Watanzania walioko Ukraine watakiwa kurudi Tanzania

Watanzania walioko Ukraine watakiwa kurudi Tanzania

Deal done issue sio Russia wala Ukraine. Issue ni deal ya gesi kutoka urusi kwenda Germany ambayo ni project kubwa sana inayoitwa Nord 2. Us inahofia utajiri mkubwa ambao Russia anaenda kuvuna tena kwa kutumia pesa zao wenyewe sio dollars ya marekanai utampaisha mara dufu Russia na huenda ikamrejeshea usuperpower wake.

America walisema kama Russia atashambulia Ukraine hakutakuwa na Nord 2, bila kufafanua kwamba watalipua au itasitishwa lakini kabla hata ya vita yenyewe Nord 2 project imeshasitishwa na Germany, kansela Angela Merkel aliongea na waandishi wa habari juzi. Kimbuka hii project imeshaanza na ilisha kila pesa kibao,lakini pia Germany walishawajibu US hapo nyuma kwamba waangalie mambo yao waachane na project yao na Russia kwani hii project ilikuwa inaenda kuwafaidisha zaidi raia wa Germany. Katika hali ya kushangaza juzi Kansela Merkel amesitisha kibali kwa utekelezaji wa project aliyoihangaikia kwa muda mrefu sana na iliyokuwa inaonyesha kuwa ni mwarobaini wa matatizo ya nishayi kwa Germany kulikoni?

Us wanahofia pia mbengu ya mahusiano kati ya Russia na Germany ikikomaa itaweza kuleta shida kwao hasa ukizingatia historia ya Germany kabla ya vita ya pili ya dunia hivyo Us anafanya kila awezalo Germany iwe upande wake. Hii inafanyika kwa kupunguza utegemezi wa ulaya mashariki kwa Russia ingawa ni vigumu mno kwani hizo nchi zina baridi kali na chanzo kikuu cha nishati wanayotumia kuanzia kupikia kupashia na viwandani ni natural gesi ya Russia.

Macho yao yako Tanzania kwa sasa kuona namna wanavyoweza kupata mbadala wa gesi ya Russia ili kupunguza speed ya ukuaji wa Russia ikiwa ni pamoja na kuiwekea vikwazo Russia. Si mnaona mikopo inavyomiminika na bashasha alizopewa Mama wa tz alipokuwa Ufaransa na ubelgiji, its all for the purpose. Tusubiri tuone jukimu.letu ni kurekodi.matukio ili tuje kuunganisha dot mwishoni. Wao yao ni mikakati.

Lakini nini tutarajie kwa kuikandamiza Russia kivikwazo hatari zaidi inakuja kwani upo uwezekano mkubwa wa vikundi vya Kigaidi kuibuka na kuongezeka na vilivyopo kupata nguvu zaidi kwani nao watakuwa na adui mmoja. Nchi kama Syria, Lebanon, Iran na vikundi kama hizibolla, alkaeda na alshabab vitapata nguvu kutoka urusi ili.kudhoofisha uchumi wa watesi wao.

Nakumbuka kuwa Israel ilishashindwa vita dhidi ya hizbolla mnafikiri walikuwa hizbolla wale. Assad alipowashinda waoinzani wake kwenye uwanja wa vita pamoja na wapinzani kupata support ya Us na washirika wake, mnafikiri alikuwa Asad yule wa Syria? Dunia ina siri nyingi sana.
 
Wanataka kuanza kuleta ubabe wa Hittler hawa wameshashiba vodka...Cow boy aka mzee wa mipango anawachora tu, waangalia Russia isijekugeuka DRC nyingine ya Ulaya mashariki.
Sio rahisi hao ndo wazoefu wa vita,vita ni vita mura
 
Deal done issue sio Russia wala Ukraine. Issue ni deal ya gesi kutoka urusi kwenda Germany ambayo ni project kubwa sana inayoitwa Nord 2. Us inahofia utajiri mkubwa ambao Russia anaenda kuvuna tena kwa kutumia pesa zao wenyewe...
Mkuu umegusia nishati, upo sahihi, si tu jerumani nchi nyingi za ulaya zinategemea nishati ya gesi kutoka Russia, ninachokiona watafanya (windvane black eyes) yaan kinachosemwa tofauti na kile kinachotendeka tofauti, kwa namna ujeruman walivyo invest, itakuwa ile kanuni tu nliyoitaja hapo juu.. siasa haina adui was kudum Wala rafiki wa kudum, USA anakimbia kivuli chake..
 
