Watanzania wako obsessed na Kenya kuliko kinyume chake!

Kuna ukweli hapo. Sikujua vice president wenu ni mwanamke. Niliona juzi kwa inauguration ya president wetu



Siyo kweli, nitajie bar yoyote ile Kenya (Nairobi) ambapo utakuta wanaangalia ITV au Azam, lkn ninaweza kukutajia hapa sasa bar zaidi ya tano za kwetu zinazoonyesha TV za Kenya na watu (Watz) wamekaa wanafwatilia, tena wanafwatilia klk hata wanavyofwatlia TV za TZ!
Watanzania wanajua hata majina ya Watangazaji wa TV za Kenya lkn hkn Mkenya anayejua jina la Mtangazaji wa TZ hata mmoja!
 
Ulikua wafanya wapi ndugu.
 
Nimekuambia wewe ni mjinga sana, hivi kwasababu Bar unazozijua wewe zinatazama program za Kenya ndiyo unasema watanzania wanafuatilia TV za Kenya?, pili wewe akili yako haina akili, nimekuambia TV stations za Kenya zinarusha habari za Tanzania zaidi kuliko TV stations za Tanzania zinavyorusha habari za Tanzania, kujua kwamba wewe ni mjinga tena huna unalojua, TV nyingi za Kenya program zao zinarushwa kwa kiingereza, utasemaje watanzania wengi wanafuatilia wakati kiingereza ni tatizo?, huijui Kenya vizuri, huwa unaenda tu kumfuata basha wako usituzingue.
 


Siyo kweli, kwanza ni kinyume chakle, TV za TZ hata zina Habari za AM lkn Kenya wala Uganda hakuna huwo ujinda!
 
Siyo kweli, kwanza ni kinyume chakle, TV za TZ hata zina Habari za AM lkn Kenya wala Uganda hakuna huwo ujinda!
Ndiyo nimekuambia kwamba, huyo bwana uliyempata huko Kenya, asikufanye uchanganyikiwe, mimi Kenya nimekaa miaka sita Nairobi, wewe wa kwenda na kutoka unazuzuka na kuzungumza uonga humu ndani, nenda ukae japo mwaka mmoja ufuatilie vipindi vyao vya TV ndiyo utajua, sio unakaa wiki moja unarudi, huwezi pata picha halisi
 


Siwezi kukaa zaidi ya miezi 6 nchi za watu wengine, nina kwetu TZ, nimezaliwa, kukulia na nitafia hapa!
 
Siwezi kukaa zaidi ya miezi 6 nchi za watu wengine, nina kwetu TZ, nimezaliwa, kukulia na nitafia hapa!
Sasa uache kuzungumzia mambo usiyoyajua kwa undani, hata hao wakenya.wanakushangaa humu ndani
 
Hakuna hata moja nililolisema ambalo siyo la kweli kama lipo lihtaje hapa!
Huna lolote unalojua, tafuta kazi ufanye itakayokuongezea kipato, hali ya maisha imebadilika, watu kama wewe sio rahisi kuendana na kasi ya Magufuli, utabaki kupandwa na hasira tu hadi uingie kaburini
 
Hebu weka link yyote ya Mtz,akifatilia mkenya kwenye media na kumsifia,mfano,kenya wanapenda kusikiliza mziki,kuangalia filamu za kitanzania kuliko zao,wanafuatilia celebrities wa TZ sana.hakuna mkenya asiyemjua Diamond, Rayvanny,marehemu kanumba au Darasa.acha ufala,Mimi nimeishi kenya more than Ten years, naijua vizuri sana.
Media za kenya zinaongoza kusifia hata uzuri wa wanawake wa kitanzania mfano huu hapa weka link hata mmoja kutoka TZ inayosifia kenya kwa lolote.
 
Kwani wanamuziki sio watanzania we mzee? Angalia u-tube video za bongo zilivyojaa comment za wakenya, lakini ni ngumu kukuta comment za wabongo kwenye nyimbo za wakenya
 
Mtanzania ambaye ameishi kenya utajua tu, huyo barbarosa inaonekana ameishi Kenya manake umetoa right description/observation ya wakenya. Most Kenyans are ignorant about Tz
 
Kwahiyo ndio kilichokuuma?
 
Kumbe huna akili
 
Labda mwenzetu unajua mpaka viongozi wa serikali za mtaa huko Kenya, mi namjua Kenyata tu na Odinga,kiongozi mtawala na mpinzani, vyama vyao sijui vinaitwaje. Sasa anaegive shit ni wewe sio Watanzania wote. Bye!
 
Kama mnafikiri huo mnaouita urafiki na Wakenya una usawa wowote kwa nini hkn Mkenya amefika kumsalimia Tundu Lisu wenu hospitalini? Ingawaje mmejipendekeza kumkimbizia huko hata mkaenda kuhojiwa kwenye TV zao na kuitukana nchi yangu?
Issue ya Tundu Lisu ni nyeti sio ya kufananisha fananisha. Hawakujipendekeza ila walijali usalama, hawawezi mwamini yeyote tu akamsalimie Lisu eti kisa ni mkenya.
 
Issue ya Tundu Lisu ni nyeti sio ya kufananisha fananisha. Hawakujipendekeza ila walijali usalama, hawawezi mwamini yeyote tu akamsalimie Lisu eti kisa ni mkenya.


Ni lini Mkenya alikimbizwa TZ yetu kuja kutibiwa kwa kuwa ,,walihofia usalama wake?" kama mlivyofanya kwa Tundu Lisu? Hilo peke yake inaonyesha jinsi mnavyowababaikia Wakenya na na pia mna inferiority complex kwamba hamuamini Mdakatari wenu wenyewe!
 
You Tube Trending in Kenya, hivi Aslay sio mtanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…