The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Kweli kabisaUngekuwa na mtoto anayesoma huko pengine ungekuja na uzi wa shukrani.
Yuko kijana wa mdogo wangu amekwama huko, leo siku ya tatu tumefunga na kuomba, acha tu.Kwe
Kweli kabisa
Uzi unastahili kuwepo kwa sababu ni maoni yake binafsi mleta mada, lakini ni maoni ambayo watu wengi wameyakosoa.Ngoja tuwatie mods majaribuni eti Maxence Melo mnaonaje huu uzi unastahili kweli..?
Akili yako fupiSijui Diplomasia ya Tanzania ikoje. Jambazi anavamia sehemu. Alafu unaruhusu akuondoe wewe ni kuonesha taifa halijui Nini Cha kufanya wakati gani.
Kipindi ambacho Tawala za Afrika zenye democracy uchwara, Ubabe na uonevu mkubwa kwa wakosoaji wa viongozi zikijizuia kulaani uvamizi. NI ishara kuwa udkkteta duniani unasimikwa na Tawala Hilo.
Kipindi hichi ambacho mwenyeji wako anapigwa na adui unakubali vipi adui akusaidie kutoka kwa mwenyeji na kukusafirisha?
Ivi vita ikiisha Leo Kuna watanzania watapokelewa Ukrane kweli. Hilo sio sawa kabisa.
Kama Urusi inalinda udkkteta duniani Basi lazima tukubali tu kumtenga kwa Sasa.
Baada ya vita uchumi wake utaumia na watakuwa bize kuujenga Tena chini ya vikwazo na madeni kibao.
Russia haijawahi kusaidia masikini wananchi vitu vya msingi zaidi ya kusaidia madikteta kutawala na baadae kuleta machafuko.
Nashauri tujitenge na Russia mapema tusikose mema ya duniani. Yasitukute ya 1984. Tunaimba ujamaa tunapigwa njaa tunaenda kupigia magoti Mabepari yanatupa mahindi kulisha watu wetu.
Sijaongelea picha unayoiongelea wewe. Na kwa taarifa yako si warusi wote walikaa Gymkhana. Tanzania ni kubwa. Inakambi za jeshi kila kona. Na Tanzania tumekuwa na warusi wengi nchini katika mikoa mbalimbali. Na kuna wengine wanakuwepo kinamna.Picha inayosemwa kuwa ni Putin na Samora ni Samora na komandoo mwingine wa kirusi mwaka 1984 siku ambayo Marehemu Samora alitembelea Bagamoyo kutizama mafunzo waliyokuwa wakipewa askari wa Msumbiji. Samora alifanya ziara Tanzania mwaka 1984 ndio akaenda hapo kambini.
Wale warusi walikuwa na makazi yao pale Gymkhana pembeni ya uwanja wa Golf miaka hiyo ya themanini na tisini.
Mtu anaandika kama kakatwa kichwa....Yeye yupo nyumbani kwake Dar anaingia na kutoka muda wowote autakao hivyo anaongea anavyojisikia.
Mkuu vijana wetu wanateseka Ukraine, inatumika njia yoyote kuwaokoa, hayo mengine ya kumtenga Russia yatafuata baadae.
Haijalishi, kwa kipindi hiki walichagua kuwa nyutro wangebaki hivyo hivyo.Nadhani hujui historia ya Tanzania na Urusi
Mkuu kwenye hiyo safari tuko pamoja!Binafsi namsapoti Putin 100%
Nashukuru kwa kumbukumbu nzuri za miaka ile. Samora pia alifanya ziara ya kiserikali na Graca mwaka 1984 nakumbuka kulikuwa na tukio fulani mwaka ule lilifanyika pale mnazi mmoja, yeye na Nyerere walikuwepo.Sijaongelea picha unayoiongelea wewe. Na kwa taarifa yako si warusi wote walikaa Gymkhana. Tanzania ni kubwa. Inakambi za jeshi kila kona. Na Tanzania tumekuwa na warusi wengi nchini katika mikoa mbalimbali. Na kuna wengine wanakuwepo kinamna.
