Chee4
Member
- May 17, 2021
- 35
- 125
Watanzania kutoka maeneo mbalimbali wamefurahishwa na hatua ya Mhe. Rais wa Samia Suluhu Hassan, juu ya jitihada zake za kuhakikisha anainua uchumi wa Watanzania na akisisitiza suala la Katiba Mpya apewe muda kidogo.
Watanzania hao kutoka mikoa mbalimbali ikiwemo ya Arusha, Mwanza, Dar es Salaam, na Mbeya wamesema ni kweli Rais Samia anahitaji muda wa kutosha kuboresha uchumi wetu ambao umeshuka kutokana na Corona hiyo asisumbuliwe na porojo za Katiba Mpya na Mikutano ya hadhara.
Rais Samia akizungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari ambapo kuhusiana na suala la Katiba Mpya amesema[emoji116]
“Niombe sana kama mnavyosema nimeanza vizuri nipeni muda nisimamishe uchumi wa nchi, halafu tutashughulikia mingine iwe Katiba, na mikutano ya siasa.”
Hakika kwasasa Watanzania wanaelewa mahali gani ambapo Mhe. Rais Samia anawapeleka ili kuhakikisha maisha yao yanakuwa bora zaidi, na si kuanzisha michakato inayogharimu pesa nyingi na mwishowe Wakina Mbowe na wenzake wataishia kukimbia.
#KaziIendelee #Siku100ZaSuluhu
Watanzania hao kutoka mikoa mbalimbali ikiwemo ya Arusha, Mwanza, Dar es Salaam, na Mbeya wamesema ni kweli Rais Samia anahitaji muda wa kutosha kuboresha uchumi wetu ambao umeshuka kutokana na Corona hiyo asisumbuliwe na porojo za Katiba Mpya na Mikutano ya hadhara.
Rais Samia akizungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari ambapo kuhusiana na suala la Katiba Mpya amesema[emoji116]
“Niombe sana kama mnavyosema nimeanza vizuri nipeni muda nisimamishe uchumi wa nchi, halafu tutashughulikia mingine iwe Katiba, na mikutano ya siasa.”
Hakika kwasasa Watanzania wanaelewa mahali gani ambapo Mhe. Rais Samia anawapeleka ili kuhakikisha maisha yao yanakuwa bora zaidi, na si kuanzisha michakato inayogharimu pesa nyingi na mwishowe Wakina Mbowe na wenzake wataishia kukimbia.
#KaziIendelee #Siku100ZaSuluhu