Watanzania walivyo wanafiki, makelele ya Palestina ilhali wana uswahiba na mkoloni Morocco

Watanzania walivyo wanafiki, makelele ya Palestina ilhali wana uswahiba na mkoloni Morocco

..siyo kweli.

..Morocco walibembelezwa sana waruhusu wananchi wa Sahara Magharibi wapige kura ya maoni.

..uamuzi wa kuwapa Sahara Magharibi uanachama wa OAU ulikuwa ukiahirishwa ikitarajiwa kwamba Morocco watalegeza msimamo wao na kuruhusu kura ya maoni.

..baadaye OAU ililazimika kuipa uanachama Sahara Magharibi na Polisario walikalia kiti chao nadhani ktk mkutano ambao Mwalimu Nyerere alikuwa amechaguliwa kuwa Mwenyekiti. siku hiyo Morocco wakatimka OAU na wakipinga uanachama wa Sahara Magharibi.

..Kwa hiyo ni kweli Morocco hawakufukuzwa OAU, walijitoa wenyewe. Lakini wapo wengi wanaoamini kwamba yalifanyika makosa kuwarudisha Morocco ktk AU huku wakiwa hawajabadilisha msimamo wao kuhusu Sahara Magharibi.

..Zaidi, tangu wamerudishwa AU, Morocco wameendelea kugomea juhudi za usuluhishi za AU kuhusu mgogoro baina yao na Sahara Magharibi.
Sasa ndiyo maana halisi ya kuwepo na mazungumzo, ni muhimu sana kwa Morocco kurudishiwa uanachama bila masharti yoyote yale ili mazungumzo yaweze kufanyika ikiwemo hayo masharti unayoyataka Morocco wayatimize, kumbuka kuwa na misimamo mikali kabla ya kufika ktk meza ya mazungumzo ni kikwazo cha mazungumzo, kumbuka jinsi Makaburu walivyokuwa wanampa masharti Nelson Mandela ili waweze kumuachia, kwamba aseme kwamba hatojihusisha tena na siasa akiwa huru, Mandela aliwajibu kwamba, hilo liwe miongoni mwa ajenda za mazungumzo akishakua huru.

Morocco kujitoa OAU hakukuwa kwasababu walipewa masharti yoyote, kwamba kwasababu ya kushindwa kuyatekeleza masharti hayo ndiyo sababu ya kujitoa, kwahiyo hawawezi kurudi hadi watimize hayo masharti, sio hivyo hata kidogo, walijitoa bila masharti na wanastahili kurudishwa bila masharti yoyote yale, ninarudia tena, kitendo cha Morocco kurudi, kinafungua ukurasa wa mazungumzo, kama wasingejitoa huenda hadi leo mzozo huu ungekuwa umefikia sehemu nzuri sana.

Africa na hizo nchi zinazopinga kurudishwa kwa Morocco ili mazungumzo yaendelee, zimefanya nini ktk kipindi chote hiki cha Morocco kuwa nje ya AU, ktk kuisaidia West Sahara kupata Uhuru?, je wamepeleka jeshi ili kuitoa Morocco kwa nguvu au japo kuwapa trainings na financial support kama tulivyofanya Tanzania huko kusini mwa Africa?, au ni kupinga Morocco wasirudishwe AU tu?
 
Viongozi wa Tanzania wanatutia aibu sana Watanzania, ya kwao yamewashinda halafu wanarukia ya mashariki ya mbali! Yanayofanyika huko mashariki ya mbali kati ya Israel na Palestine ni sawa na haya yanayofanyika huku Tanganyika dhidi Zanzibar
Tulia kwanza upate uzoefu. Hapa ni dhahili wewe ni mkenya mabaye huna hoja yoyote.
upload_2017-12-27_11-2-56.png



upload_2017-12-27_11-3-43.png
 
Hivi umesoma ulichokiandika? Nimekueleza masuala mengine ni ya kiusalama zadi. Nakusihi ufungue thread uweke dukuduku lako hili juu ya ethiopia maana tunachoongelea hapa ni tofauti kabisa na mada unayotaka kuizalisha.
Kwanini usiazishe uzi kuhusu Ethiopia na Tanzania ili tukutoe tongotongo?
Hapa jikite kwenye mada. Kama umeelewa sema umeelewa.
Nakuusihi suala la ethiopia liache kwanza kwa sasa isiwe issue ya kujifichia. Wenzako "Wakenya" wanajitahidi sana kuhakikisha wanaichafua TZ kwenye mitandao. Lakini bahati nzuri sisi wazalendo wa TZ tutapambana nao kuhakikisha via hivi vya kiuchumi tunaibuka washindi.