Hapa siongelei hiyo picha unayoisema na siijui.
Kwa taarifa Samora alikuwepo nchini, kabla ya kuwa Rais. Aliishi na kufanya mafunzo Kongwa. Tembelea Kongwa Sekondari utakuta handaki alilokuwa akikaa wakati wa mafunzo. Na kuna uwanja wa ndege walio utumia. Hapa warusi waliwapa Mafunzo. Ile sekondari ya Kongwa majengo mengi yalikuwa yaliyotumika na wapigania ukombozi wa Msumbiji. Warusi waliishi hapo. Na nilifanikiwa kukaa ktk moja ya nyumba zao miaka kadhaa ilopita.
Alipokuwa Rais 1975, baadae mwaka 1982 Samora alifanya ziara ya kiserikali chini Tanzania, hii ilikuwa ziara yake ya kwanza kama Rais, na baadae alielekea Musoma wakiambatana na Mwl. Nyerere alie kuwa Rais wa Tanzania. Nakumbuka wimbo wa "Samora Machel mamaaa...eeeh! Viva viva FRELIMO Msumbiji mamaa" Samora alikaa siku tatu Musoma na kugeuza, akiwa na mke wake Graca. Alifanya utani kuwa atalala na Nyerere kitanda kimoja kwani ni marafiki sana.
Wimbo mwingine ulioimbwa kipindi hicho ni "FRELIMO haina mwisho, haina mwisho FRELIMO haina mwisho... Ujamaa hauna mwisho, hauna mwisho ujamaa hauna mwisho..." na mmoja ulikuwa wa kireno nimeusahau kidogo. Hii ilikuwa ni mwaka 1982.
"Itewana Samora zoana, inataka kumozambique, FRELIMO Ooohoho...FRELIMO...Ooohoho...Zoana..Inataka kumozambique...Mondrane kupela vema zoana inataka kumzambique...FRELIMO...ooohoho....FRELIMO....oooohoho Zoana ....ine kupele zena zowana....."
Huu ni moja ya nyimbo tulizomwimbia Samora. Na ziliendelea kuimbwa mashuleni.
Yaan unafikiria mikopo ya wazungu kuliko vijana wetu.Aidha inaonekana haujui ,Mambo ya kimataifa yalivyo.Kwa kukusaidia tu,ikitokea vita raia huwa wanapewa misaada na kuepushwa na mapigano.Wanaotafutwa kuuliwa Ni wanajeshi.Sijui ulitaka vijana wetu wafe?Sikuelewi.Sijui Diplomasia ya Tanzania ikoje. Jambazi anavamia sehemu. Alafu unaruhusu akuondoe wewe ni kuonesha taifa halijui Nini Cha kufanya wakati gani.
Kipindi ambacho Tawala za Afrika zenye democracy uchwara, Ubabe na uonevu mkubwa kwa wakosoaji wa viongozi zikijizuia kulaani uvamizi. NI ishara kuwa udkkteta duniani unasimikwa na Tawala Hilo.
Kipindi hichi ambacho mwenyeji wako anapigwa na adui unakubali vipi adui akusaidie kutoka kwa mwenyeji na kukusafirisha?
Ivi vita ikiisha Leo Kuna watanzania watapokelewa Ukrane kweli. Hilo sio sawa kabisa.
Kama Urusi inalinda udkkteta duniani Basi lazima tukubali tu kumtenga kwa Sasa.
Baada ya vita uchumi wake utaumia na watakuwa bize kuujenga Tena chini ya vikwazo na madeni kibao.
Russia haijawahi kusaidia masikini wananchi vitu vya msingi zaidi ya kusaidia madikteta kutawala na baadae kuleta machafuko.
