Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
-
- #61
Sasa unatufariji au unatunanga?Serikali sio kikundi cha akina mama wajane kufarijiana na kupeana moyo. Serikali ni jeshi linaendeshwa kiofisi. Ukicha na fisi watamaliza zizi la kondoo.
Kipindi magufuli anadeal na hawa waharibifu mkawa mnamuona kama mzee ana unoko mwingi na anaroho mbaya ila mkasahau kuwa kumuua nyani hutakiwi kumtazama usoni.
Serikalini sip sehemu ya kuchekeana, kuvumiliana, kuoneana aibu au kukingiana kifua maana hasara yake taifa zima litawajibika kuilipa.
Hii ndio faida ya kuongozwa kimama mama. Kubabake na bado.
Kazi nzuri ya Dk.Samia bila Makelele 👇👇Ni kawaida na Maadili ya Binadamu wote duniani kuamini Penye Mama hapakosi neno.
Hata ktk ngazi ya Familia ukirudi nyumbani ukamkuta Baba na aliyerudi nyumbani akamkuta Mama basi Rewards zinakuwa tofauti
Hii ni kutokana kwamba Mama anaupendo kwa wanawe ule wa Asili, Agape Love.
Hata Mwana akikokosea vipi bado Mama humbembeleza na kumuonya ili arudi kwenye mstari.
Basi baada ya yale yaliyotukumba March 2021 na baadae akaingia Madarakani Mwanamke tuliyeamini ni shupavu na Watanzania wote wakajawa na Matumaini kwamba huenda mambo yakawa bam bam.
Cha ajabu watanzania wamekuja kushtuka kuwa ni bussnes as usual.
Wengine wanasema maswala ya Uchumi, umeme, mfumuko wa bei za bidhaa, Ukiukwaji wa Utawala wa sheria na haki yoote haya yaliwashinda akina Mkapa, Kikwete na Dr Magufuli. Je, Samia ataweza?
Ukichunguza dhahama hizi zinazotupata hakuna Mbunge hata Mmoja amesikika Bungeni kututetea sisi wananchi.
Tunajiuliza hivi hii Tanzania inaongozwa na Watanzania kweli mbona hawana uzalendo?
CCM mmekwama wapi?
Raisi anapimwa kwa uwezo wake wa kufanya maisha ya watu kuwa mepesi zaidi na zaidi na huo ndio uongozi wa kweli nje ya hapo ni viini macho kama Hv tunavyoshuhudia kwa sasa.Maisha ya watanzania ni magumu sana na Raisi yuko kimya kama maji ya mtungini,leo sukari inaenda Tshs 5000 na hicho ni kidogo tu kinachoweza kupima uongozi ktk nchi kama tu sukari inagarakaza serikali je mambo mengine itakuwaje.Ni kawaida na Maadili ya Binadamu wote duniani kuamini Penye Mama hapakosi neno.
Hata ktk ngazi ya Familia ukirudi nyumbani ukamkuta Baba na aliyerudi nyumbani akamkuta Mama basi Rewards zinakuwa tofauti
Hii ni kutokana kwamba Mama anaupendo kwa wanawe ule wa Asili, Agape Love.
Hata Mwana akikokosea vipi bado Mama humbembeleza na kumuonya ili arudi kwenye mstari.
Basi baada ya yale yaliyotukumba March 2021 na baadae akaingia Madarakani Mwanamke tuliyeamini ni shupavu na Watanzania wote wakajawa na Matumaini kwamba huenda mambo yakawa bam bam.
Cha ajabu watanzania wamekuja kushtuka kuwa ni bussnes as usual.
Wengine wanasema maswala ya Uchumi, umeme, mfumuko wa bei za bidhaa, Ukiukwaji wa Utawala wa sheria na haki yoote haya yaliwashinda akina Mkapa, Kikwete na Dr Magufuli. Je, Samia ataweza?
Ukichunguza dhahama hizi zinazotupata hakuna Mbunge hata Mmoja amesikika Bungeni kututetea sisi wananchi.
Tunajiuliza hivi hii Tanzania inaongozwa na Watanzania kweli mbona hawana uzalendo?
CCM mmekwama wapi?
Yeye na genge lake wanakula pipiRaisi anapimwa kwa uwezo wake wa kufanya maisha ya watu kuwa mepesi zaidi na zaidi na huo ndio uongozi wa kweli nje ya hapo ni viini macho kama Hv tunavyoshuhudia kwa sasa.Maisha ya watanzania ni magumu sana na Raisi yuko kimya kama maji ya mtungini,leo sukari inaenda Tshs 5000 na hicho ni kidogo tu kinachoweza kupima uongozi ktk nchi kama tu sukari inagarakaza serikali je mambo mengine itakuwaje.
Nakubaliana na wewe kabisaKiongozi bomu kuwahi kutokea tangu tanganyika iubwe. Wachumia matumbo wote
Mfumo ovu wa kutegemea akili ya mtu mmoja pekeeHakika....lakini mbona wanaotutawala wana Elimu za juu sana. Shida iko wapi
Hivi wale wauza Ngada waliokamatwa juzi Kigamboni wameshapelekwa Mahakamani au DPP hana nia ya kushtaki?