na WB imedesigniwa kutubakisha masikini(subsaharan africa na latin America).
hata mitaala tunayosoma imedesigniwa kutubakisha masikini.
Economies of scale is bullshit propaganda..wanataka tuendelee kuwa raw materials provider ili watuuzie finished products na tukitaka kuproduce tushindane nao wanatuwekea vikwazo na masharti kibao ili tufeli...jaribu kuexport goods ulaya utaelewa nachokisema..Hata ndizi tu utakuta ina masharti kibao wanayoitaka..Lengo kuu ni kureduce prices ya vitu tunavyowapa kama sio bure kabisa kama makinikia.
 
Acha kurukaruka MK254
Nimekuuliza unavyokitukuza kizungu na kuona huwezi kupumua bila hiyo lugha hebu niambie wao walipokuja kutawala babu zako waliongea nao kizungu?
Kama sivyo jitathmini
Wanaume wa Kenya wakiolewa na wazungu, ukoo mzima hufanya sherehe, kwa mwanaume wa Kenya kuolewa na mzungu ni kama amepata PhD. Kenya not yet Uhuru
 
Back
Top Bottom