WaTanzania wanahitaji Mageuzi Makubwa sana - Ni lazima CCM iondoke madarakani

WaTanzania wanahitaji Mageuzi Makubwa sana - Ni lazima CCM iondoke madarakani

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Watanzania tunahitaji mageuzi makubwa sana ili tuondoke hapa tulipokwamishwa,karibia mifumo yote ya uendeshaji nchi imevurugwa na imevurugika na haiwezi kutengemaa ndani ya utawala wa kifalme wa CCM,ni lazima utawala huu uangushwe na kuwekwa kando,
Angalia Bunge, angalia mahakama angangalia jeshi la polisi vyombo hivi vimevurugwa kwa CCM kuweza kuvipenya na kuwekeza mamluki ,wananchi wanaona na kuamini kabisa hukumu za kisiasa hutokea CCM na sio matakwa ya Mahakama na majaji,tuseme Mahakama imetekwa na CCM ?

Angalia bunge hakuna majadiliano yenye tija wala yenye kutia hamu kuyasikiliza kwa mwananchi kufaidika na kinachoendeshwa pale bungeni na kujadiliwa,mbunge limetekwa na CCM?

Polisi ndio usiseme ni uwazi unao onekana kwenye mambo ya kisiasa ,hakuna mikutano,kesi za kisiasa zinaongezeka ,polisi kutumika kuzuia,kuvuruga na kukamata kwenye mikutano,polisi wametekwa na CCM ?

Hapana, anaeonekana anakwenda na kinyume na hukumu na matakwa ya CCM anaondolewa na kama haitoshi hata kufilisiwa na ikiwa haitoshi kufunguliwa kesi ndio CCM ilipovikisha vyombo vyetu,Vyombo vimepoteza uhuru wake ,vinaburutwa.

Kuna madai ya KATIBA kuna madai ya tume huru ,madai ambayo mtawala CCM hataki wala hapendi kuyasikia na hutumia au kaweza vyombo hivyo kuyaviza madai hayo.

Kufanya mikutano ya kisiasa uwepo wake upo ndani ya Katiba au sheria za vyama vya siasa ,itakiwavyo ni kuiarifu polisi tu na hili hata likifanyika polisi hawawajibiki wanazuia kwa madai hali ya usalama .

Bila ya CCM kuondolewa madarakani waTanzania wataendelea kusaga meno na kufikishwa kileleni ,Je tutakuwa kama Somalia Ethiopia ? CCM inaipeleka wapi Nchi hii?
 
Watanzania tunahitaji mageuzi makubwa sana ili tuondoke hapa tulipokwamishwa,karibia mifumo yote ya uendeshaji nchi imevurugwa na imevurugika na haiwezi kutengemaa ndani ya utawala wa kifalme wa CCM,ni lazima utawala huu uangushwe na kuwekwa kando,
Angalia Bunge, angalia mahakama angangalia jeshi la polisi vyombo hivi vimevurugwa kwa CCM kuweza kuvipenya na kuwekeza mamluki ,wananchi wanaona na kuamini kabisa hukumu za kisiasa hutokea CCM na sio matakwa ya Mahakama na majaji,tuseme Mahakama imetekwa na CCM ?

Angalia bunge hakuna majadiliano yenye tija wala yenye kutia hamu kuyasikiliza kwa mwananchi kufaidika na kinachoendeshwa pale bungeni na kujadiliwa,mbunge limetekwa na CCM?

Polisi ndio usiseme ni uwazi unao onekana kwenye mambo ya kisiasa ,hakuna mikutano,kesi za kisiasa zinaongezeka ,polisi kutumika kuzuia,kuvuruga na kukamata kwenye mikutano,polisi wametekwa na CCM ?

Hapana, anaeonekana anakwenda na kinyume na hukumu na matakwa ya CCM anaondolewa na kama haitoshi hata kufilisiwa na ikiwa haitoshi kufunguliwa kesi ndio CCM ilipovikisha vyombo vyetu,Vyombo vimepoteza uhuru wake ,vinaburutwa.

Kuna madai ya KATIBA kuna madai ya tume huru ,madai ambayo mtawala CCM hataki wala hapendi kuyasikia na hutumia au kaweza vyombo hivyo kuyaviza madai hayo.

