Watanzania wanaosoma Urusi huwa wanachezewa akili na Warusi?

Watanzania wanaosoma Urusi huwa wanachezewa akili na Warusi?

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,610
Nazungumzia watanzania waliosoma Urusi kwakuwa ni hao ambao ninawafahamu vizuri pengine na wa nchi nyingine wapo hivyo pia lakini sifahamu.

Kikubwa ni kwamba wasomi wengi waliosoma nchini Urusi wakirudi na wakarudi nchini wengi wao huwa wanakuwa hawana akili nzuri, nimefatilia hilo kwa kipindi kirefu sana.

Nina baba yangu mdogo alisoma Urusi kwa kipindi cha kipindi cha miaka saba aliporudi nchini amekuwa mlevi wa kupindukia haeleweki kabisa mambo anayoyafanya wakati alipokuwa akiondoka alishakuwa daktari mzuri tu.

Mwingine ni mjomba wa rafiki yangu wa karibu, yeye siku ambayo mjomba wake anafika airport walimshangaa kwakuwa jinsi walivyomkuta hawakutegemea kabisa alikuwa kama chizi chizi tu na muda huu ninapoandika thread hii mjomba wa rafiki yangu huyu ni kichaa kabisa.

Ni wengi sana ninaowafahamu walienda kusoma Urusi wakiwa na akili nzuri tu na waliporudi wamerudi wakiwa hawana akili timamu kabisa yaani wanakuwa hawaeleweki eleweki kabisa.

Nikawa nafikiria pengine wakifika nchi za watu wanaiga sana tabia ya kunywa pombe kwakuwa wenzetu wa Urusi wanakunywa sana pombe hivyo pombe hizo zinawaathiri nikagundua kuwa sikweli kwakuwa hata Ujerumani ni wanywaji wazuri sana wa pombe lakini watanzania wanaosoma huko hawapo kama ndugu zetu (wengi) walisoma Urusi.

Je? Warusi huwa wanachezea akili za Watanzania? hili tatizo lipo kwa watanzania tu?
 
Maisha ya urusi ni magumu sana na wengi wao wakienda huko wanaendekeza pombe matokea yake ndio hayo. Ujerani huwezi kulinganisha life lake na la urusi, urusi mwanafunzi kulala na njaa ni kitu cha kawaida. Na pombe nchini urusi ni bei rahisi sana kuliko hata maji kwa hio wengi wanashindwa kununua chakula wananunua pombe..
Prove me wrong.. Hata mimi nimehadithiwaa
 
Nazungumzia watanzania waliosoma Urusi kwakuwa ni hao ambao ninawafahamu vizuri pengine na wa nchi nyingine wapo hivyo pia lakini sifahamu.

Kikubwa ni kwamba wasomi wengi waliosoma nchini Urusi wakirudi na wakarudi nchini wengi wao huwa wanakuwa hawana akili nzuri, nimefatilia hilo kwa kipindi kirefu sana.

Nina baba yangu mdogo alisoma Urusi kwa kipindi cha kipindi cha miaka saba aliporudi nchini amekuwa mlevi wa kupindukia haeleweki kabisa mambo anayoyafanya wakati alipokuwa akiondoka alishakuwa daktari mzuri tu.

Mwingine ni mjomba wa rafiki yangu wa karibu, yeye siku ambayo mjomba wake anafika airport walimshangaa kwakuwa jinsi walivyomkuta hawakutegemea kabisa alikuwa kama chizi chizi tu na muda huu ninapoandika thread hii mjomba wa rafiki yangu huyu ni kichaa kabisa.

Ni wengi sana ninaowafahamu walienda kusoma Urusi wakiwa na akili nzuri tu na waliporudi wamerudi wakiwa hawana akili timamu kabisa yaani wanakuwa hawaeleweki eleweki kabisa.

Nikawa nafikiria pengine wakifika nchi za watu wanaiga sana tabia ya kunywa pombe kwakuwa wenzetu wa Urusi wanakunywa sana pombe hivyo pombe hizo zinawaathiri nikagundua kuwa sikweli kwakuwa hata Ujerumani ni wanywaji wazuri sana wa pombe lakini watanzania wanaosoma huko hawapo kama ndugu zetu (wengi) walisoma Urusi.

Je? Warusi huwa wanachezea akili za Watanzania? hili tatizo lipo kwa watanzania tu?

Hivi mtu ukiwa unapiga mitungi daily wewe ni chizi? Mbona wavuta sigara daily maofisini hamuwaiti machizi? Acha tupige mitungi hadi kuchee,
 
inashangaza sn.pia naishangaa s/kali ytu,kwa kua inapoteza pesa nyingi kuwasomesha watu wke
rkn mwosho wa cku hasara.aifanyi uchunguzi,aijiuri kwa nn hyu karudo yko so!ni ttzo kwakweli.roho inauma kupoteza maichinia,maprofesa nk.
 
ukienda unajifanya pampula umezoea mapombe ya tbl... kule kuna spirt tu, lazima zikufundishe adabu!!! wanaokua hivyo asilimia 90 ni wanywaji wa bia na kwa hali ya hewa ya kule kukaa ndan na katon zako za pombe ni kawaida.... so mpaka umalize masomo lazima akiri zingine uziache kwenye chupa
 
ukienda unajifanya pampula umezoea mapombe ya tbl... kule kuna spirt tu, lazima zikufundishe adabu!!! wanaokua hivyo asilimia 90 ni wanywaji wa bia na kwa hali ya hewa ya kule kukaa ndan na katon zako za pombe ni kawaida.... so mpaka umalize masomo lazima akiri zingine uziache kwenye chupa
baridi ya kule ni minus 60
 
Nazungumzia watanzania waliosoma Urusi kwakuwa ni hao ambao ninawafahamu vizuri pengine na wa nchi nyingine wapo hivyo pia lakini sifahamu.

