Labda akina Mwanzi1 watakuelewa maana imetoka kwa Mtanzania.
Wakenya mnajitekenya na kucheka wenyeweBaada ya tukio la juzi kwa Kenya kutokuhusika kwenye upigaji wa kura kwenye mswada wa Umoja wa Mataifa kuhusu uamuzi wa Marekani kwamba Jerusalem ndio mji mkuu wa Israel, Watanzania wametokwa povu la omo huku wakishutumu Kenya, wengine wanakesha JF kabisa kwa ajili ya hili hadi nawaza hivi jameni watu huwa hawana muda wa mapumziko, hata muda wa kwenda kula, hata kama mnalipwa.
Sasa hawa hawa Watanzania kwa jinsi walivyo wanafiki, juzi wamemkenulia meno na kumpokea mfalme wa Morocco baada ya kuja kwao na kuwaahidi kuwajengea uwanja wa mpira na misikiti na vipochopocho vyote (hivi ahadi zake hizo alitekeleza? Au ndio yale yale). Huyu mfalme huko kwake ni mkoloni ambaye amelikalia taifa la Western Sahara kibabe, taifa hili limetambuliwa hadi na UN.
Leo mnajifanya kuwapigia Wakenya makelele kuhusu Wapalestina (ambao mgogoro wao na Israel wanaujua wenyewe maana hauishangi tumeuskia tangu tukiwa watoto) na hapa Afrika mnamuunga mkono na kumshobokea mkoloni Mwafrika anayelikoloni taifa la Kiafrika tena anatumia ubabe. Yaani bila hata aibu mnadhihirisha unafiki wa kiajabu.
Hili sasa ni povu. Nadhani kwa sasa huna huja mwenzetu. Kama ulikuwa unategemea mali za wizi na ubabaishaji awamu hii ya tano haipo hivyo. Na ninaona unaongea vitu nje kabisa ya mada tunayoongelea. Maelezo yako yamejaa ujinga na chuki iliyozidi kiwango...jambo linalonisumbua zaidi ni jinsi siasa za Tz zilivyoingiliwa na mambo ya KIKATILI ambayo nilidhani hayawezekani kutokea huku kwetu.
..UVUMILIVU wa tofauti za kiitikadi na mawazo mbadala unatoweka kwa kasi ya kutisha. HOJA inayoshinda ni ya yule mwenye NGUVU na si yule mwenye USHAWISHI.
Huyu Joka kuu inaonekana ni hamnazo, mbona Morocco miaka yote imekua ikishiriki michezo yote ya Africa na haijasusiwa wala kukatazwa kushiriki au kuandaa michezo hiyo kama kweli ilisusiwa?, hao Kenya mbona hawajafunga ubalozi wa Morocco ili kuonyesha hasira zao?, Morocco haikususiwa wala kufukuzwa katika Umoja wa nchi za Afrika, yenyewe ndiyo iliyoamua kujitoa OAU kupinga umoja huo kuitambua Western Sahara kama nchi kamili, kumbuka uanachama wa OAU ni hiari sio lazima. Mfalme wa sasa hivi amegundua kwamba kitendo cha kujitoa kilichofanywa na baba yake hakikuwa cha busara kwahiyo ameamua kuirudisha nchi yake AU.Hili sasa ni povu. Nadhani kwa sasa huna huja mwenzetu. Kama ulikuwa unategemea mali za wizi na ubabaishaji awamu hii ya tano haipo hivyo. Na ninaona unaongea vitu nje kabisa ya mada tunayoongelea. Maelezo yako yamejaa ujinga na chuki iliyozidi kiwango.
Nataka tu nikusaidie. Nenda wizara ya mambo ya nje ukasome sera ya Tanzania kuliko kutoa hoja dhaifu namna hii iliyojaa chuki. Vijana wa kenya wanatafuta kujua ili wajifunze, wewe unaonesha hisia zako kwenye mitandao.
Nimetoa maelezo hapo juu. Kama umeyafuatilia vizuri yametoa vitu kwa ufupi.
Jeshi la kujenga taifa lilipata mafunzo kutoka Israel lakini kwenye mambo ya unyonyaji tulipiga kelele na kusema tupo kinyume nao hata leo sera hizo zipo vilevile. Kuhusu sahara magharibi na Morocco msimamo wa taifa la tanzania uko palepale haujabadilika. Ndio maana Dar es salaam kuna mtaa unaitwa morocco tangu zamani. Lakini uyonyaji unapingwa kwa hali ya juu. Maelezo ni marefu na mengi, inatosha tu kusema nenda kasome sera za mambo ya nje uweze kujifunza.
Labda akina Mwanzi1 watakuelewa maana imetoka kwa Mtanzania.
