Watanzania waliokwama Ukraine kusaidiwa kuondoka na Russia kutaichafua Sana nchi kipindi ambacho Russia inatengwa na Dunia

Nchi yako yenyewe imesema haitakuwa na upande,lakini kwa wengine huu msimamo ni kuwa upande wa Russia.

Maintaining Neutrality at the time of injustice means siding with the oppressor.
 
Russia ana maslahi gani huku Africa au hata hapa Tanzania?
 
Unatakaje wakati mpakani kuelekea Poland Waafrika hawapiti wanarudishwa wakapigane vita? Siyo kila kitu ni kuandika tu. Yaani unataka raia wetu wafe ndani ya Ukraine? Kabisa hii ni mada eti kisa Urusi imetengwa!
 
Russia ana maslahi gani huku Africa au hata hapa Tanzania?
Uungwaji mkono wa Sera zake za kibabe. Uon hatukupiga kura kulaani uvamizi. Kama dunia yote ingepinga angejiona mkiwa. Pili NI kuzuia maslahi ya Magharibi Afrika. Na tatu ndio muuzaji mkubwa wa slaa afrika
 
Wanajustfiy tu! Basi lingefanyika kimya kimya sio kuonesha wema wa Urusi wakati ambao dunia inashuhudia ukatili wake wa Hali ya juu kabisa kwa watu wa Ukraine
Wakae kimya ili Mambo yakiharibika mje muwatukane..?
 
Ungekuwa Ukraine usingepata hata mda wakuandika huu ujinga
Najua kabisa ungeomba sana utoke salama
Ila kwa Sasa kaa tu kimya tulizana
 
Wajuaji wakishiba uji wa ulezi utajua tu. Yaani wewe uko ndani ya nyumba inayowaka moto, jirani kaja kukuchomoa utakataa kisa mna uhasama?! Unaongea wakati vita huijui hata kidogo.
Sijui choroko za wapi umekula wewe?!
 
Jikite kwenye hoja kistaarabu tu. Ndio msingi wa kuheshimu hoja
Hakuna hoja hapa William Mshumbusi.

Kwenye kuokoa maisha ya watu haswa katika mazingira kama haya ya vijana wetu huko Ukraine haukuhitajiki siasa bali njia rahisi na ya haraka kufanikisha hilo.
Sasa wewe unapokuja na mambo ya siasa wakati maisha ya vijana wetu yako hatarini unaoneka kituko na punguani.
 
Inaonesha hujui historia ya Russia na Tanzania. Unafuata mkumbo tu ati kisa dunia imeitenga Russia. Kwani ni Tanzania tu ambayo haikupiga kura. Sasa kuna nchi ambazo zimepiga kula ya kutokukubaliana na maazimio ya UN dhidi ya Russia.

Unajua kwanini Russia kaivamia Ukraine? Unahitaji kujua jambo kabla ya kutoa maoni yako. Eti Russia haijawai kuisaidia Tanzania? Ha ha ha! Unajua Russia haikuwai kuitawala Africa, bali ilikuwa mbele kusaidia ukombozi wa Kusini mwa Afrika. Ndo maana hata huyu Puttin kaishi Tanzania. Russia ilikuwa na chuo cha Lumumba ambako wanadiplomasia na wanasiasa wengi wa Afrika wamesoma huko. Wewe unafuata propaganda za Kimarekani na kuamini kila kitu.

Hata wakati wa vita ya Uganda, tulisaidiwa sana vifaa na Russia, japo Marekani na mataifa mengine kama Uingereza walikaa kimya. Russia imeleta wataalamu wengi wa kilimo, na nyanja kadhaa nchini, Pia wataalamu wetu wengi katika fani tofauti wamesomea Russia. Haya yote ni mahusiano tuliokuwa nayo.

Mwl. Nyerere ni kiongozi mmoja wapo wa waanzilishi wa nchi zisizo fungamana na upande wowote toka tumepata uhuru. Tanzania tunafahamika hivyo, na tumekuwa hivyo miaka yote. Hatuna adui!
 
Mbona jamiiforum hafuti huu uchafu. Mtoa maana ni vibaraka wa ma mabeberu, ni mchonganishi na muasi. Russia na China Ni marafiki zetu.
 
Urusi ni ndugu yetu wa damu. Putin amekaa hapo bagamoyo miaka minne akifundisha wapigania uhuru na majeshi yetu
 
Kuna watu hata tukiwaita wapumbavu bado tunakuwa tumewapendelea.
 
