Watanzania waliokwama Ukraine kusaidiwa kuondoka na Russia kutaichafua Sana nchi kipindi ambacho Russia inatengwa na Dunia

Watanzania waliokwama Ukraine kusaidiwa kuondoka na Russia kutaichafua Sana nchi kipindi ambacho Russia inatengwa na Dunia

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Sijui Diplomasia ya Tanzania ikoje. Jambazi anavamia sehemu. Alafu unaruhusu akuondoe wewe ni kuonesha taifa halijui Nini Cha kufanya wakati gani.
Kipindi ambacho Tawala za Afrika zenye democracy uchwara, Ubabe na uonevu mkubwa kwa wakosoaji wa viongozi zikijizuia kulaani uvamizi. NI ishara kuwa udkkteta duniani unasimikwa na Tawala Hilo.
Kipindi hichi ambacho mwenyeji wako anapigwa na adui unakubali vipi adui akusaidie kutoka kwa mwenyeji na kukusafirisha?
Ivi vita ikiisha Leo Kuna watanzania watapokelewa Ukrane kweli. Hilo sio sawa kabisa.

Kama Urusi inalinda udkkteta duniani Basi lazima tukubali tu kumtenga kwa Sasa.

Baada ya vita uchumi wake utaumia na watakuwa bize kuujenga Tena chini ya vikwazo na madeni kibao.

Russia haijawahi kusaidia masikini wananchi vitu vya msingi zaidi ya kusaidia madikteta kutawala na baadae kuleta machafuko.

Nashauri tujitenge na Russia mapema tusikose mema ya duniani. Yasitukute ya 1984. Tunaimba ujamaa tunapigwa njaa tunaenda kupigia magoti Mabepari yanatupa mahindi kulisha watu wetu.
 
Sijui Diplomasia ya Tanzania ikoje. Jambazi anavamia sehemu. Alafu unaruhusu akuondoe wewe ni kuonesha taifa halijui Nini Cha kufanya wakati gani.
Kipindi ambacho Tawala za Afrika zenye democracy uchwara, Ubabe na uonevu mkubwa kwa wakosoaji wa viongozi zikijizuia kulaani uvamizi. NI ishara kuwa udkkteta duniani unasimikwa na Tawala Hilo.
Kipindi hichi ambacho mwenyeji wako anapigwa na adui unakubali vipi adui akusaidie kutoka kwa mwenyeji na kukusafirisha?
Ivi vita ikiisha Leo Kuna watanzania watapokelewa Ukrane kweli. Hilo sio sawa kabisa.

Kama Urusi inalinda udkkteta duniani Basi lazima tukubali tu kumtenga kwa Sasa.

Baada ya vita uchumi wake utaumia na watakuwa bize kuujenga Tena chini ya vikwazo na madeni kibao.

Russia haijawahi kusaidia masikini wananchi vitu vya msingi zaidi ya kusaidia madikteta kutawala na baadae kuleta machafuko.

Nashauri tujitenge na Russia mapema tusikose mema ya duniani. Yasitukute ya 1984. Tunaimba ujamaa tunapigwa njaa tunaenda kupigia magoti Mabepari yanatupa mahindi kulisha watu wetu.

Koma wewe.
Huoni wanavyofanyiwa Ubaguzi Wanafunzi weusi kwenye mipaka ya Ukraine!
Ulitaka Nchi yetu ifanyeje?
Muhimu ni kuokoa uhai wa watu haijalishi wanapita mpaka gani!
Huu ushabiki maandazi usikufanye ukapoteza rationality ya fikra!

Ukisema Urusi haisaidii maskini utakuwa zamwamwa tu.
Wanafunzi zamani walikuwa wakifaulu vizuri wanapata full scholarship Urusi,wanaondoka na begi tu!
Unajua harakati za ukombozi wa Afrika bila mchango wa Urusi zisingewezekana!
Urusi walikuwa wakileta shehena ya Silaha kwa Kamati ya Ukombozi,hakukuwepo na Nchi yoyote ile Ulaya iliyotusaidia Waafrika kama Urusi,narudia tena Hakuna.
Kama huoni umuhimu wa mtu aliyekufundisha Uvuvi na kukupa nyavu na mshipi,ukamuona anayekupa mnofu wa samaki ndiye mwenye maana wewe huna tofauti na punguani.
IDUMU URUSI.
 
Sijui Diplomasia ya Tanzania ikoje. Jambazi anavamia sehemu. Alafu unaruhusu akuondoe wewe ni kuonesha taifa halijui Nini Cha kufanya wakati gani.
Kipindi ambacho Tawala za Afrika zenye democracy uchwara, Ubabe na uonevu mkubwa kwa wakosoaji wa viongozi zikijizuia kulaani uvamizi. NI ishara kuwa udkkteta duniani unasimikwa na Tawala Hilo.
Kipindi hichi ambacho mwenyeji wako anapigwa na adui unakubali vipi adui akusaidie kutoka kwa mwenyeji na kukusafirisha?
Ivi vita ikiisha Leo Kuna watanzania watapokelewa Ukrane kweli. Hilo sio sawa kabisa.

Kama Urusi inalinda udkkteta duniani Basi lazima tukubali tu kumtenga kwa Sasa.

Baada ya vita uchumi wake utaumia na watakuwa bize kuujenga Tena chini ya vikwazo na madeni kibao.

Russia haijawahi kusaidia masikini wananchi vitu vya msingi zaidi ya kusaidia madikteta kutawala na baadae kuleta machafuko.

Nashauri tujitenge na Russia mapema tusikose mema ya duniani. Yasitukute ya 1984. Tunaimba ujamaa tunapigwa njaa tunaenda kupigia magoti Mabepari yanatupa mahindi kulisha watu wetu.
Hata mimi huyu mwamba simuelewi,hivi inakuingia akilini kuwa koelekea hakuna uhakika wa maisha anakuja mtu kukuokoa unasema acha nife,wewe utakuwa huna ndugu wala mwanao ambaye yuko huko kunakolipuka mabomu.

Kwa akili yako hata leo mbowe baada ya kuachiwa huru na wenzake angekatalia gerezani kwasababu amekaa gerezani muda halafu anaambiwa hana kesi leo?
 
Majitu mengine bana, Sasa ulitaka wabaki huko wafe??. Hiyo diplomasia ina mantiki gani kama hauwezi kuokoa raia??.

Punguza ujuaji kwenye maisha ya watu, ungekuwa na nduyo huko UKRAINE usingeleta hapo huo uhaloo wako. Hata hivyo Russia na Tz sio maadui Wana historia nzuriii. Acha ndugu zetu waokolewe afu wewe uendelee usubiri hiyo diplomasia ya Tz.
 
Back
Top Bottom