Huo ushirika anaotafuta marekani hadi kule ulaya mashariki kwenye malango ya russia ni nini hasa kama siyo kutaka kujenga mitafaruku na mataifa mengine makubwa ikiwemo urusi na china? dunia ikiingia tena kwenye vita madhara yake si ya mchezo mchezo ukichukulia na teknolojia ya silaha zinazotumika kwa sasa.......

Acheni uoga, tulisimuliwa mambo ya vita acha tushuhudie kabla hatujafa.
 
E010D821-BC63-47DA-9287-137FF1E3FCC1.jpeg


Inasikitisha sana waafrika tunadharaulika sana……na viongozi wetu hili naona hawalioni …bado wanapiga magoti kwao wakiamini ukombozi wetu utatoka kwao.

Hivi najiuliza haya madeni tutayalipa na nini km rasilimali kubwa zetu washachukua wanazimiliki….utalii ni mdogo sana, we consume what we do not produce…na tunachozalisha tunauziana wenyewe kwa wenyewe…
 
Habari za jioni wana jamii forums,Kwa kwel nmeona suala la ndugu Watanzania walioko Ukraine kutakiwa kurudi Tanzania na wengine Kutolewa na mataifa Yao ,Sababu kubwa ni nini?Putin anahusikaje ?Tujuzane

Maestro de Quimica!!OPView attachment 2129084
Nilidhani ubalozi ungewafanyia taratibu za kuwasafirisha kumbe wanawashauri? Duuuh... Kila mtu ana pesa ya haraka km anatoka na daladala Kariakoo kwenda Mbagala?

Hao wazazi ukute walishalipa ada wanasubiri likizo mwisho wa mwaka huko ndipo mtoto arudi, sahivi ghafla tu hakuna kuwafanyia juhudi za ziada?

Twafwaaa..
 
Habari za jioni wana jamii forums,Kwa kwel nmeona suala la ndugu Watanzania walioko Ukraine kutakiwa kurudi Tanzania na wengine Kutolewa na mataifa Yao ,Sababu kubwa ni nini?Putin anahusikaje ?Tujuzane

Maestro de Quimica!!OPView attachment 2129084

Utadhani waliwapeleka, mmeanza lini kupenda raia au iga iga tu
 
NATO Pamoja na Marekani wameingilia suala la mji wa Kyiev kushambuliwa na Russia,ambapo Baadhi ya raia wameuliwa kwa Mabomu huku raisi wa marekani katangaza Marshal law(watu wakae ndani wasipaniki) ,Je huu ni mwanzo wa vita ya tatu ya dunia??
Screenshot_20220224-144240_Twitter.jpg
 
Taifa la Urusi lilipoanza,wakayi ule,AD 900,au kabla ya hapo,Kiev ndiyo ilikuwa Makao Makuu yao. Kwa hiyo Warusi hawako tayari kuambiwa kwamba Ukraine itakuwa sehemu ya NATO.
Kama shida ni kutaka aridhi, mbona Russia ndo wana ukubwa wa Aridhi kuliko nchi zingine Duniani. E.g Russia ukubwa wa eneo lao ni 17Million Km2. Wakati USA wana only 9Million Km2 na pia China wana ukubwa huhu kama USA. Hawa Warussi wanazidi Tz zaidi ya mara 17 ya sisi just because ukubwa wa Tz ni 900,000 Km2.

Vitu vingine ni kuonyeshana ubabe tu.
 
T
Mkuu huko kuna tishio la kutokea kwa vita ambapo mbabe wa kremlin unaweza mwita mwamba Vladimir Putin anaonesha tishio la kutaka kuivamia nchi jirani ya Ukraine na tiari juzi keshayatangazia uhuru majimbo mawili ya Ukraine ambayo ni Luhansk na Donetsk ambayo yapo mashaliki mwa Ukraine na yana watu wengi wene asili ya urussi pia kapelekea maelfu ya vifaa vya kivita mpakani mwa ukraine pia kaizunguka Ukraine upande wa Russia, Belarus na Black Sea kwani kote huko kuna wanajeshi zaidi ya 160000 Ko hali ya kiusalama sio nzuli ukizingatia majeshi ya Russia tiali yapo kwene hayo majimbo mawili hivyo mda wowote anaweza ishambulia Ukraine mpk mji mkuu kievi na kuinyakua yote.
Tayari kashaanza mashambulizi
 
Back
Top Bottom