Watanzania wanaokuboa

Bwa ha hah..Watu wa bara bwana, sasa wewe ktk your right mind, umeshawahi lini kusikia mwanamke akiitwa Abdulhalim bin Mualem ?

Wamejaa tele pale Magomeni kwa Macheni. Bahati mbaya sana asilimia kubwa wametokea Pemba. Maduka yamefilisika sasa wameanza biashara nyingine. Njoo siku moja uwaone.
 
Kwanini uulize maswali third party wakati mhusika nipo?  Tena nipo tayari kufanya demonstation kwenye sample 'hai' free of charge?

Naogopa kwa kuwa msingi ya dini yangu hayaniruhusu kutoka nje ya ndoa yangu. Mke wangu ananitosha sana.
 
jamani jamani jamani kama tutaanza kuwa na hates za namna hii sisi wenyewe naamini ndo maana wakoloni walitutawala bila shida
kwa imani yangu mpemba, muunguja ,( sijui wote ni wazanziberi ) mtu wa bara sisi wote ni ndugu na Africa ni moja
Ndugu yetu Masanilo yuko huko mbona anaishi kwa amani na upendo huku akifurahia upepo mwanana wa bahari ....na nchi kavu
 
Du hapa ndani leo hapajatulia kabisa!!!!!
 
tunajidhalilisha kwa matusi tunayoporomoshea mpaka kwa wazazi wetu, huu sio u great thinker ni u great stinker
 
Jamani wapwa,achaneni naye huu,tunaharibu sifa ya wapwa na mabinamu.mchunieni basi aendelee peke yake.
 
Hivi mode mara ya mwisho ku bani mtu ilikuwa lini? na kwa muda gani? je alijirekebisha? and if yes sasa mnampango gani?
 
Ha hiyo iliyotapakaa kwenye mdomo kwenye avatar yako vipi? Ile kitu ilikuchefua ukatapika?
Mchumba,sasa nakuomba achana naye.Nakupenda na singetaka kuona ukichafuliwa au ukiwepo kwenye viwango duni bila kujijua.plzzz,achana nae.
 
Wrong thread for me!!

Thought those exchanging '@@@' are great thinkers kumbe not!!!
 
1:Ma Sophia Simba

2:Julius Nyani Ngabu

3: painkiller

4:Mashori wasiojua kulipuka pamba

5: Na wewe unaesoma haya.....
 
Wanaovuta sigara kwenye public places pasipo kujali afya za wenzao. Nawachukia sana tena sana narudia tena nawachukia sana.
 
wanamuziki wabongo tatizo exposure ndogo.

eeehsijui, ila hapa kenye huu ukurasa kw ajuu hapo kuna sehemu wameeka bongo flavor...ila sina uhakika kama ndo wanamuziki wa tz au lah...

chek it might be of help, i don knoo though
 
Boss na JF sorry nililenga kuumujibu Eqlypz alipouliza hivi TZ kuna wanamuziki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…