Kufanya mikutano ya kisiasa uwepo wake upo ndani ya Katiba au sheria za vyama vya siasa ,itakiwavyo ni kuiarifu polisi tu na hili hata likifanyika polisi hawawajibiki wanazuia kwa madai hali ya usalama .

Bila ya CCM kuondolewa madarakani waTanzania wataendelea kusaga meno na kufikishwa kileleni ,Je tutakuwa kama Somalia Ethiopia ? CCM inaipeleka wapi Nchi hii?
Sisiemu itaondokaje wakati hakuna chama mbadala? Na hata kama vipo, vina watu wenye uweledi wa kuongoza serikali na nchi?
 
Sisiemu itaondokaje wakati hakuna chama mbadala? Na hata kama vipo, vina watu wenye uweledi wa kuongoza serikali na nchi?
Kama wenye weledi wameshindwa tujaribu wasio na weledi mbona mambo yanaweza kuwa good tu
 
Sisiemu itaondokaje wakati hakuna chama mbadala? Na hata kama vipo, vina watu wenye uweledi wa kuongoza serikali na nchi?
Hai wanaoongoza Sasa walisomea wapi nanna ya kuongoza nchi. Hebu tuoneshe ni wapi urais unasomewa ili tujue uweledi unaousema. Nchi yoyote ina misingi, Sheria, taratibu na Karina. Hivyo mtu yeyote anapewa kutawala ataongoza Kwa misingi hiyo na siyo weledi wa mtu binafsi. Huwezi kuongoza nchi kwa weledi unaoufikiria wewe.
 
Hai wanaoongoza Sasa walisomea wapi nanna ya kuongoza nchi. Hebu tuoneshe ni wapi urais unasomewa ili tujue uweledi unaousema. Nchi yoyote ina misingi, Sheria, taratibu na Karina. Hivyo mtu yeyote anapewa kutawala ataongoza Kwa misingi hiyo na siyo weledi wa mtu binafsi. Huwezi kuongoza nchi kwa weledi unaoufikiria wewe.
Ahahahahahahaha!!!
 
Ndugu kuna watu wenye weledi sana nchi hii kwenye upinzani na kwenye CCM ila wamekabwa koo na hii CCM. Ninaangalia Zambia mambo yameanza kuwanyookea. Mungu tu aisaidie nchi maana nikiangalia Zimbabwe na ZANU PF kilipoifikisha Zimbabwe kwa kupigana na wapinzani ndio tumefikia hapo. Tanzania tunahitaji mapinduzi ya kisiasa, kifikra na kiuchumi ambayo haya yote CCM imeshindwa kuyaleta na sioni kwamba itaweza kuyaleta. Mungu ibariki Tanzania.
 
Tukipata Katiba Mpya ianishe masuala ya Serikali ya mseto ili sisiemu isijiamulie mambo yetu inavyotaka.
 
Sisiemu itaondokaje wakati hakuna chama mbadala? Na hata kama vipo, vina watu wenye uweledi wa kuongoza serikali na nchi?
Kama ccm imeweza hadi sasa inavuruga taratibu zote za kiutawala, ni chama gani kitashindwa? Ingekuwa ccm imeongoza nchi hii kwa mafanikio, hapo tungekuwa na mashaka na chama kingine kuingia madarakani.
 
Watanzania tunahitaji mageuzi makubwa sana ili tuondoke hapa tulipokwamishwa,karibia mifumo yote ya uendeshaji nchi imevurugwa na imevurugika na haiwezi kutengemaa ndani ya utawala wa kifalme wa CCM,ni lazima utawala huu uangushwe na kuwekwa kando,
Angalia Bunge, angalia mahakama angangalia jeshi la polisi vyombo hivi vimevurugwa kwa CCM kuweza kuvipenya na kuwekeza mamluki ,wananchi wanaona na kuamini kabisa hukumu za kisiasa hutokea CCM na sio matakwa ya Mahakama na majaji,tuseme Mahakama imetekwa na CCM ?

Angalia bunge hakuna majadiliano yenye tija wala yenye kutia hamu kuyasikiliza kwa mwananchi kufaidika na kinachoendeshwa pale bungeni na kujadiliwa,mbunge limetekwa na CCM?

