Watanzania Waliamini Chini ya Rais Samia Tanzania inatang'aa lakini wamevunjika moyo

Watanzania Waliamini Chini ya Rais Samia Tanzania inatang'aa lakini wamevunjika moyo

Kwa taarifa tu ndugu najua una utapiamlo wa upinzani ,hakuna awamu ambayo watu wanafuraha na serikali yao kama sasa! Ni wewe tu ndie hujui siasa za nchi yetu
 
Mimi Samia nilikuwa na imani nae kinoma hadi watu walifikiri nimerudi CCM lakini alipoipakaa TUME Mkorogo wa Kalolaiti na kuiita TUME HURU nikasema bora Kikwete na Awamu ya nne kulikuwa Demokrasia.

Ni Raisi wa Hovyo ila alianza vizuri bila hata Mabango wala Chawa lakini ghafla Mabango Nchi nzima Machawa nayo bwelelee yanakula tu fedha zetu za kodi.

Na anapanga kuiba Uchaguzi kama kawa.
 
We chapa tu kazi Kwa malengo kuwa na nidhamu na fedha yako, zitakuja tawala tofauti tofauti utakula kuku Kwa mrija tu. Wanaosubiri tawala Fulani itakuja kutukomboa wakati nchi yako inadaiwa zaidi 75 trillion watasubiri sana
 
Ni kawaida na Maadili ya Binadamu wote duniani kuamini Penye Mama hapakosi neno.

Hata ktk ngazi ya Familia ukirudi nyumbani ukamkuta Baba na aliyerudi nyumbani akamkuta Mama basi Rewards zinakuwa tofauti

Hii ni kutokana kwamba Mama anaupendo kwa wanawe ule wa Asili, Agape Love.

Hata Mwana akikokosea vipi bado Mama humbembeleza na kumuonya ili arudi kwenye mstari.

Basi baada ya yale yaliyotukumba March 2021 na baadae akaingia Madarakani Mwanamke tuliyeamini ni shupavu na Watanzania wote wakajawa na Matumaini kwamba huenda mambo yakawa bam bam.

Cha ajabu watanzania wamekuja kushtuka kuwa ni bussnes as usual.

Wengine wanasema maswala ya Uchumi, umeme, mfumuko wa bei za bidhaa, Ukiukwaji wa Utawala wa sheria na haki yoote haya yaliwashinda akina Mkapa, Kikwete na Dr Magufuli. Je, Samia ataweza?

Ukichunguza dhahama hizi zinazotupata hakuna Mbunge hata Mmoja amesikika Bungeni kututetea sisi wananchi.

Tunajiuliza hivi hii Tanzania inaongozwa na Watanzania kweli mbona hawana uzalendo?

CCM mmekwama wapi?
Wanangaa wale matajiri wezi na wauza nganda

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
We chapa tu kazi Kwa malengo kuwa na nidhamu na fedha yako, zitakuja tawala tofauti tofauti utakula kuku Kwa mrija tu. Wanaosubiri tawala Fulani itakuja kutukomboa wakati nchi yako inadaiwa zaidi 75 trillion watasubiri sana
Kwanini hivyo Mkuu?
 
Mimi Samia nilikuwa na imani nae kinoma hadi watu walifikiri nimerudi CCM lakini alipoipakaa TUME Mkorogo wa Kalolaiti na kuiita TUME HURU nikasema bora Kikwete na Awamu ya nne kulikuwa Demokrasia.

Ni Raisi wa Hovyo ila alianza vizuri bila hata Mabango wala Chawa lakini ghafla Mabango Nchi nzima Machawa nayo bwelelee yanakula tu fedha zetu za kodi.

Na anapanga kuiba Uchaguzi kama kawa.
Kuhusu kuiba Uchaguzi amejipanga kweli kweli
 
Kwa taarifa tu ndugu najua una utapiamlo wa upinzani ,hakuna awamu ambayo watu wanafuraha na serikali yao kama sasa! Ni wewe tu ndie hujui siasa za nchi yetu
Umeongea nini hapa? Jibu hoja hata moja tu utakuwa wamaana
 
Ni kawaida na Maadili ya Binadamu wote duniani kuamini Penye Mama hapakosi neno.

Hata ktk ngazi ya Familia ukirudi nyumbani ukamkuta Baba na aliyerudi nyumbani akamkuta Mama basi Rewards zinakuwa tofauti

Hii ni kutokana kwamba Mama anaupendo kwa wanawe ule wa Asili, Agape Love.

Hata Mwana akikokosea vipi bado Mama humbembeleza na kumuonya ili arudi kwenye mstari.

Basi baada ya yale yaliyotukumba March 2021 na baadae akaingia Madarakani Mwanamke tuliyeamini ni shupavu na Watanzania wote wakajawa na Matumaini kwamba huenda mambo yakawa bam bam.

Cha ajabu watanzania wamekuja kushtuka kuwa ni bussnes as usual.

Wengine wanasema maswala ya Uchumi, umeme, mfumuko wa bei za bidhaa, Ukiukwaji wa Utawala wa sheria na haki yoote haya yaliwashinda akina Mkapa, Kikwete na Dr Magufuli. Je, Samia ataweza?

Ukichunguza dhahama hizi zinazotupata hakuna Mbunge hata Mmoja amesikika Bungeni kututetea sisi wananchi.

Tunajiuliza hivi hii Tanzania inaongozwa na Watanzania kweli mbona hawana uzalendo?

CCM mmekwama wapi?
Wewe kama umevunjika usiwasemew na wengine.

Endelea kuandamana
 
Back
Top Bottom