..katika hili tumejichafua wenyewe.

..kwani Wakenya walitushikia bunduki tupige kura Morocco warudi AU?

..hata Mzee Mugabe rafiki yetu ambaye tumekuwa naye ktk harakati nyingi alishangazwa na kura yetu.

..Nauheshimu uamuzi wako wa kutetea kura hiyo. Lakini mimi kwa mtizamo wangu naamini tulikosea.
 
..katika hili tumejichafua wenyewe.

..kwani Wakenya walitushikia bunduki tupige kura Morocco warudi AU?

..hata Mzee Mugabe rafiki yetu ambaye tumekuwa naye ktk harakati nyingi alishangazwa na kura yetu.

..Nauheshimu uamuzi wako wa kutetea kura hiyo. Lakini mimi kwa mtizamo wangu naamini tulikosea.
Tumejichafua kwa mtazamo wa nani? Au unadhani mtazamo wako ndio mtazamo wa wana diplomasia waliobobea.
Soma hapo juu ndug joto la jiwe amekupatia somo. Ubaya issue unayoionesha hapa ni kukosa point ya maana na kubaki kuonge maneno negative pekee bila kuonesha point yako ya maana. Umeulizwa ni lini Tanzania imekataa Morocco kuwepo Au? Huna jibu? Je, ni nini Tanzania kuhusu uanachama wa Morocco Au? Huna jibu.
Sasa kama huelewi chochote ni kitu kipi kinakupa kiburi cha kuongea Negatives juu ya Tanzania? kama wewe siyo mpinzani wa nchi (Mkenya) lengo lako ni kuichafua nchi tu pasipo sababu?
 
..katika hili tumejichafua wenyewe.

..kwani Wakenya walitushikia bunduki tupige kura Morocco warudi AU?

..hata Mzee Mugabe rafiki yetu ambaye tumekuwa naye ktk harakati nyingi alishangazwa na kura yetu.

..Nauheshimu uamuzi wako wa kutetea kura hiyo. Lakini mimi kwa mtizamo wangu naamini tulikosea.
Ndiyo maana ya kuwa na uhuru wa kimawazo, na katika demokrasia ya kweli lazima kuwe na mawazo na mitazamo tofauti, lakini ni muhimu walio wengi wakaachwa wawakilishe walio wachache, katika hili la Morocco, nchi nyingi na watu wengi Africa wana mawazo na misimamo tofauti na wewe, kwahiyo huna budi kukubaliana na hali hiyo, ila ni jambo zuri kuzungumza hisia zako kama hizi.
 
Tanzania haijawahi kutishwa na nchi yoyote duniani, waambie wabishe hodi nyumba ya jirani ndiye anayetishwa na kutishika.
Akili za Trump hazina tofauti na za watoto wetu wa kiume, jinga kabisa...
Hakuna Rais anayedharauliwa duniani kama Trump, the guy is a dickhead, zuzu kabisa...
 
..katika hili tumejichafua wenyewe.

..kwani Wakenya walitushikia bunduki tupige kura Morocco warudi AU?

..hata Mzee Mugabe rafiki yetu ambaye tumekuwa naye ktk harakati nyingi alishangazwa na kura yetu.

