DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Wanaukumbi.
Watanzania ambao wamejitolea michango yao na kuhamua kununua vyakula na madawa na misaada mingine kwa watu wa Palestina kama unavyoona hiyo picha wakiwa ndani ya Gaza bila kuogopa vita wakipika chakula na kugawa kwa watu wa Gaza ambao wanaishi kwenye mazingira magumu ya vita hasa watoto na wanawake.
Hayo majitu yasivyo na shukran yanaweza kuwatoa mhanga chap!
kwan msumbiji hawapajui?
Pata picha sasa Watanzania hao hao wangekua Israel.....Wanaukumbi.
Watanzania ambao wamejitolea michango yao na kuhamua kununua vyakula na madawa na misaada mingine kwa watu wa Palestina kama unavyoona hiyo picha wakiwa ndani ya Gaza bila kuogopa vita wakipika chakula na kugawa kwa watu wa Gaza ambao wanaishi kwenye mazingira magumu ya vita hasa watoto na wanawake.
Watz wenye asili ya kiarabu
Hahahahaha..na hao Palestine hawana huo muda wa kwenda congo au sudan kusaidia..Kongo,sudan wapo peponi.
Mtu mweusi ni shetan
Wahuni hao wamechungulia fursa, yaani nimeona hapa Dodoma gari ina stika eti save palestine hahaha yaani hao wanaangalia wapate maokoto na lazima watapiga mpunga kweli kweliWanaukumbi.
Watanzania ambao wamejitolea michango yao na kuhamua kununua vyakula na madawa na misaada mingine kwa watu wa Palestina kama unavyoona hiyo picha wakiwa ndani ya Gaza bila kuogopa vita wakipika chakula na kugawa kwa watu wa Gaza ambao wanaishi kwenye mazingira magumu ya vita hasa watoto na wanawake.
kwan msumbiji hawapajui?
Mmmh ur damn, fucking right no native bongo Landers on thet pic!Kuna watu watasema hawajaona mTanzania hata mmoja zaidi ya bendera ya Tanzania pekee.
Ndugu zako na nani?!Nusra ya Allah ipo karibu kwa ndugu zetu wapalestina
Naona kila Taifa, taasisi watu binafsi wanajifichia hapo kwenye wanawake wazee na watoto, hao mnaojifichia hapo na kutaka kupata kura za turufu za huruma waambieni wasiwafiche magaidi pamoja nao vinginevyo wataisha, wakumbuke vita havina macho, bomu sio risasi usema itamchagua mhusika tu.Wanaukumbi.
Watanzania ambao wamejitolea michango yao na kuhamua kununua vyakula na madawa na misaada mingine kwa watu wa Palestina kama unavyoona hiyo picha wakiwa ndani ya Gaza bila kuogopa vita wakipika chakula na kugawa kwa watu wa Gaza ambao wanaishi kwenye mazingira magumu ya vita hasa watoto na wanawake.
Wamefanya vizuri sana kusaidia watu wenye shida ambao hawa kusababisha hayo matatizo.
Ndio hapo sasa! Kutwa kujipendekeza kwa mwarabuMbona hawaendi Darfur ambako Janjaweed Arab Militias wanachoma hadi Mashamba ili Waafrika wafe njaa?
View attachment 3000672View attachment 3000667
Hao Waarabu wa Tanzania mbona hawaendi Darfur kuwalisha Waafrika wenzetu.
Ndugu zako na nani?!