Kikubwa ni kwamba wasomi wengi waliosoma nchini Urusi wakirudi na wakarudi nchini wengi wao huwa wanakuwa hawana akili nzuri, nimefatilia hilo kwa kipindi kirefu sana.

Nina baba yangu mdogo alisoma Urusi kwa kipindi cha kipindi cha miaka saba aliporudi nchini amekuwa mlevi wa kupindukia haeleweki kabisa mambo anayoyafanya wakati alipokuwa akiondoka alishakuwa daktari mzuri tu.

Mwingine ni mjomba wa rafiki yangu wa karibu, yeye siku ambayo mjomba wake anafika airport walimshangaa kwakuwa jinsi walivyomkuta hawakutegemea kabisa alikuwa kama chizi chizi tu na muda huu ninapoandika thread hii mjomba wa rafiki yangu huyu ni kichaa kabisa.

Ni wengi sana ninaowafahamu walienda kusoma Urusi wakiwa na akili nzuri tu na waliporudi wamerudi wakiwa hawana akili timamu kabisa yaani wanakuwa hawaeleweki eleweki kabisa.

Nikawa nafikiria pengine wakifika nchi za watu wanaiga sana tabia ya kunywa pombe kwakuwa wenzetu wa Urusi wanakunywa sana pombe hivyo pombe hizo zinawaathiri nikagundua kuwa sikweli kwakuwa hata Ujerumani ni wanywaji wazuri sana wa pombe lakini watanzania wanaosoma huko hawapo kama ndugu zetu (wengi) walisoma Urusi.

Je? Warusi huwa wanachezea akili za Watanzania? hili tatizo lipo kwa watanzania tu?

Mimi Nafikiria ni Tatizo la Mtu mwenyewe na Sio warusi. Mimi nawaelewa wengi waliosoma na Hivi sasa wanamafanikio ya kutosha nakutajiaa.
1. Kuna Daktari wa Wanawake yuko Mnazi mmoja Zanzibar anaitwa Dr. Juma ambaye hata Muhimbili wanamtumia yeye wiki mara mo anakwenda Muhimbili.
2. Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar vile vile Kasoma Urusi Jina Dr. Garu
3. Dr. Talib Ali yeye kamaliza Urusi, kafanya kazi Muhimbili miaka miwili, baadaye kaenda Amerika kasoma na hivi sasa kaanzisha Detal clinik ya kwake mwenyewe karibu na washington nenda inaitwa AVATAR Dental clinic
Na wengi ninawaelewa
4. Mimi mwenyewe nimesoma Urusi, Baadaye nimefanya kazi Tanzania miaka 5, na Hivi sas niko Ujarumani na nafanya kazi kwenye Consulting Company kwa miaka 10 hivi sasa kama Structural Engineer

Tatizo liko kwo wenyewe
 
Tatizo hizo courses wanazoenda kusomea huko Russia zinahitaji watu wenye IQ ya kutosha, sisi watanzania na IQ zetu za wastani hizo course inatubidi tukazisomee kwingine kama America, na Europe.
Wale jamaa hawana time na kumharibia mtu,eti waanze kukuchezea akili. bali sisi watz na kimbelembele chetu.
 
Mimi Nafikiria ni Tatizo la Mtu mwenyewe na Sio warusi. Mimi nawaelewa wengi waliosoma na Hivi sasa wanamafanikio ya kutosha nakutajiaa.
1. Kuna Daktari wa Wanawake yuko Mnazi mmoja Zanzibar anaitwa Dr. Juma ambaye hata Muhimbili wanamtumia yeye wiki mara mo anakwenda Muhimbili.
2. Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar vile vile Kasoma Urusi Jina Dr. Garu
3. Dr. Talib Ali yeye kamaliza Urusi, kafanya kazi Muhimbili miaka miwili, baadaye kaenda Amerika kasoma na hivi sasa kaanzisha Detal clinik ya kwake mwenyewe karibu na washington nenda inaitwa AVATAR Dental clinic
Na wengi ninawaelewa
4. Mimi mwenyewe nimesoma Urusi, Baadaye nimefanya kazi Tanzania miaka 5, na Hivi sas niko Ujarumani na nafanya kazi kwenye Consulting Company kwa miaka 10 hivi sasa kama Structural Engineer

Tatizo liko kwo wenyewe
Hongera sana ndugu, nakusihi usifikirie hata siku moja kurudi huku, maana unaweza kuja chakazwa virungu na policcm kama alivyofanya Prof.Lipumba.
 
Back
Top Bottom