Hili sasa ni povu. Nadhani kwa sasa huna huja mwenzetu. Kama ulikuwa unategemea mali za wizi na ubabaishaji awamu hii ya tano haipo hivyo. Na ninaona unaongea vitu nje kabisa ya mada tunayoongelea. Maelezo yako yamejaa ujinga na chuki iliyozidi kiwango.
Nataka tu nikusaidie. Nenda wizara ya mambo ya nje ukasome sera ya Tanzania kuliko kutoa hoja dhaifu namna hii iliyojaa chuki. Vijana wa kenya wanatafuta kujua ili wajifunze, wewe unaonesha hisia zako kwenye mitandao.
Nimetoa maelezo hapo juu. Kama umeyafuatilia vizuri yametoa vitu kwa ufupi.
Jeshi la kujenga taifa lilipata mafunzo kutoka Israel lakini kwenye mambo ya unyonyaji tulipiga kelele na kusema tupo kinyume nao hata leo sera hizo zipo vilevile. Kuhusu sahara magharibi na Morocco msimamo wa taifa la tanzania uko palepale haujabadilika. Ndio maana Dar es salaam kuna mtaa unaitwa morocco tangu zamani. Lakini uyonyaji unapingwa kwa hali ya juu. Maelezo ni marefu na mengi, inatosha tu kusema nenda kasome sera za mambo ya nje uweze kujifunza.
Baada ya tukio la juzi kwa Kenya kutokuhusika kwenye upigaji wa kura kwenye mswada wa Umoja wa Mataifa kuhusu uamuzi wa Marekani kwamba Jerusalem ndio mji mkuu wa Israel, Watanzania wametokwa povu la omo huku wakishutumu Kenya, wengine wanakesha JF kabisa kwa ajili ya hili hadi nawaza hivi jameni watu huwa hawana muda wa mapumziko, hata muda wa kwenda kula, hata kama mnalipwa.
Sasa hawa hawa Watanzania kwa jinsi walivyo wanafiki, juzi wamemkenulia meno na kumpokea mfalme wa Morocco baada ya kuja kwao na kuwaahidi kuwajengea uwanja wa mpira na misikiti na vipochopocho vyote (hivi ahadi zake hizo alitekeleza? Au ndio yale yale). Huyu mfalme huko kwake ni mkoloni ambaye amelikalia taifa la Western Sahara kibabe, taifa hili limetambuliwa hadi na UN.
Leo mnajifanya kuwapigia Wakenya makelele kuhusu Wapalestina (ambao mgogoro wao na Israel wanaujua wenyewe maana hauishangi tumeuskia tangu tukiwa watoto) na hapa Afrika mnamuunga mkono na kumshobokea mkoloni Mwafrika anayelikoloni taifa la Kiafrika tena anatumia ubabe. Yaani bila hata aibu mnadhihirisha unafiki wa kiajabu.
Nadhani umechanganya hapa. Hebu kagua vizuri kwenye comment yangu kama nimeandika matusi...SAD!!
..kwanini unachangia kwa HASIRA na MATUSI kiasi hiki?
..mimi sikujui na wewe hunijui. sasa hii habari ya kutegemea mali za wizi inahusiana nini na mjadala wetu?
..kama una uchungu na mali za nchi hii labda ungekumbushia kivuko mkweche kilichonunuliwa na "mzee kipara" kwa mabilioni ya shilingi huku akidanganya kwamba ni kipya. Kivuko hicho sasa hivi hakijulikani kilipo.
..huu siyo muda wa kusoma makaratasi yaliyoko wizara ya mambo ya nje. Matendo yetu yanaelekeza msimamo wetu kuhusu mgogoro wa Sahara Magharibi vs Morocco.
..Kwanini tulipokea "ZAWADI" toka Morocco? Je hayo si malipo ya kubadili msimamo wetu?
..Hata Mzee Mugabe alitukemea kwenye mkutano wa AU kutokana na kuyumba kwetu kimsimamo.
Kwani tangu lini Tanzania ilikataa Morocco kuwepo OAU na sasa AU?joto la jiwe,
..Algeria, Afrika Kusini, Botswana, Msumbiji, Namibia, na Zimbabwe, walipinga Morocco kurudishwa AU.
..Na waliweka pingamizi kwamba Morocco aiche kuikalia kimabavu Sahara Magharibi.
..Tanzania ya leo imepoteza msimamo wa kimapinduzi tuliokuwa kwa miaka mingi tangu enzi za Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
..Hata ktk utetezi wa haki za Wapalestina kuwa na taifa lao tumelegeza msimamo.
