Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazanzibari ni sawasawa na mal*yaaa anaye katikia mkunyenge huku ana piga kelele kuwa anabakwa na hataki kutoka ,maana rais wa tz ni mzenji kwanini asivunje muungano very stupiiid peopleKwanini Zanzibar hamtaki kujitoa?
RAMBO NA ANODI BADO WANA VAA CHUP [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona wanamchelewesha sana huyu Putin!?
Jidanganye sasaPutin alikuwa ni kichwa ila sasa anazeeka vibaya. Ukraine wameshapewa silaha na nchi za magharibi. Watu wa Ukraine wameshaanza kuua majeshi ya vamizi ya Putin. Warusi wakianza kuona vijana wao wanarudi nyumbani kwenye majeneza watamgeukia Putin. Halafu matajiri wa Russia (Russian Oligarchs) mali zao wanazomiliki London na kwengine ulaya zinawekewa vikwazo. Na hao Oligarchs wakimgeuka Putin, atapata taabu sana.
Haya ni maneno tu, atawekewa vikwazo vigumu ashindwe kiinteract na Dunia nzima. Na vikwazo haviwakuti wanajeshi pekee, ni mpaka raia wa kawaida.Us hawezi kumpiga mrusi wewe kijana,Urusi wanamiliki asilimia 15 ya silaha za nyuklia zote zinazopatikana duniani atamchapa mmarekani kama mtoto,hata hivyo US hawezi kuanzisha vita.
Umesahau na ”tiali”Maelezo yako yote mazuri lakini hapo kwenye "Ko" ndipo naomba ufafanuzi zaidi wa kunielewesha maana yake.
Kutokana na janga la Ukraine. Ingependeza ndege yetu ikaenda kuwabeba watanzania waliopo huko ili kuepusha vifo.
😀😀Halafu itatua Airport ipi huko Ukraine?
Wewe sasaNdege yetu ikadundwe huko!!
Ndege yetu ikadundwe huko!!
Bima mbele ya kutunguliwa..😀Kwani ndege zenu hazina BIMA? Sintashangaa kuwa wamesahau/hawana uwezo wa kulipia BIMA!!!
Ngoma ikiwambwa sana hupasuka. Putin yuko vizuri sana lakini nahisi sifa zinampanda kichwani sasa. Akiivamia Ukraine itakuwa keshwapa chance kubwa mahasimu wake hasa USA kummaliza kabisa.
Kupitia mtafaruku huu, USA atapata support kutoka kwa washirika wake hivyo kutimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuidunda Russia.
USA alishajua kuwa peke yake haiwezi Russia, lakini sasa atapata support ya wengine.