Nashauri tujitenge na Russia mapema tusikose mema ya duniani. Yasitukute ya 1984. Tunaimba ujamaa tunapigwa njaa tunaenda kupigia magoti Mabepari yanatupa mahindi kulisha watu wetu.
Non alingment feki-ukweli wa mambo nchi na sera ya kutofungamana na upande wowote zimeegemea urusi na uchina zaidi. Tuache unafiki.Wewe kenge nitolee upumbavu wako hapa 😡😡😡. Tanzania ina sera ya kutofungamana na upande wowote tangu enzi za baba wa taifa. Pia nchi yetu haijawahi kuwa na uoga kwenye misimamo yake. Hii sio mara ya kwanza Tanzania kufanya maamuzi magumu kwa maslahi ya watu wake. Kama ubalozi wa Uingereza ulishawahi kufungwa hapa nchini ndo iwe hilo suala la kupiga kura UN? Halafu ulitaka hao wanafunzi waliokwama wapitie njia gani salama zaidi ya hiyo ya Urusi? Hujasikia wapoland wakiwabagua waziwazi waafrika huko kwenye mpaka wao? Futa huu uzi wako unaonuka mavi.
Nimeshangaa sana kwa uzi wako huu.Kipaumbele cha kwanza kwa nchi yoyote makini ni kuokoa maisha ya raia wake. Hiki ndicho Tanzania inayofanya na nawapongeza sana. Wewe unataka watoto wetu wafe eti tu tunafuata mkumbo wa West. Una shida.Sijui Diplomasia ya Tanzania ikoje. Jambazi anavamia sehemu. Alafu unaruhusu akuondoe wewe ni kuonesha taifa halijui Nini Cha kufanya wakati gani.
Kipindi ambacho Tawala za Afrika zenye democracy uchwara, Ubabe na uonevu mkubwa kwa wakosoaji wa viongozi zikijizuia kulaani uvamizi. NI ishara kuwa udkkteta duniani unasimikwa na Tawala Hilo.
Kipindi hichi ambacho mwenyeji wako anapigwa na adui unakubali vipi adui akusaidie kutoka kwa mwenyeji na kukusafirisha?
Ivi vita ikiisha Leo Kuna watanzania watapokelewa Ukrane kweli. Hilo sio sawa kabisa.
Kama Urusi inalinda udkkteta duniani Basi lazima tukubali tu kumtenga kwa Sasa.
Baada ya vita uchumi wake utaumia na watakuwa bize kuujenga Tena chini ya vikwazo na madeni kibao.
Russia haijawahi kusaidia masikini wananchi vitu vya msingi zaidi ya kusaidia madikteta kutawala na baadae kuleta machafuko.
Nashauri tujitenge na Russia mapema tusikose mema ya duniani. Yasitukute ya 1984. Tunaimba ujamaa tunapigwa njaa tunaenda kupigia magoti Mabepari yanatupa mahindi kulisha watu wetu.
Russia hakuitawala Africa sio kwa kupenda. Kwanza haikuwepo Urusi Kama Urusi. Na nchi zilizokuwepo maeneo hayo miaka ya 1800 zilikuwa dhaifu Sana. Zilizopigana Mara kwa mara na zisizoweza kutoka nje kuja Afrika kutawala.Inaonesha hujui historia ya Russia na Tanzania. Unafuata mkumbo tu ati kisa dunia imeitenga Russia. Kwani ni Tanzania tu ambayo haikupiga kura. Sasa kuna nchi ambazo zimepiga kula ya kutokukubaliana na maazimio ya UN dhidi ya Russia.
Unajua kwanini Russia kaivamia Ukraine? Unahitaji kujua jambo kabla ya kutoa maoni yako. Eti Russia haijawai kuisaidia Tanzania? Ha ha ha! Unajua Russia haikuwai kuitawala Africa, bali ilikuwa mbele kusaidia ukombozi wa Kusini mwa Afrika. Ndo maana hata huyu Puttin kaishi Tanzania. Russia ilikuwa na chuo cha Lumumba ambako wanadiplomasia na wanasiasa wengi wa Afrika wamesoma huko. Wewe unafuata propaganda za Kimarekani na kuamini kila kitu.