Sasa kama hizo nchi zimepinga na Tanzania haijawahi kupinga au kupendekeza Morocco kufukuzwa OAU, utasemaje kwamba tumelegeza msimamo?, Tanzania haijawahi kupendekeza Morocco kufukuzwa au kukataliwa kurudi OAU, msimamo wa Tanzania ni kwamba zote kati ya Morocco na West Sahara zitambuliwe na kuwa wanachama wa AU wakati mazungumzo yanaendelea, kama hizo nchi ulizotaja zina msimamo tofauti na huu wetu, hilo ni lao kwa sababu kila nchi ipo huru kujiamulia lolote katika diplomasia ya kimataifa, inaonekana wewe msimamo wako ni kama wa nchi hizo, unaweza kushauri na kupendekeza Tanzania kubadili msimamo wake kwa kutoa sababu za msingi, lakini hupaswi kusema Tanzania imebadili msimamo ambao kamwe Tanzania haijawahi kuwa na msimamo huo, sema ni wapi Tanzania ilibadili msimamo wake?joto la jiwe,
..Algeria, Afrika Kusini, Botswana, Msumbiji, Namibia, na Zimbabwe, walipinga Morocco kurudishwa AU.
..Na waliweka pingamizi kwamba Morocco aiche kuikalia kimabavu Sahara Magharibi.
..Tanzania ya leo imepoteza msimamo wa kimapinduzi tuliokuwa kwa miaka mingi tangu enzi za Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
..Hata ktk utetezi wa haki za Wapalestina kuwa na taifa lao tumelegeza msimamo.
Mleta mada hii ni mkenya, alipoona wamebanwa kuhusu usaliti uliofanywa na Kenya wa kukimbia kupiga kura, alitafuta sababu mbali mbali ili kujaribu kuitetea nchi yake, alipoona ameshindwa kabisa kuitetea Kenya, akatumia mbinu ya kuchepusha mada, ndiyo akaingiza hili la MoroccoWengi hamuelewi Tanzania haifungamani na upande wowote. Kupiga kura against ni mfumo huo huo wa kutofungamana na upande wowote. Tanzania haijapiga kura kuutambua mji wa Jerusalem kama makao makuu ya Palestine wala Israel. Mkae mjiulizage kabla ya kuleta mada hapa. Mjiuluze kura ilihusu nini?
Na kwa mantiki hiyo hiyo ujiuluze suala la nfalme wa Morroco kuja nchini lina uhusiano gani na mada uliyoleta? May be kama kiongoz kutoka Israel alikuja nchini akafukuzwa ndio mada yako ingeleta sense.
Uwazi maana yake ni kupiga kura ili ujulikane msimamo wako, au upinge au ukubali, huo ndiyo uwazi kwa sababu umejulikana lile unalolisimamia, usipopiga kura unakuwaje muwazi?, hebu tufafanulie huenda mwenzetu umegundua maana mpya la kuwa waziHongereni Kenya kwa uwazi na maamuzi yenye maslai kwa taifa lenu. Natamani ningezaliwa taifa hilo, kwa sera zao za wazi, democracy inavyotekelezwa, na kueshimu katiba na kueshimu mahakama. Lini tutampata raisi wa Africa mashariki, ili tuchague.
Mleta mada hii ni mkenya, alipoona wamebanwa kuhusu usaliti uliofanywa na Kenya wa kukimbia kupiga kura, alitafuta sababu mbali mbali ili kujaribu kuitetea nchi yake, alipoona ameshindwa kabisa kuitetea Kenya, akatumia mbinu ya kuchepusha mada, ndiyo akaingiza hili la Morocco
Mwenye nguvu mpishe baMlichokipigania mmekipata, nendeni mkanywe chai na Bw. Trump. Mmetia kila hila mpaka mmefanikiwa, mara kufunga ofisi, mara kuzima simu ilimradi msipige kura, khaa.
http://www.nation.co.ke/news/Kenya-US-party-UN-Jerusalem-vote/1056-4241056-11klmrvz/index.html
Nadhani umechanganya hapa. Hebu kagua vizuri kwenye comment yangu kama nimeandika matusi.
Nadhani hii ni dalili ya kukosa hoja na kuanza kuandika vioja tu.
Sera huwa zinaandikwa na siyo kwenye makaratasi tu. Siku hizi unaweza ukasoma kwenye mitandao.
kuhusu swala la Morocco na sahara magharibi issue iko pale pale. Hata kura zingepigwa leo kuhusu ukandamizaji wa morocco tanzania ingepiga kura kuhusu sahara ijitemegee. Je, Watu wa sahara magharibi wao kama wao wanaongea nini?
Nmekupa mfano mmoja tu ambao unaukwepa kwa nguvu zote kuhusu Israel na palestina. JKT kwa ilifundishwa na Israel na hata mfumo wa mafunzo nadhani mpaka leo wanafuata utaratibu wa Israel. Israel ibaki kuwa israel na palestina nayo ibaki kiwa kama palestina. Msimamo wa Tanzania hauyumbishwi unaeleweka. Pamoja na kufungua ubalozi wa israel, msimamo wa Tanzania unabaki palepale. Mji mkuu wa Israel ni Tel Aviv na mji mkuu wa Palestina ni Jerusalem.