..Nauheshimu uamuzi wako wa kutetea kura hiyo. Lakini mimi kwa mtizamo wangu naamini tulikosea.
Naisapoti hii point yako.inashangaza kwa serikali ya tanzania kukataa jerusalem kua mji wa waisraeli.spika alikubali lakini hawa viongoz wengine sijui wanawakilishwa na nani? Kama kila mtanzania angepiga kura ya maoni naamini wengi wangekua upande wa spika.kwa jambo hili kenya angalao walifanya la maana..eti tuna sapot moroco halaf unampinga mwisrael! Uendawazimu huu
 
Naisapoti hii point yako.inashangaza kwa serikali ya tanzania kukataa jerusalem kua mji wa waisraeli.spika alikubali lakini hawa viongoz wengine sijui wanawakilishwa na nani? Kama kila mtanzania angepiga kura ya maoni naamini wengi wangekua upande wa spika.kwa jambo hili kenya angalao walifanya la maana..eti tuna sapot moroco halaf unampinga mwisrael! Uendawazimu huu
Wewe ndiye unayewakilisha wendawazimu kwa sababu huna unalolijua zaidi ya kudakia vitu juu juu tu.
 
Tia akili kichwani wewe! Huu msimamo wa Tanzania ulikuwepo hata kabla ya Chadema kuundwa. Soma historia ya nchi au kama hujui uliza badala ya kukurupuka na kuonyesha ujuha wako hadharani.

Vichadema kila kitu ni kugeuka geuka tu.Hii mi watu inakera
 
Tia akili kichwani wewe! Huu msimamo wa Tanzania ulikuwepo hata kabla ya Chadema kuundwa. Soma historia ya nchi au kama hujui uliza badala ya kukurupuka na kuonyesha ujuha wako hadharani.
Pambana na hali yako
Kama umeudhika sana kalia pini
 
Ndiyo akili yako ilipoishia baada ya kukosa hoja! Hali yangu iko bomba sana namshukuru Mwenyezi Mungu kwa hilo.

Pambana na hali yako
Kama umeudhika sana kalia pini
 
Ndiyo akili yako ilipoishia baada ya kukosa hoja! Hali yangu iko bomba sana namshukuru Mwenyezi Mungu kwa hilo.
Poa basi acha kulialia mtandaoni
2020 hampati kura yangu ng'oooo!
 
Acha upumbavu wewe mwambie huyo mwizi na fisadi pia muuaji abadili katiba ili Watanzania tusiruhusiwe kumkosoa yeye na Serikali vinginevyo mbele kwa mbele mtindo mmoja

Kwa uchaguzi haramu uliojaa wizi na ubabe ea kutumia silaha hilo wote tunalijua lakini kwenye uchaguzi huru na wa haki chama cha wahuni, wezi, watoa rushwa, wauaji na mafisadi CHALIIIII!!!

Poa basi acha kulialia mtandaoni
2020 hampati kura yangu ng'oooo!
 
Acha upumbavu wewe mwambie huyo mwizi na fisadi pia muuaji abadili katiba ili Watanzania tusiruhusiwe kumkosoa yeye na Serikali vinginevyo mbele kwa mbele mtindo mmoja

Kwa uchaguzi haramu uliojaa wizi na ubabe ea kutumia silaha hilo wote tunalijua lakini kwenye uchaguzi huru na wa haki chama cha wahuni, wezi, watoa rushwa, wauaji na mafisadi CHALIIIII!!!
Nadhani dogo bado upo usingizini. Comment za namna hii zilishapitwa na wakati. Hapa tunajadili issues siyo hisia zako binafsi. Wewe kwa akili zako kabisa tena ukiwa timamu, yaani unategemea msaada toka kwa viongozi wa CCM wakusaidie halafu hapo hapo unawatusi na kuwakejeli!? Unasema unataka aruhusu katiba mpya na wakati huohuo unataka ukipewa katiba mpya uitumie vibaya. Mawazo finyu hayo rafiki. Hatujaona sababu ya maana ya kudai katiba iliyopo inatutosha.
 
Wakristo baadhi huhalalisha dhulma ya Israel dhidi ya wapalestina wakihisi wanamfurahisha Yesu. Hata mngemuwekea Yesu kiwanja yerusalem akija hatakijenga maana hapendi dhulma

Jerusalem ni mji wa Wayahudi tangu enzi za Mfalme Daudi miaka 3300 kabla Mohammed hajazaliwa 570 AD. Waarabu walivamia Jerusalem kama walivyo vamia na kuweka himaya zao Libya, Algeria, Sudan, Niger, wenyeji asilia kama Berberi hawajulikani na hukuna taifa linalowatetea. period.
 
Back
Top Bottom