Watanzania Waliamini Chini ya Rais Samia Tanzania inatang'aa lakini wamevunjika moyo

Watanzania Waliamini Chini ya Rais Samia Tanzania inatang'aa lakini wamevunjika moyo

Ni kawaida na Maadili ya Binadamu wote duniani kuamini Penye Mama hapakosi neno.

Hata ktk ngazi ya Familia ukirudi nyumbani ukamkuta Baba na aliyerudi nyumbani akamkuta Mama basi Rewards zinakuwa tofauti

Hii ni kutokana kwamba Mama anaupendo kwa wanawe ule wa Asili, Agape Love.

Hata Mwana akikokosea vipi bado Mama humbembeleza na kumuonya ili arudi kwenye mstari.

Basi baada ya yale yaliyotukumba March 2021 na baadae akaingia Madarakani Mwanamke tuliyeamini ni shupavu na Watanzania wote wakajawa na Matumaini kwamba huenda mambo yakawa bam bam.

Cha ajabu watanzania wamekuja kushtuka kuwa ni bussnes as usual.

Wengine wanasema maswala ya Uchumi, umeme, mfumuko wa bei za bidhaa, Ukiukwaji wa Utawala wa sheria na haki yoote haya yaliwashinda akina Mkapa, Kikwete na Dr Magufuli. Je, Samia ataweza?

Ukichunguza dhahama hizi zinazotupata hakuna Mbunge hata Mmoja amesikika Bungeni kututetea sisi wananchi.

Tunajiuliza hivi hii Tanzania inaongozwa na Watanzania kweli mbona hawana uzalendo?

CCM mmekwama wapi?
Ulitafiti Watanzania wangapi Ili kuandika, ulotoandika?
 
Upendo wa mama ndiyo udhaifu wake.
Mama angekua katili na kusema kila mtu ajibebe tungemlaani

Lakini katudekeza sasa tunaanza mazarau

Amebeba misalaba mingi sana ya sisi wengine hata kazi hatutaki kufanya
 
Mama angekua katili na kusema kila mtu ajibebe tungemlaani

Lakini katudekeza sasa tunaanza mazarau

Amebeba misalaba mingi sana ya sisi wengine hata kazi hatutaki kufanya
Nani hataki kufanya kazi? Anakula wapi?
 
Mm nampongeza kwa sababu hakujiandaa na hili pia ni mama yetu.Ombi langu ni mama yetu apumzike asije gombea tena aje atulee wanae.
 
Nani hataki kufanya kazi? Anakula wapi?
Watanzania sisi ni wavivu sana

Ndio maana magu alikua anatuchana live tu

Hata maofisini most of time tuko na non-official issues

Na walalamishi, ndio wavivu wakuu
 
Ni kawaida na Maadili ya Binadamu wote duniani kuamini Penye Mama hapakosi neno.

Hata ktk ngazi ya Familia ukirudi nyumbani ukamkuta Baba na aliyerudi nyumbani akamkuta Mama basi Rewards zinakuwa tofauti

Hii ni kutokana kwamba Mama anaupendo kwa wanawe ule wa Asili, Agape Love.

Hata Mwana akikokosea vipi bado Mama humbembeleza na kumuonya ili arudi kwenye mstari.

Basi baada ya yale yaliyotukumba March 2021 na baadae akaingia Madarakani Mwanamke tuliyeamini ni shupavu na Watanzania wote wakajawa na Matumaini kwamba huenda mambo yakawa bam bam.

Cha ajabu watanzania wamekuja kushtuka kuwa ni bussnes as usual.

Wengine wanasema maswala ya Uchumi, umeme, mfumuko wa bei za bidhaa, Ukiukwaji wa Utawala wa sheria na haki yoote haya yaliwashinda akina Mkapa, Kikwete na Dr Magufuli. Je, Samia ataweza?

Ukichunguza dhahama hizi zinazotupata hakuna Mbunge hata Mmoja amesikika Bungeni kututetea sisi wananchi.

Tunajiuliza hivi hii Tanzania inaongozwa na Watanzania kweli mbona hawana uzalendo?

CCM mmekwama wapi?
GIZA NENE LIMETANDA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Serikali sio kikundi cha akina mama wajane kufarijiana na kupeana moyo. Serikali ni jeshi linaendeshwa kiofisi. Ukicha na fisi watamaliza zizi la kondoo.

Kipindi magufuli anadeal na hawa waharibifu mkawa mnamuona kama mzee ana unoko mwingi na anaroho mbaya ila mkasahau kuwa kumuua nyani hutakiwi kumtazama usoni.

Serikalini sip sehemu ya kuchekeana, kuvumiliana, kuoneana aibu au kukingiana kifua maana hasara yake taifa zima litawajibika kuilipa.

Hii ndio faida ya kuongozwa kimama mama. Kubabake na bado.
 
Back
Top Bottom