Issue ya Morocco na Sahara Magharibi ni vivyo hivyo.
Hapo najaribu kukufumbua macho kidogo. Labda unaissue zako binafsi sasa.
Sasa kama hizo nchi zimepinga na Tanzania haijawahi kupinga au kupendekeza Morocco kufukuzwa OAU, utasemaje kwamba tumelegeza msimamo?, Tanzania haijawahi kupendekeza Morocco kufukuzwa au kukataliwa kurudi OAU, msimamo wa Tanzania ni kwamba zote kati ya Morocco na West Sahara zitambuliwe na kuwa wanachama wa AU wakati mazungumzo yanaendelea, kama hizo nchi ulizotaja zina msimamo tofauti na huu wetu, hilo ni lao kwa sababu kila nchi ipo huru kujiamulia lolote katika diplomasia ya kimataifa, inaonekana wewe msimamo wako ni kama wa nchi hizo, unaweza kushauri na kupendekeza Tanzania kubadili msimamo wake kwa kutoa sababu za msingi, lakini hupaswi kusema Tanzania imebadili msimamo ambao kamwe Tanzania haijawahi kuwa na msimamo huo, sema ni wapi Tanzania ilibadili msimamo wake?
Sina uhakika kama unatatizo la kuelewa lugha au uwezo wako wa kuelewa mambo ndiyo shida, nimekuambia Tanzania msimamo wetu tangu enzi za Nyerere katika swala la Morocco vs West Sahara ni kwamba nchi zote hizi mbili zitambulike na zipewe uanachama OAU ili mazungumzo ya kufikia uhuru kamili wa west Sahara yaweze kufanyika, hatukufikia katika hatua ya kuwatenga na kuifukuza Morocco, huo ndiyo uliokuwa msimamo wa Africa na Tanzania, huu unaousema wewe haujawahi kuwa msimamo wa Tanzania hata siku moja, ni msimamo wa hizo nchi ulizozitaja(kama ni kweli huo ndiyo msimamo wao), pia ndiyo msimamo wako wewe binafsi...unachofanya wewe ni kucheza-cheza tu na maneno.
..tumepiga kura kuirudisha Morocco AU bila kuwalazimisha kuacha kuikalia kimabavu Sahara Magharibi.
..kweli kila nchi ina msimamo wake, na sisi msimamo wetu ulikuwa ni kupokea "zawadi" toka Morocco na kuwatosa Sahara Magharibi.
..Baadhi yetu tulipata kumsikia Mwalimu Nyerere akisema wa-Tanzania hawako tayari kuuza utu wao kwa kipande cha mkate. Hiki kilichotokea ktk kura ya Morocco kwa baadhi yetu ni kwenda kinyume na msimamo wa Baba wa Taifa.
Nimejaribu kupitia hiyo comment #63 niweze kujiridhisha kama nimetoa lugha chafu za matusi ili niweze kuomba msamaha kwako lakini nimekuta maelezo ya kawaida kabisa. Labda ungenieleza ni neno gani nimeandika na umetafsiri kuwa ni tusi ili nikupatie ufafanuzi...rejea post yako #63 halafu urudi kuniambia kama hakuna mahali ulitumia lugha zisizofaa dhidi yangu.
..lakini pia naelewa wako baadhi ya ndugu zetu ktk nafasi kubwa kabisa hawaifahamu vizuri lugha yetu ya Kiswahili na hivyo kupelekea kutoa lugha na matamshi yasiyofaa wakati mwingine.
..tutaipinga vipi Morocco wakati tumeshapokea "zawadi"? tungekuwa na chembe ya msimamo dhidi ya Morocco tungeungana na Zimbabwe, Msumbiji, etc kupinga Morocco kurudishwa AU.
..historia ya JKT kuwa ilianzishwa kwa msaada, na kufuata mfumo wa wa-Israeli, naifahamu. Lakini pamoja na historia hiyo tulivunja mahusiano ya kidiplomasia na Israel kupinga uvamizi wao ktk ardhi ya Waarabu.
..sababu zilizotufanya tuvunje mahusiano na Israel bado zipo palepale, hakuna kilichobadilika. kilichobadilika ni huku kwetu ambapo sasa tuna viongozi waliamua kuachana na misingi ya kupigania haki popote duniani.
sasa hivi Tz tunaendekeza zaidi "zawadi" na kuomba-omba. Nakumbuka alikuja Waziri Mkuu wa Ethiopia na bila aibu kwamba wao ni masikini kutuzidi tukaanza kumuomba-omba.