Polisi ndio usiseme ni uwazi unao onekana kwenye mambo ya kisiasa ,hakuna mikutano,kesi za kisiasa zinaongezeka ,polisi kutumika kuzuia,kuvuruga na kukamata kwenye mikutano,polisi wametekwa na CCM ?

Hapana, anaeonekana anakwenda na kinyume na hukumu na matakwa ya CCM anaondolewa na kama haitoshi hata kufilisiwa na ikiwa haitoshi kufunguliwa kesi ndio CCM ilipovikisha vyombo vyetu,Vyombo vimepoteza uhuru wake ,vinaburutwa.

Kuna madai ya KATIBA kuna madai ya tume huru ,madai ambayo mtawala CCM hataki wala hapendi kuyasikia na hutumia au kaweza vyombo hivyo kuyaviza madai hayo.

Kufanya mikutano ya kisiasa uwepo wake upo ndani ya Katiba au sheria za vyama vya siasa ,itakiwavyo ni kuiarifu polisi tu na hili hata likifanyika polisi hawawajibiki wanazuia kwa madai hali ya usalama .

Bila ya CCM kuondolewa madarakani waTanzania wataendelea kusaga meno na kufikishwa kileleni ,Je tutakuwa kama Somalia Ethiopia ? CCM inaipeleka wapi Nchi hii?
Ndio, tunahitaji kupigana ka-vita flani na CCM haitachukua muda kutakuwa na muafaka na watanzania tutaheshimiana.
 
sasa ikishaondoka baada ya hapo anaongoza nani...? chama gani na nani kwa kuanzia?...

issue sio kutoka CCM issue ni CCM ikitoka amejipanga kuchungua dola au tunategemea hivi vikundi vya wahuni vinavyojiita upinzani..?
 
Kama ccm imeweza hadi sasa inavuruga taratibu zote za kiutawala, ni chama gani kitashindwa? Ingekuwa ccm imeongoza nchi hii kwa mafanikio, hapo tungekuwa na mashaka na chama kingine kuingia madarakani.
Chama gani duniani kiliwahi kuongoza kwa mafanikio? Kama viliongoza kwa mafanikio kwanini vimekuwa vinaondolewa madarakani? Ni CCM na Chama cha Kikomonisti cha China ndivyo havijawahi kuondolewa madarakani kwasababu vimeleta mafanikio makubwa kwenye nchi zao!
 
Msingi wa kwanza na muhimu ni kupata katiba mpya ambayo atakaye kalia kiti awe anatumika kwa ajili ya watanzania na sio kwa ajili ya chama , tumbo na madaraka kama ilivyo sisiyemu
 
Chama gani duniani kiliwahi kuongoza kwa mafanikio? Kama viliongoza kwa mafanikio kwanini vimekuwa vinaondolewa madarakani? Ni CCM na Chama cha Kikomonisti cha China ndivyo havijawahi kuondolewa madarakani kwasababu vimeleta mafanikio makubwa kwenye nchi zao!

Ccm huwa mna matamanio ya kuwa chama cha kikomunisti cha China, lakini ukweli ni kuwa ccm sio kama chama cha kikomunisti cha China, na wala hakitakaa kifike huko. Kwani chama cha ANC na Zanu-Pf ya Zimbabwe vimewahi kuondolewa madarakani? Navyo ni kama hicho cha kikomunisti cha China, au unaandika tu kwakuwa una MB za chuo. Ccm hapa bado mko kwenye elimu ya watu kunawa mikono wakitoka chooni, ndio mtaongelea chama cha mabavu cha kikomunisti huko China?
 
Ccm huwa mna matamanio ya kuwa chama cha kikomunisti cha China, lakini ukweli ni kuwa ccm sio kama chama cha kikomunisti cha China, na wala hakitakaa kifike huko. Kwani chama cha ANC na Zanu-Pf ya Zimbabwe vimewahi kuondolewa madarakani? Navyo ni kama hicho cha kikomunisti cha China, au unaandika tu kwakuwa una MB za chuo. Ccm hapa bado mko kwenye elimu ya watu kunawa mikono wakitoka chooni, ndio mtaongelea chama cha mabavu cha kikomunisti huko China?
CCM na Chama cha Kikomunisti cha China ni kitu kimoja. Huu ni ukweli mchungu sana kwenu.
 
Back
Top Bottom