Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu ya kuishambulia Ukraine ni nini?Mkuu huko kuna tishio la kutokea kwa vita ambapo mbabe wa kremlin unaweza mwita mwamba Vladimir Putin anaonesha tishio la kutaka kuivamia nchi jirani ya Ukraine na tiari juzi keshayatangazia uhuru majimbo mawili ya Ukraine ambayo ni Luhansk na Donetsk ambayo yapo mashaliki mwa Ukraine na yana watu wengi wene asili ya urussi pia kapelekea maelfu ya vifaa vya kivita mpakani mwa ukraine pia kaizunguka Ukraine upande wa Russia, Belarus na Black Sea kwani kote huko kuna wanajeshi zaidi ya 160000 Ko hali ya kiusalama sio nzuli ukizingatia majeshi ya Russia tiali yapo kwene hayo majimbo mawili hivyo mda wowote anaweza ishambulia Ukraine mpk mji mkuu kievi na kuinyakua yote.
Maelezo yako yote mazuri lakini hapo kwenye "Ko" ndipo naomba ufafanuzi zaidi wa kunielewesha maana yake.Mkuu huko kuna tishio la kutokea kwa vita ambapo mbabe wa kremlin unaweza mwita mwamba Vladimir Putin anaonesha tishio la kutaka kuivamia nchi jirani ya Ukraine na tiari juzi keshayatangazia uhuru majimbo mawili ya Ukraine ambayo ni Luhansk na Donetsk ambayo yapo mashaliki mwa Ukraine na yana watu wengi wene asili ya urussi pia kapelekea maelfu ya vifaa vya kivita mpakani mwa ukraine pia kaizunguka Ukraine upande wa Russia, Belarus na Black Sea kwani kote huko kuna wanajeshi zaidi ya 160000 Ko hali ya kiusalama sio nzuli ukizingatia majeshi ya Russia tiali yapo kwene hayo majimbo mawili hivyo mda wowote anaweza ishambulia Ukraine mpk mji mkuu kievi na kuinyakua yote.
Serikali ya Tanzania haina mpango wa kwenda kulinda amani na kuwazuia wanajeshi wa Urusi wasifanye ujambazi?Habari za jioni wana jamii forums,Kwa kwel nmeona suala la ndugu Watanzania walioko Ukraine kutakiwa kurudi Tanzania na wengine Kutolewa na mataifa Yao ,Sababu kubwa ni nini?Putin anahusikaje ?Tujuzane
Maestro de Quimica!!OPView attachment 2129084
Sio rahisi kiasi hicho,Mkuu huko kuna tishio la kutokea kwa vita ambapo mbabe wa kremlin unaweza mwita mwamba Vladimir Putin anaonesha tishio la kutaka kuivamia nchi jirani ya Ukraine na tiari juzi keshayatangazia uhuru majimbo mawili ya Ukraine ambayo ni Luhansk na Donetsk ambayo yapo mashaliki mwa Ukraine na yana watu wengi wene asili ya urussi pia kapelekea maelfu ya vifaa vya kivita mpakani mwa ukraine pia kaizunguka Ukraine upande wa Russia, Belarus na Black Sea kwani kote huko kuna wanajeshi zaidi ya 160000 Ko hali ya kiusalama sio nzuli ukizingatia majeshi ya Russia tiali yapo kwene hayo majimbo mawili hivyo mda wowote anaweza ishambulia Ukraine mpk mji mkuu kievi na kuinyakua yote.
So far ameshaanza kulalamika kufuatia vikwazo vya kiuchumi vya nchi za magharibiKuextend eneo lake zaidi
Yaani kwa kifupi ni kwamba RUSSIA inaamini kuwa UKRAINE ni himaya yake, na sio Ukraine tu ni pamoja na nchi zingine za jirani.
Unafikiria Rahisi hivyoNgoma ikiwambwa sana hupasuka. Putin yuko vizuri sana lakini nahisi sifa zinampanda kichwani sasa. Akiivamia Ukraine itakuwa keshwapa chance kubwa mahasimu wake hasa USA kummaliza kabisa.
Kupitia mtafaruku huu, USA atapata support kutoka kwa washirika wake hivyo kutimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuidunda Russia.
USA alishajua kuwa peke yake haiwezi Russia, lakini sasa atapata support ya wengine.
Mwenzetu Mkuu britanicca, bado upo mitaa hii?.Habari za jioni wana jamii forums,Kwa kwel nmeona suala la ndugu Watanzania walioko Ukraine kutakiwa kurudi Tanzania na wengine Kutolewa na mataifa Yao ,Sababu kubwa ni nini?Putin anahusikaje ?Tujuzane
Maestro de Quimica!!OPView attachment 2129084
Mkwara wa Putin, umezua taharuki kila pembe ya dunia.Habari za jioni wana jamii forums,Kwa kwel nmeona suala la ndugu Watanzania walioko Ukraine kutakiwa kurudi Tanzania na wengine Kutolewa na mataifa Yao ,Sababu kubwa ni nini?Putin anahusikaje ?Tujuzane
Maestro de Quimica!!OPView attachment 2129084
Watu mnamatusi..😂Serikali ya Tanzania haina mpango wa kwenda kulinda amani na kuwazuia wanajeshi wa Urusi wasifanye ujambazi?
Teh teh teh 😂😂...tuwapeleke kina Kingai wakatulize amani.Serikali ya Tanzania haina mpango wa kwenda kulinda amani na kuwazuia wanajeshi wa Urusi wasifanye ujambazi?