Urusi ni taifa teule la Mungu atakaelibariki naye atabarikiwa, na atakayelichukia atalaaniwa na atakayejaribu kuipiga Urusi ataangamizwa kwenye uso wa dunia.

Umevunja nyumba kabisa na kuvunjavunja kila kitu sio kupindua meza tu!!

Unatumia Uhuru wako wa kujieleza vizuri.
 
Wewe unaongea kwa hisia tuliza moyo then tumia akili sio moyo.

Unavyoongea ivyo unathihirisha ni namna gani bado hujajua washirika wa nchi yetu mpaka sasa na hufahamu kiundani historia kati yetu Tanzania na Russia tafadhali fanya research juu ya siasa za kimataifa hasa kati ya Tanzania na nchi za kibepari na ujamaa utapata jibu.

Kingine tuseme India ambao nao ni kati ya superpowers duniani pia ni wajinga kwakuwa raia wake wanaondolewa kwa wa Nazi Ukraine nao ni wajinga. Na kwa taarifa yako Russia inasaidia kuondoa raia wa India na Tanzania na wanchi zingine pale Ukraine japo pia bado kuna raia wa nchi zingine wameshikwa kama mateka na wanajeshi wa ki-nazi Ukraine na Urusi ndo taifa pekee lililojitolea kusaidia raia on battle ground.

Najua ww ni shabiki wa wa Nazi wa Ukraine ndo maana Ila pole kama kichapo wacha mtembezewe tu na uyo mnafiki Zelensky ambae ni puppet wa NATO na USA. Hayo yote yasingetokea kama Zelensky asingekuwa anauwa watu wanaompiga kwenye majimbo huru kwa miaka 10 na likifumbiwa macho. Isitoshe iyo sio vita ni Operation ya Kijeshi kama zingine tu za Libya na Iraq na Afghanistan. Tena wapigwe sana tu zaidi ya Libya na wakifanikiwa kumkamata Zelensky ndo kabsaa wengine tutasherekea
 
Hapo ndio ujue yup rafk wa kweli

Rafk wa kwel n yule anayekujali wakati wa shida

Hao unaodhan ndio marafik zetu ndio wanaobagua waafrika wasipande tren kwenda Poland na maeneo mengine

Mzungu n mbaguz namba 1 japo YEYE n namba 1 kupigania usawa

ZELENSKY mwenyewe NATO WAMEMSALITI ITAKUWA SISI

UKIULIZA ELIMU YA MTOA MADA UTAAMBIWA AMESOMA CHUO CHA DIPLOMASIA AU SAYANSI YA SIASA

ELIMU YA BONGO N SHIDA
 
Wewe unaongea kwa hisia tuliza moyo then tumia akili sio moyo. Kama sivyo basi umezaliwa miaka ya 2000 na kama sio basi ww boya na zwazwa na zumbukuku

Unavyoongea ivyo unathihirisha ni namna gani bado hujajua washirika wa nchi yetu mpaka sasa na hufahamu kiundani historia kati yetu Tanzania na Russia tafadhali fanya research juu ya siasa za kimataifa hasa kati ya Tanzania na nchi za kibepari na ujamaa utapata jibu.

Kingine tuseme India ambao nao ni kati ya superpowers duniani pia ni wajinga kwakuwa raia wake wanaondolewa kwa wa Nazi Ukraine nao ni wajinga. Na kwa taarifa yako Russia inasaidia kuondoa raia wa India na Tanzania na wanchi zingine pale Ukraine japo pia bado kuna raia wa nchi zingine wameshikwa kama mateka na wanajeshi wa ki-nazi Ukraine na Urusi ndo taifa pekee lililojitolea kusaidia raia on battle ground.

Najua ww ni shabiki wa wa Nazi wa Ukraine ndo maana Ila pole kama kichapo wacha mtembezewe tu na uyo mnafiki Zelensky ambae ni puppet wa NATO na USA. Hayo yote yasingetokea kama Zelensky asingekuwa anauwa watu wanaompiga kwenye majimbo huru kwa miaka 10 na likifumbiwa macho. Isitoshe iyo sio vita ni Operation ya Kijeshi kama zingine tu za Libya na Iraq na Afghanistan. Tena wapigwe sana tu zaidi ya Libya na wakifanikiwa kumkamata Zelensky ndo kabsaa wengine tutasherekea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…