kwan msumbiji hawapajui?Wamefanya vizuri sana kusaidia watu wenye shida ambao hawa kusababisha hayo matatizo.
si bora hao wenye asili ya kiarabu kuliko wewe usio kuwa na asili 😄Watz wenye asili ya kiarabu
Sio hivyo tu, linaweza kuwa hata baba yake halimjui 😄Hata wewe unaweza kuwa Mtanzania lakini asili yako Burundi kwani ukiwa mweusi ndiyo una haki ya kuwa Mtanzania nyie wakimbizi ndiyo mna fikra hizo.
Hawa ndio hao daima wenye kuchukia wenzao, ujuwe walikosa amani kwao, yani hawamjui hata baba yao nani 😄Watoto wa mitaani hawa wamezaliwa
Kwenye vilabu vya mapuya😀
Kuhamua ndiyo niniWanaukumbi.
Watanzania ambao wamejitolea michango yao na kuhamua kununua vyakula na madawa na misaada mingine kwa watu wa Palestina kama unavyoona hiyo picha wakiwa ndani ya Gaza bila kuogopa vita wakipika chakula na kugawa kwa watu wa Gaza ambao wanaishi kwenye mazingira magumu ya vita hasa watoto na wanawake.
Wangepigwa chapa hawa wengi wangeumbukaHata wewe unaweza kuwa Mtanzania lakini asili yako Burundi kwani ukiwa mweusi ndiyo una haki ya kuwa Mtanzania nyie wakimbizi ndiyo mna fikra hizo.
Kongo,sudan wapo peponi.Wamefanya vizuri sana kusaidia watu wenye shida ambao hawa kusababisha hayo matatizo.