Watanzania wanatafuta Kenya na Wakenya wanatafuta Afrika Kusini

Watanzania wanatafuta Kenya na Wakenya wanatafuta Afrika Kusini

hii inaitwa coolant fluid.

baada ya kichapo kila kona mkenya mmoja kaenda kutengeneza upupu wake ajiliwaze.

hamshangai ni kwanini tunajua mengi kuhusu maisha yenu, mitaa yenu, elimu yenu, siasa yenu!!!! [emoji3][emoji3]
soon mtajua kwanini tunawatazama zaidi, nyinyi mmekomaa na SA[emoji16][emoji16][emoji16]amabayo hamuingii hata nusu.
 
ndio kizungu yao[emoji38][emoji38][emoji38]
"No wander" ha ha ha, kizungu cha kinyan'gau.
Afadhali hiyo ambayo labda ni typo ya neno moja tu kwenye aya nzima. Kama nyie ni wataalamu wa lugha ya mabeberu mbona mmejitia hamnazo kuhusu hiki kizungumkuti cha kitz, ambacho kinafanana sana na cha Jiwe?
I think you have undergone mad!
Ulichopost Ni mwendelezo wa upumbavu wa nyang'aus!
Go Tanzania [emoji1241] go baby!!
 
Afadhali hiyo ambayo labda ni typo ya neno moja tu kwenye aya nzima. Kama nyie ni wataalamu wa lugha ya mabeberu mbona mmejitia hamnazo kuhusu hiki kizungumkuti cha kitz, ambacho kinafanana sana na cha Jiwe?
hatujawahi kutilia mkazo kiingereza, ni lugha ya 3 ya mawasiliano kati ya watz.

tunawashangaa nyinyi nyumba ndogo ya muingereza, kwanini mnakosea kuandika lugha nambari moja ya mawasiliano nchini kwenu!!!!
 
Afadhali hiyo ambayo labda ni typo ya neno moja tu kwenye aya nzima. Kama nyie ni wataalamu wa lugha ya mabeberu mbona mmejitia hamnazo kuhusu hiki kizungumkuti cha kitz, ambacho kinafanana sana na cha Jiwe?
Unamtetea nyan'gau kilaza?
 
Sina Covid
Lazima tuwa google kwani ujui waujumu wa tz ni wakenya na mabeberu ambao wengi wamejificha Kenya na kuwekeza Kenya mm mwenyewe naijua Nairobi kuliko hata wakenya yaani Mtanzania kupotea Nairobi ni ujinga mtupu ndiyo maana wakenya mkipost picha za Nairobi na kuficha slum kwa kuzi crop watz tunajua
 
Uganda, Tanzania na Somalia wanatusearch sisi ilhali sisi hatuna shughuli na wao. Hahaha
Kenya tunaijua nje ndani , ndiyo maana tuliwaambia kdf hikileta ujinga na tz sisi tutakuwa tunapiga Kenya kama nyumbani, Kenya ni kama Mke wetu tunamjua siri zake zote
 
Ndio hii evidence number 1. Huyu Mtanzania tayari ameshakiri kuwa huwa anawaza kuhusu bendera yetu. Mimi sijawahi kuwaza kuhusu bendera ya Tanzania na sitawahi kupoteza muda wangu kufanya hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mm najua unawaza nini[emoji23][emoji23]
 
hatujawahi kutilia mkazo kiingereza, ni lugha ya 3 ya mawasiliano kati ya watz.

tunawashangaa nyinyi nyumba ndogo ya muingereza, kwanini mnakosea kuandika lugha nambari moja ya mawasiliano nchini kwenu!!!!
Hivi, huwa najiuliza tu pamanganate mnaitaje kwa Kiswahili?
 
Hivi, huwa najiuliza tu pamanganate mnaitaje kwa Kiswahili?
pamanganate inaitwa pamanganate hivyo, sababu imebatizwa jina na aliye igundua.

halafu majina ya kibiologia na kikemia sio kiingereza,hata waingereza yanawapa tabu kukariri, usikariri.
angalia hii, ukielewa pamanganate ni kitu gani utaelewa ni kwanini kina formular yake. sio hilo jina ambalo linatamkwa hata na mkikuyu hovyo hovyo tu kama kakabwa na mfupa.

hapo chini ni computer ya kichina inatumika shuleni. View attachment 1536345
 
pamanganate inaitwa pamanganate hivyo, sababu imebatizwa jina na aliye igundua.

halafu majina ya kibiologia na kikemia sio kiingereza,hata waingereza yanawapa tabu kukariri, usikariri.
angalia hii, ukielewa pamanganate ni kitu gani utaelewa ni kwanini kina formular yake. sio hilo jina ambalo linatamkwa hata na mkikuyu hovyo hovyo tu kama kakabwa na mfupa.

hapo chini ni computer ya kichina inatumika shuleni. View attachment 1536345
Majina ya kemia na biologia sio kingereza...ni nini? Titration mnaitaje? Kemia ni utohozi wa chemistry. Kiswahili ni lugha dhaifu na maskini sana mkuu.
 
Majina ya kemia na biologia sio kingereza...ni nini? Titration mnaitaje? Kemia ni utohozi wa chemistry. Kiswahili ni lugha dhaifu na maskini sana mkuu.
kiswahili ni lugha masikini sawa inaendela kukua na kutanuka pia. lakini ni symbol kuu ya nchi Tanzania.

moja ya sababu kwanini inakuwa ni rahisi kueleweka chemia ni kutoholewa kwa maneno yake kutoka lugha mama ya kisayansi.

kwa taarifa yenu tu, wakati mnahangaika kujifunza kiingereza tokea kindergarten, sisi tuna ratiba ya kufuta mtaala wa kiingereza kama somo la kufundishia masomo, ila lugha hiyo iwe somo kama mengine.

Tanzania miaka 50 ijayo inatarajiwa kuwa miongoni mwa mataifa makubwa duniani, hatuwezi kosa identity muhimu kama lugha.
 
kiswahili ni lugha masikini sawa inaendela kukua na kutanuka pia. lakini ni symbol kuu ya nchi Tanzania.

moja ya sababu kwanini inakuwa ni rahisi kueleweka chemia ni kutoholewa kwa maneno yake kutoka lugha mama ya kisayansi.

kwa taarifa yenu tu, wakati mnahangaika kujifunza kiingereza tokea kindergarten, sisi tuna ratiba ya kufuta mtaala wa kiingereza kama somo la kufundishia masomo, ila lugha hiyo iwe somo kama mengine.

Tanzania miaka 50 ijayo inatarajiwa kuwa miongoni mwa mataifa makubwa duniani, hatuwezi kosa identity muhimu kama lugha.
Acha zako. Hamna lugha inayoitwa kisayansi. Wasayansi ni kina nani? Sayansi inatumia lugha zinazoexist kujiexpress. Lugha kama kigiriki, kiingereza nk.

Kiswahili nayo utohozi haungalikuwepo sijui ingekuwa lugha aina gani ...
 
Acha zako. Hamna lugha inayoitwa kisayansi. Wasayansi ni kina nani? Sayansi inatumia lugha zinazoexist kujiexpress. Lugha kama kigiriki, kiingereza nk.

Kiswahili nayo utohozi haungalikuwepo sijui ingekuwa lugha aina gani ...
huna akili mzee.
 
Back
Top Bottom