Bitter pill
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 917
- 781
Wakenya waliokimbia kuja TZ mwaka 2007,ulikuwa nn?Ni lini Mkenya alikimbizwa TZ yetu kuja kutibiwa kwa kuwa ,,walihofia usalama wake?" kama mlivyofanya kwa Tundu Lisu? Hilo peke yake inaonyesha jinsi mnavyowababaikia Wakenya na na pia mna inferiority complex kwamba hamuamini Mdakatari wenu wenyewe!
Hakuna aliepigwa risasi Kenya ndo maana bado hajaletwa TanzaniaNi lini Mkenya alikimbizwa TZ yetu kuja kutibiwa kwa kuwa ,,walihofia usalama wake?" kama mlivyofanya kwa Tundu Lisu? Hilo peke yake inaonyesha jinsi mnavyowababaikia Wakenya na na pia mna inferiority complex kwamba hamuamini Mdakatari wenu wenyewe!
Hao waliokimbilia 2007,walikuja kwa sababu gani k**makoNitajie Kiongozi mmoja wa Kenya aliyekuja kutibiwa TZ yetu kama nyie mlivyompeleka Tundu Lisu kwao, shame on you!
Fanya quick survey kuanzia August mara ngapi Tanzania na Magufuli ameandikwa hata kwenye mambo yanayohusu Kenya. Yaani Uchaguzi wao. [emoji23] [emoji115]
Asante kwa kukuona hiloNimefika Kenya mara nyingi lakini ukiondoa Raisi wa Tanzania hakuna kiongozi wa Tanzania ambaye Mkenya wa kawaida anamfahamu achilia mbali hata kumsikia!
Lakini hapa Bongo tuko obsessed na Kenya, tunajua na kufuatilia kila kitu, mpaka tunachukuwa upande wa vyama vyao vya Kisiasa, Kenya wanaijua CCM tu lakini Tanzania tunajua na kufuatilitilia kila chama cha siasa cha Kenya na viongozi wake, hata hapa JF tumeweka jukwaa maalumu kwa ajili ya Kenya na wachangiaji wakubwa ni watanzania, Kenya hili lisingewezekana, kwanza Mkenya wa kawaida anamdharau Mtanzania!
Ujumbe wangu ni upi? Tunawababaikia wakenya tukubali au tukatae, hakuna Mkenya anayejua TV ya Tanzania lakini watanzania wote wanajua TV za Kenya!
Kuna Watanzania hata wanasoma Magazeti ya Kenya lakini hakuna gazeti la Tanzania linaloweza kuuzwa Kenya na kununuliwa.
Mfano hai Tundu Lisu kakimbizwa Kenya hakuna Mkenya ambaye angeweza kukimbizwa Tanzania, CHADEMA wako obsessed na Rais Uhuru Kenyatta na chama chake lakini nina uhakika wanachama wa chama cha Uhuru Kenya hawajawahi hata kuisikia CHADEMA, achilia mbali hata tu kujua kama kuna mtu anaitwa Mbowe!
Tundu Lissu kalazwa Kenya lakini hakuna hata high ranking official mmoja wa Chama cha Uhuru Kenya aliyefika kumuona, kwa kifupi wakenya don’t give a shit about you, acheni kujipendekeza....
Jua maana ya neno obsession kabla ya kutoa urojo wako! Suala la Kina Ole Lenku kung'ang'ania kuingiza mifugo Tanzania ni kielelezo cha obsession tosha toka Kenya.Nimelielezea hilo, ukiondoa raisi Magufuli, na maraisi wastaafu kama Kikwete na Mkapa, hakuna mwingine ambaye binafsi nimesikia akiongelewa nilipokuwa huko Kenya, lkn sisi hapa kwetu tunaongelea na kujadili karibia kila kitu cha Kenya!
Uliza wabongo mtaani kama wanawafaham zaidi ya Uhuru na OdingaNimelielezea hilo, ukiondoa raisi Magufuli, na maraisi wastaafu kama Kikwete na Mkapa, hakuna mwingine ambaye binafsi nimesikia akiongelewa nilipokuwa huko Kenya, lkn sisi hapa kwetu tunaongelea na kujadili karibia kila kitu cha Kenya!
Iko hivi- sometimes you need to swallow your pride. Ndo maana waTz ni wazuri kama mioyo yetu ilivyo, Kenya sura ngumu sababu ya lifestyle yao.Nitajie Kiongozi mmoja wa Kenya aliyekuja kutibiwa TZ yetu kama nyie mlivyompeleka Tundu Lisu kwao, shame on you!
Muulize Odinga, alipokuwa anakimbizwa na Moi alikimbilia wapi?Nitajie Kiongozi mmoja wa Kenya aliyekuja kutibiwa TZ yetu kama nyie mlivyompeleka Tundu Lisu kwao, shame on you!
Wewe ndio unawafahamu, mimi simjui hata mmoja. Ila waulize wao kuhusu wasanii wa bongo, wanamjua hadi MatonyaWanawafahamu mpaka watangazaji wa TV!