Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Akili kubwa anatumiaUSA ni sungura, hapigani mwenyewe. Siku zote analianzisha kutegemea support ya wenza wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili kubwa anatumiaUSA ni sungura, hapigani mwenyewe. Siku zote analianzisha kutegemea support ya wenza wake.
Waafrika mtapigana upande upiUSA akingia na KOREA KASKAZINI & CHINA , SOME OF ARABIC COUNTRIES SUCH AS IRAN WATAKUWA UPANDE WA RUSSIA....na inaweza tokea THIRD WORLD WAR...
deni "unbebabo"😅Tuko bize na mikopo. Please, please. Priority yetu kwa sasa siyo vita, bali mikopo. Tukishakuwa na deni ^unbebabo^ ndipo tutaenda vitani!
Kuna wakati mtu anaweza akaona bora abaki eneo lenye vita kuliko kurudi TanzaniaHabari za jioni wana Jamii Forums, kwa kweli nimeona suala la ndugu Watanzania walioko Ukraine kutakiwa kurudi Tanzania na wengine kutolewa na mataifa yao sababu kubwa ni nini? Putin anahusikaje? Tujuzane.
Maestro de Quimica!!OPView attachment 2129084
Waache kutoa matamko ya kidwanziHabari za jioni wana Jamii Forums, kwa kweli nimeona suala la ndugu Watanzania walioko Ukraine kutakiwa kurudi Tanzania na wengine kutolewa na mataifa yao sababu kubwa ni nini? Putin anahusikaje? Tujuzane.
Maestro de Quimica!!OPView attachment 2129084
Mnamjua Putin ??? Nchi yoyote itakayojaribu kuingilia operation yake itajibiwa vikali.Ngoma ikiwambwa sana hupasuka. Putin yuko vizuri sana lakini nahisi sifa zinampanda kichwani sasa. Akiivamia Ukraine itakuwa keshwapa chance kubwa mahasimu wake hasa USA kummaliza kabisa.
Kupitia mtafaruku huu, USA atapata support kutoka kwa washirika wake hivyo kutimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuidunda Russia.
USA alishajua kuwa peke yake haiwezi Russia, lakini sasa atapata support ya wengine.
Wanatoka kwa njia gani ikiwa hata anga la Ukraine limefungwa.?Habari za jioni wana Jamii Forums, kwa kweli nimeona suala la ndugu Watanzania walioko Ukraine kutakiwa kurudi Tanzania na wengine kutolewa na mataifa yao sababu kubwa ni nini? Putin anahusikaje? Tujuzane.
Maestro de Quimica!!OPView attachment 2129084
Vip ameidunda au ndo anasema hatak kupoteza wanajesh wake😂😂Ngoma ikiwambwa sana hupasuka. Putin yuko vizuri sana lakini nahisi sifa zinampanda kichwani sasa. Akiivamia Ukraine itakuwa keshwapa chance kubwa mahasimu wake hasa USA kummaliza kabisa.
Kupitia mtafaruku huu, USA atapata support kutoka kwa washirika wake hivyo kutimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuidunda Russia.
USA alishajua kuwa peke yake haiwezi Russia, lakini sasa atapata support ya wengine.
Tangazo hili linaonesha upofu na ujinga uliokithiri kwenye mifumo yetu.Habari za jioni wana Jamii Forums, kwa kweli nimeona suala la ndugu Watanzania walioko Ukraine kutakiwa kurudi Tanzania na wengine kutolewa na mataifa yao sababu kubwa ni nini? Putin anahusikaje? Tujuzane.
Maestro de Quimica!!OPView attachment 2129084
Yako wapi?? Kaufyata hukoNgoma ikiwambwa sana hupasuka. Putin yuko vizuri sana lakini nahisi sifa zinampanda kichwani sasa. Akiivamia Ukraine itakuwa keshwapa chance kubwa mahasimu wake hasa USA kummaliza kabisa.
Kupitia mtafaruku huu, USA atapata support kutoka kwa washirika wake hivyo kutimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuidunda Russia.
USA alishajua kuwa peke yake haiwezi Russia, lakini sasa atapata support ya wengine.
Kwel sababu Nmeona zaid ya 50 wamekimbilia polandInabidi wajiongeze kutegemea serikali kutawaponza wajiunge na wananchi wanaoikimbia nchi kwenda sehemu salama kama poland na kwingineko waokoe maisha yao,kutegemea wabongo nyoso ni hatari kwao.