Mmmh nina cousin angu yeye amesoka india miaka karibia 6 lakini mbona yuko fresh
Utakuwa umejibu ili tujue kuwa una mtu aliyesoma India, Uzi unazungumzia Putin wewe unaongea Pilipili.Mmmh nina cousin angu yeye amesoka india miaka karibia 6 lakini mbona yuko fresh
Ha ha mkuuNa ww utakua umesomea urusi.. naona Dish lishacheza
Ha ha mkuu kwa haja gani mkuu.Utakuwa umejibu ili tujue kuwa una mtu aliyesoma India, Uzi unazungumzia Putin wewe unaongea Pilipili.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata putin simuelewielewi!!!
umekurupuka....isome thread vizuri.Mmmh nina cousin angu yeye amesoka india miaka karibia 6 lakini mbona yuko fresh
hapana walozi ila kuna Vladimir vodkaHa ha najua hila mtoa mada anajaribu kusema urusi kuna walozi au?