Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #21
HahaaTanzania kwishney. Umeme Haruna, maji Haruna, barabara mbovu, rushes balaaa na majungu viongzi kwa viongozi (kundi la la unaupiga mwingi) na waterfall kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaTanzania kwishney. Umeme Haruna, maji Haruna, barabara mbovu, rushes balaaa na majungu viongzi kwa viongozi (kundi la la unaupiga mwingi) na waterfall kazi
Ni chama gani hao watu, na sifa ya hiko chama ni ipiProf Mwandosya, Dr Nchimbi, Prof Muhongo, Prof Bi hela ya mboga, Ohd kibao humo
hivi mnataka mama awawekee fedha mifukoni mwenu?Niliwahi kuuliza, nani anaelewa mama anakotupeleka, niliishia kutukanwa.
Nyimbo za mama anaupiga mwingi zikachukua nafasi kila kona.
Sasa ninafikiri tunaelewana.
Hakika. ccm itakapo mpitisha mgombea asiyekubalika kabisa na wananchi isipokuwa machawa.2025 itakua yamoto sana.
Rangi zote zitaonekana hapo 2025 majibu yote yatapatikana
Wanangaa wale matajiri wezi na wauza ngandaNi kawaida na Maadili ya Binadamu wote duniani kuamini Penye Mama hapakosi neno.
Hata ktk ngazi ya Familia ukirudi nyumbani ukamkuta Baba na aliyerudi nyumbani akamkuta Mama basi Rewards zinakuwa tofauti
Hii ni kutokana kwamba Mama anaupendo kwa wanawe ule wa Asili, Agape Love.
Hata Mwana akikokosea vipi bado Mama humbembeleza na kumuonya ili arudi kwenye mstari.
Basi baada ya yale yaliyotukumba March 2021 na baadae akaingia Madarakani Mwanamke tuliyeamini ni shupavu na Watanzania wote wakajawa na Matumaini kwamba huenda mambo yakawa bam bam.
Cha ajabu watanzania wamekuja kushtuka kuwa ni bussnes as usual.
Wengine wanasema maswala ya Uchumi, umeme, mfumuko wa bei za bidhaa, Ukiukwaji wa Utawala wa sheria na haki yoote haya yaliwashinda akina Mkapa, Kikwete na Dr Magufuli. Je, Samia ataweza?
Ukichunguza dhahama hizi zinazotupata hakuna Mbunge hata Mmoja amesikika Bungeni kututetea sisi wananchi.
Tunajiuliza hivi hii Tanzania inaongozwa na Watanzania kweli mbona hawana uzalendo?
CCM mmekwama wapi?
Hafiki 2030?Malalamiko yenu yamesikiwa. Subirini mama amalizie kiporo cha Magu awaachie tanganyika yenu.
Na mimi nahisi kosa lilianzia hapaAlikosea Sana kuwarudisha baadhi ya viongozi.
Kwanini hivyo Mkuu?We chapa tu kazi Kwa malengo kuwa na nidhamu na fedha yako, zitakuja tawala tofauti tofauti utakula kuku Kwa mrija tu. Wanaosubiri tawala Fulani itakuja kutukomboa wakati nchi yako inadaiwa zaidi 75 trillion watasubiri sana
Kuhusu kuiba Uchaguzi amejipanga kweli kweliMimi Samia nilikuwa na imani nae kinoma hadi watu walifikiri nimerudi CCM lakini alipoipakaa TUME Mkorogo wa Kalolaiti na kuiita TUME HURU nikasema bora Kikwete na Awamu ya nne kulikuwa Demokrasia.
Ni Raisi wa Hovyo ila alianza vizuri bila hata Mabango wala Chawa lakini ghafla Mabango Nchi nzima Machawa nayo bwelelee yanakula tu fedha zetu za kodi.
Na anapanga kuiba Uchaguzi kama kawa.
Umeongea nini hapa? Jibu hoja hata moja tu utakuwa wamaanaKwa taarifa tu ndugu najua una utapiamlo wa upinzani ,hakuna awamu ambayo watu wanafuraha na serikali yao kama sasa! Ni wewe tu ndie hujui siasa za nchi yetu
Kuna mtu kakuomba pesa?hivi mnataka mama awawekee fedha mifukoni mwenu?
Wewe kama umevunjika usiwasemew na wengine.Ni kawaida na Maadili ya Binadamu wote duniani kuamini Penye Mama hapakosi neno.
Hata ktk ngazi ya Familia ukirudi nyumbani ukamkuta Baba na aliyerudi nyumbani akamkuta Mama basi Rewards zinakuwa tofauti
Hii ni kutokana kwamba Mama anaupendo kwa wanawe ule wa Asili, Agape Love.
Hata Mwana akikokosea vipi bado Mama humbembeleza na kumuonya ili arudi kwenye mstari.
Basi baada ya yale yaliyotukumba March 2021 na baadae akaingia Madarakani Mwanamke tuliyeamini ni shupavu na Watanzania wote wakajawa na Matumaini kwamba huenda mambo yakawa bam bam.
Cha ajabu watanzania wamekuja kushtuka kuwa ni bussnes as usual.
Wengine wanasema maswala ya Uchumi, umeme, mfumuko wa bei za bidhaa, Ukiukwaji wa Utawala wa sheria na haki yoote haya yaliwashinda akina Mkapa, Kikwete na Dr Magufuli. Je, Samia ataweza?
Ukichunguza dhahama hizi zinazotupata hakuna Mbunge hata Mmoja amesikika Bungeni kututetea sisi wananchi.
Tunajiuliza hivi hii Tanzania inaongozwa na Watanzania kweli mbona hawana uzalendo?
CCM mmekwama wapi?
Anajiaibisha tu na hata huyo Kamala Harris atamdharau.Kuhusu kuiba Uchaguzi amejipanga kweli kweli