Watanzania wanatafuta Kenya na Wakenya wanatafuta Afrika Kusini

Watanzania wanatafuta Kenya na Wakenya wanatafuta Afrika Kusini

Poor bongolalas, ona vijisababu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inferiority complex, if u are ahead you don't look back, you look at what is above u. Ndio maana ukienda Europe, Asia, ama America, on average watu hawafuatilii mambo ya Africa, ukiwauliza wengi hawajui, same na hapa Kenya kuhusu Tz, average raiya hawajui Tz, ni Magufuli, bongo flava na stereotype ya watz ni wakarimu na wazembe period.
 
Watanzania wako jehanamu in all fronts, ndio maana hawaendelei licha ya rasilmali, every year poverty inaongezeka, sasa ni bingwa Eastern Africa, wameipiku Ethiopia, maoni yao hapa inaendeshwa na wivu, chuki na roho mbaya bila sababu mwafaka, wamelishwa propaganda, utaona wakitafuta visingizio ili Kenya ionekane iko chini yao, propaganda na reports uchwara[emoji23][emoji23], wao binafsi hawana uwezo wa kufikiria zaidi ya pua zao, weak mental frame. Results;
JamiiForums1552698300.jpg
 
Poor bongolalas, ona vijisababu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inferiority complex, if u are ahead you don't look back, you look at what is above u. Ndio maana ukienda Europe, Asia, ama America, on average watu hawafuatilii mambo ya Africa, ukiwauliza wengi hawajui, same na hapa Kenya kuhusu Tz, average raiya hawajui Tz, ni Magufuli, bongo flava na stereotype ya watz ni wakarimu na wazembe period.

Mimi nikijua wanagugo kwa sababu gani au kutafuta taarifa zipi naweza kuchangia.
 
Wapumbavu sana nyinyi,nendeni mkacheze Firirinda,
 
Watu wanagoogle kwa ajiri ya kuangalia kama mmeweza kuitokomeza njaa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji38][emoji38][emoji38] Povu la watanzania ni burudani tosha. Comment zao kwenye uzi huu zinachekesha sana. Alafu wamechanganyikiwaaa, kila mmoja anaibuka na lake wakitafuta pa kupenyezea ila hamna namna. Poleni sana majirani funzo kuu ni kwamba, no one gives a sh#t about Tanzania! [emoji23]
 
Watanzania wako jehanamu in all fronts, ndio maana hawaendelei licha ya rasilmali, every year poverty inaongezeka, sasa ni bingwa Eastern Africa, wameipiku Ethiopia, maoni yao hapa inaendeshwa na wivu, chuki na roho mbaya bila sababu mwafaka, wamelishwa propaganda, utaona wakitafuta visingizio ili Kenya ionekane iko chini yao, propaganda na reports uchwara[emoji23][emoji23], wao binafsi hawana uwezo wa kufikiria zaidi ya pua zao, weak mental frame. Results;
View attachment 1717687
We nawe na haka kapeji kako kamoja kila siku ...[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]..huna jipyaa hii. Hii kila siku ... Broo BONGO HUIWEZI tulia tyuu na haka kapicha kako. Huko SLUMS DWALF ...HUKO[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakunya endeleeni kujiongopea tu labda mtapunguza stress za maisha. Nachojua kenya ni eneo gumu sana la kuishi heri niende somalia
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
 
Sawa ila tumepiga marufuku KQ kutua bongo kuanzia 22ndJanuary2024
Kenya bhana inachekesha.
Raia wao wanakuja kutamba humu ilhali kiongozibwao mwaka jana kapiga simu kuomba kusaidiwa katika akiba ya fedha ya kigeni Mh.Samia kamtolea nje.
Kenya na Uganda wamejadiliana kuja Tanzania kuomba mafuta yaagizwe kwa pamoja ili kuwe na unafuu katika bei ya mafuta hawajui kama serikali ya Tanzania inatoa bilioni za ruzuku ya mafuta.
Kenya ni failed state tu.
Nchi inayojitamba inajiweza haiwezi hata kutoa ruzuku ya mafuta na kila uchwao akiba ya sarafu ya kigeni inawaishia.
Acheni upumbavu nyie wakenya,kwa uhalisia wa taifa lenu msingekua mwajitapa humu ndani.
 
Back
Top Bottom