Hata wakati wa vita ya Uganda, tulisaidiwa sana vifaa na Russia, japo Marekani na mataifa mengine kama Uingereza walikaa kimya. Russia imeleta wataalamu wengi wa kilimo, na nyanja kadhaa nchini, Pia wataalamu wetu wengi katika fani tofauti wamesomea Russia. Haya yote ni mahusiano tuliokuwa nayo.
Mwl. Nyerere ni kiongozi mmoja wapo wa waanzilishi wa nchi zisizo fungamana na upande wowote toka tumepata uhuru. Tanzania tunafahamika hivyo, na tumekuwa hivyo miaka yote. Hatuna adui!
Waafrika tunalawama Sana hujui tu. Katika vita hutakiwa kuanza kuondolewa wazee, watoto na wanawake. Ila tulichotaka wageni huko NI kuondolewa wageni kwanza eti huku sio kwetu.hivi huyu mleta mada hii ni kweli alikaa na kutafakari alichokisema hapa jamani? Hivi kweli huyu ndugu kama yeye angelikuwepo ukraine wakati huu angelichagua ni nani anamtoa katika eneo la kivita au angeliharakisha kuokoa roho yake? Hivi kweli kama ingelikuwa kati ya waliokwama huko ukraine yumo ndugu y ake au jamaa yake, angelimshauri kukataa msaada wa kuondoshwa na warusi? Hivi huyu ndugu ameona clips zinazozagaa mitandaoni ambazo zinaonyesha askari wa ukraine (anaita wenyeji wa wanafunzi) wakiwatowa wanafunzi wa kiafrika na jamaika katika mabasi na matreni yanayowaondoa watu katika sehemu za vita? Ni kwa nini ukatae msaada wa warusi ilhali ukraine ambao ni wenyeji wako wanakataa kukusaidia?
Hivi huyu ndugu anaposema kuwa Russia haijawahi kusaidia masikini, anajua lolote juu ya historia ya russia na misaada na mafunzo waliotowa kwa wapigania uhuru wa afrika wakati afrika ikipigania kujikomboa? Labda ndugu yetu hajui ni kwa nini nchi nyingi za afrika zilikataa kupiga kura katika azimio la UN juu ya ukraine.
Akili yako fupi sana.......Sijui Diplomasia ya Tanzania ikoje. Jambazi anavamia sehemu. Alafu unaruhusu akuondoe wewe ni kuonesha taifa halijui Nini Cha kufanya wakati gani.
Kipindi ambacho Tawala za Afrika zenye democracy uchwara, Ubabe na uonevu mkubwa kwa wakosoaji wa viongozi zikijizuia kulaani uvamizi. NI ishara kuwa udkkteta duniani unasimikwa na Tawala Hilo.
Kipindi hichi ambacho mwenyeji wako anapigwa na adui unakubali vipi adui akusaidie kutoka kwa mwenyeji na kukusafirisha?
Ivi vita ikiisha Leo Kuna watanzania watapokelewa Ukrane kweli. Hilo sio sawa kabisa.
Kama Urusi inalinda udkkteta duniani Basi lazima tukubali tu kumtenga kwa Sasa.
Baada ya vita uchumi wake utaumia na watakuwa bize kuujenga Tena chini ya vikwazo na madeni kibao.
Russia haijawahi kusaidia masikini wananchi vitu vya msingi zaidi ya kusaidia madikteta kutawala na baadae kuleta machafuko.
Nashauri tujitenge na Russia mapema tusikose mema ya duniani. Yasitukute ya 1984. Tunaimba ujamaa tunapigwa njaa tunaenda kupigia magoti Mabepari yanatupa mahindi kulisha watu wetu.